Steven Wassira atimiza miaka 80 MiIzengo pinda atmiza 77

Steven Wassira atimiza miaka 80 MiIzengo pinda atmiza 77

Mama.Yakobo wa kwenye Bible ni Rebeka, hakuwa mshangazi!, ila alikuwa mtu wa ma dili!. Alibeba ujauzito wa pacha, wakati wa kujifungua Esau akatanguliza mkono, akafungwa kitambaa chekundu cha kibali cha mzaliwa wa kwanza, kisha akarudisha mkono tumboni ndipo Yakobo akatsngulia kutoka, kisha Esau akatoka.

Essau akawa nuwindaji, Yakobo mfugaji. Mama akala dili na Yakobo kumpoka Essau kibali cha mzaliwa wa kwanza.

Akampikia Essau chakula kizuri anachokipenda akampa Yakobo sseme ni chake, Essau alipoomba chakula, Yakobo akamgomea mpaka ampe haki ya uzaliwa wa kwanza!, shauri ya njaa, Essau akakubali, akauza haki yake kwa mdogo wake.

Isaka alipozeeka akawa haoni, akamtuma Rebecca amuitie Essau, kisha Rebecca akajibanza nyuma ya mlango kusikiliza kwa siri baba anamwambia nini Essau..

Isaka akamwambia Essau akamuwindie ile nyama pori anayoipenda, anuabdalie ale kisha ambariki anaona siku zake zimekaribia.

Esssu akaenda kuwinda, huku nyuma Rebecca akamtuma Isaka kuchinja mwana kondoo, mama akamtayarishia vile baba anapenda, akampa Yakobo akampe baba akijifanya ni Esssu. Akamfunga ngozi ya kondoo mikononi miguuni na kifuani.

Yakobo akampelekea baba yake akijifanya ni Esssu amerudi mawindoni!.

Kwanza baba akashanga how come leo amerudi mapema?, kisha akasema sauti mbona ni ya Yakobo!. Akamwambia asogee karibu ampapase, akapapasa ile ngozi ya kondoo, akasema mwili ni wa Essau, ila sauti ni ya Yakobo, akambariki. Essau aliporudi na nyama pori akamuandalia Baba, baba akamwambia mbona nimeisha letewa na baraka nimeisha toa, Essau akamwambia baba umedanganywa hivyo nibariki mimi, ndipo baba akamwambia baraka zinatoka mara moja tuu!.
Essau akamind ssna na baada ya muda mfuoi Isaka alifariki, wakamzika na baada tuu ya kuzika, Rebeka akamtirisha Yakobo akatorokea kwa mjomba wake Labani, akawaoa mabinti wawili wa Labani Lea na Raeli, waliiozaa watoto 12 ambao ni makabila 12 ya Israel.
Kwenye watoto hao 12 hakuna aliyeoa mke mmoja!.
P
HIki kisanga huwa jinafurahisha sana,sema Labani ndio alikuwa mtoto wa mjini,style aliyotumia kuwaoza mabinti zake ilikuwa ni ujanja ujanja tu
 
Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Hongera sana. Kumbe kaka nawe umeendelea sana, hongera sana mkubwa. Hapo kuwa na miji miwili ndipo haswaaa kwa nilivyoelewa mie.
Nimekuwa shabiki wako hapa JF kwa kuzisoma mada zako zooote. Endelea kutufikirisha na kutuelimisha kwa .mada zako.
 
Mze Paskali, I hope you are NOT lying to us kuwa una miji miwili (2). Wewe si ni mkristu au umeslimu siku hizi na bado unatumia jina la Kikristu? Mze Paskali hizi ni akili za CCM wanafikiri kila Mtanzania ni mjinga, anadanganyika kiuzembe kama mastaa wao uchwara wa bongo movie,
Umejuaje kama Paskali or Pasco ni jina la Kikristo? Nadhani hilo ni jina la Kizungu lisilo na uhusiano wowote na dini; Uarabuni kuna Wakristo wanaitwa Abubakari or Aziz, mfano ni the former minister of international affairs wa Saddam Hussein bwana Tariq Aziz, yule alikua Mkristo kwa baba na mama yake.
 
Mama.Yakobo wa kwenye Bible ni Rebeka, hakuwa mshangazi!, ila alikuwa mtu wa ma dili!. Alibeba ujauzito wa pacha, wakati wa kujifungua Esau akatanguliza mkono, akafungwa kitambaa chekundu cha kibali cha mzaliwa wa kwanza, kisha akarudisha mkono tumboni ndipo Yakobo akatsngulia kutoka, kisha Esau akatoka.

