Steven Wassira atimiza miaka 80 MiIzengo pinda atmiza 77

Steven Wassira atimiza miaka 80 MiIzengo pinda atmiza 77

Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Sema ulijiita paskali baada ya kulewa sifa za kipuuzi pale ikulu kwa Magufuli ambayo ilikuja kukugharimu
 
Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Mze Paskali, I hope you are NOT lying to us kuwa una miji miwili (2). Wewe si ni mkristu au umeslimu siku hizi na bado unatumia jina la Kikristu? Mze Paskali hizi ni akili za CCM wanafikiri kila Mtanzania ni mjinga, anadanganyika kiuzembe kama mastaa wao uchwara wa bongo movie,
 
Mze Paskali, I hope you are NOT lying to us kuwa una miji miwili (2). Wewe si ni mkristu au umeslimu siku hizi na bado unatumia jina la Kikristu? Mze Paskali hizi ni akili za CCM wanafikiri kila Mtanzania ni mjinga, anadanganyika kiuzembe kama mastaa wao uchwara wa bongo movie,
Mimi nina miji miwili kiukweli kweli, nilikuja kugundua mji mmoja sio mpango wa Mungu, ni hadaa tuu za wazungu waliotuletea Ukristo lakini kwenye Biblia hakuna popote Mungu ameamrisha mke mmoja na hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja!, hata ... alihudumiwa na wanawake watatu, Maria Magdalena, Maria Salome na Veronica!.
Enzi za Brother, nilimshauri tuachane na uongo wa dini za wazungu "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
 
Makongoro Nyirere.
Mzee Wassira Nazaliwa
Yupo
Naznza shule yupo.
Baba rais yupo
Kajiuzulu yupo,
Mwinyi kaingia yupo kamuacha
Mkapa nae kaingia yupo kamuacha.
Magufuli Yupo kamuacha.
Mama Samia kaingia ye yumo tu na atamuacha.
Yumo, yupo,Yumo tu.
Ntaondoka ntamuacha Yupo.
By Makongoro Nyerere.
 
Back
Top Bottom