Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini kwani mkuu?Ccm oyee,wazee taifa la leo
Ccm oyee,wazee taifa la leo
Ukiwa CCM Huwezi kufa kwa stressCcm oyee,wazee taifa la leo
Nilipofanya mahojiano na Mzee Wasira, nikamuita mzee, alikanusha kuwa yeye sio mzee, ukiniita mimi mzee, utamuitaje Cleopa Msuya?.Ccm oyee,wazee taifa la leo
Kwani wewe ni Mzee?Nilipofanya mahojiano na Mzee Wasira, nikamuita mzee, alikanusha kuwa yeye sio mzee, ukiniita mimi mzee, utanuitaje Cleopa Msuya?.
P
Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujanaKwani wewe ni Mzee?
Nilipofanya mahojiano na Mzee Wasira, nikamuita mzee, alikanusha kuwa yeye sio mzee, ukiniita mimi mzee, utamuitaje Cleopa Msuya?.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=ouMEmeT4-AQsKUSH
P
Sema ulijiita paskali baada ya kulewa sifa za kipuuzi pale ikulu kwa Magufuli ambayo ilikuja kukugharimuNiliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Mze Paskali, I hope you are NOT lying to us kuwa una miji miwili (2). Wewe si ni mkristu au umeslimu siku hizi na bado unatumia jina la Kikristu? Mze Paskali hizi ni akili za CCM wanafikiri kila Mtanzania ni mjinga, anadanganyika kiuzembe kama mastaa wao uchwara wa bongo movie,Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Ccm oyee,wazee taifa la leo
Mimi nina miji miwili kiukweli kweli, nilikuja kugundua mji mmoja sio mpango wa Mungu, ni hadaa tuu za wazungu waliotuletea Ukristo lakini kwenye Biblia hakuna popote Mungu ameamrisha mke mmoja na hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja!, hata ... alihudumiwa na wanawake watatu, Maria Magdalena, Maria Salome na Veronica!.Mze Paskali, I hope you are NOT lying to us kuwa una miji miwili (2). Wewe si ni mkristu au umeslimu siku hizi na bado unatumia jina la Kikristu? Mze Paskali hizi ni akili za CCM wanafikiri kila Mtanzania ni mjinga, anadanganyika kiuzembe kama mastaa wao uchwara wa bongo movie,