Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Just imagine huyu mzee bado ana mtoto ananyonya
Mke wake hana hata miaka 35 ndiyo maana kaka anajiona young man
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wake hana hata miaka 35 ndiyo maana kaka anajiona young man
Umesha wahi kuona ini la ng’ombe mzee?Just imagine huyu mzee bado ana mtoto ananyonya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umesha wahi kuona ini la ng’ombe mzee?
Mzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
View attachment 1503513
Hiyo haina mashaka lkn je kwa umri wa huyo mzee wetu ana uwezekano wa kumsomesha hadi mtoto huyo ambaye leo ananyonya akamaliza chuo?Umesha wahi kuona ini la ng’ombe mzee?
Mwisho unapata dementia mtoto haelewi ni nini.Hiyo haina mashaka lkn je kwa umri wa huyo mzee wetu ana uwezekano wa kumsomesha hadi mtoto huyo ambaye leo ananyonya akamaliza chuo?
Lifespan yetu Waafrika ipo chini sana mkuu
Tatizo la Wasira ni njaa, kale ka pensheni kake anaona hakamtoshi maana nasikia ana watoto hadi sasa wengine bado wananyonya.
Sasa kwa umri ule alio nao atawasomeshaje hao vichekechea?
Just imagine huyu mzee bado ana mtoto ananyonya
Shikamoo !!Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa vijana shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…
' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
Mzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
View attachment 1503513
Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa vijana shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…
' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
duuuhh .roho aina ya kina MobutuMzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
View attachment 1503513