Essau akawa nuwindaji, Yakobo mfugaji. Mama akala dili na Yakobo kumpoka Essau kibali cha mzaliwa wa kwanza.

Akampikia Essau chakula kizuri anachokipenda akampa Yakobo sseme ni chake, Essau alipoomba chakula, Yakobo akamgomea mpaka ampe haki ya uzaliwa wa kwanza!, shauri ya njaa, Essau akakubali, akauza haki yake kwa mdogo wake.

Isaka alipozeeka akawa haoni, akamtuma Rebecca amuitie Essau, kisha Rebecca akajibanza nyuma ya mlango kusikiliza kwa siri baba anamwambia nini Essau..

Isaka akamwambia Essau akamuwindie ile nyama pori anayoipenda, anuabdalie ale kisha ambariki anaona siku zake zimekaribia.

Esssu akaenda kuwinda, huku nyuma Rebecca akamtuma Isaka kuchinja mwana kondoo, mama akamtayarishia vile baba anapenda, akampa Yakobo akampe baba akijifanya ni Esssu. Akamfunga ngozi ya kondoo mikononi miguuni na kifuani.

Yakobo akampelekea baba yake akijifanya ni Esssu amerudi mawindoni!.

Kwanza baba akashanga how come leo amerudi mapema?, kisha akasema sauti mbona ni ya Yakobo!. Akamwambia asogee karibu ampapase, akapapasa ile ngozi ya kondoo, akasema mwili ni wa Essau, ila sauti ni ya Yakobo, akambariki. Essau aliporudi na nyama pori akamuandalia Baba, baba akamwambia mbona nimeisha letewa na baraka nimeisha toa, Essau akamwambia baba umedanganywa hivyo nibariki mimi, ndipo baba akamwambia baraka zinatoka mara moja tuu!.
Essau akamind ssna na baada ya muda mfuoi Isaka alifariki, wakamzika na baada tuu ya kuzika, Rebeka akamtirisha Yakobo akatorokea kwa mjomba wake Labani, akawaoa mabinti wawili wa Labani Lea na Raeli, waliiozaa watoto 12 ambao ni makabila 12 ya Israel.
Kwenye watoto hao 12 hakuna aliyeoa mke mmoja!.
P
Hongera Mzee PAM... Uko nondo sana.

Yakobo niliyekzungumzia ni mwana WA zebedayo.

Mariam Salome ni mtu anayejulikana katika maandiko ya Kikristo, hasa Agano Jipya. Yeye alikuwa mmoja wa wanawake waliomfuata Yesu na kuhudumu katika huduma yake, na anatajwa kama mmoja wa wanawake waliokuwa pale wakati wa kusulubiwa kwa Yesu na waliokwenda kaburini kwake siku ya kwanza ya juma.

Katika baadhi ya maandiko ya kidini na mapokeo, Mariam Salome inachukuliwa kuwa mke wa Zebedayo na mama wa mitume wawili, Yakobo Mkubwa na Yohane, wana wa Zebedayo (Mathayo 27:56 na Marko 15:40). Hawa ni mitume wawili muhimu waliomfuata Yesu na kuchangia kueneza Injili.
 
Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Hongera P.
 
Mimi nina miji miwili kiukweli kweli, nilikuja kugundua mji mmoja sio mpango wa Mungu, ni hadaa tuu za wazungu waliotuletea Ukristo lakini kwenye Biblia hakuna popote Mungu ameamrisha mke mmoja na hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja!, hata ... alihudumiwa na wanawake watatu, Maria Magdalena, Maria Salome na Veronica!.
Enzi za Brother, nilimshauri tuachane na uongo wa dini za wazungu "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Kama wewe ni mkatoliki jiandae siku ukifa utazikwa na katekista haijalishi ulijitoa kivipi hapo kanisani,pariko au padre watahudhuria kama wahudhuriaji wengine
 

Attachments

  • IMG-20250118-WA0012.jpg
    IMG-20250118-WA0012.jpg
    269.9 KB · Views: 1
Kama wewe ni mkatoliki jiandae siku ukifa utazikwa na katekista haijalishi ulijitoa kivipi hapo kanisani,pariko au padre watahudhuria kama wahudhuriaji wengine
Nitazikwa kama alivyozikwa Didas Masaburi, hakuna kanisa lolote linampeleka mtu peponi!, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo!.
P
 
Wassir.. amezeeka hadi anashindwa kuomba kura mwenyewe,inabidi pinda amuombee kura😳
 
Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Kikatoliki huzikwi na kanisa.
 
Back
Top Bottom