Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo?????Ccm oyee,wazee taifa la leo
Siku ukisikia nimekufa, fuatilia humu jf nitazikwaje!. Unajua Masaburi amezikwaje?. Kuna tofauti gani kati yangu na Masaburi?.Kikatoliki huzikwi na kanisa.
Wewe ambaye umeaminika umelifanyia nini hili taifa???Vijana wa nchi hii hamuaminiki
Loh! Kwa hilo Paskali umenizidi. Mimi bado nina mji mmoja tu. Ila kwa sasa mimi ni Mzee.Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Ccm oyee,wazee taifa la leo
Pascal Mayalla I love you for this, una akili sana na unaona mbali. I really don't like dini za kuletewa as they don't represent anything African rather make our people stupid kuamini vitu ambavyo havina kichwa wala miguu. Hongera kwa kuwa na miji hiyo 👏Mimi nina miji miwili kiukweli kweli, nilikuja kugundua mji mmoja sio mpango wa Mungu, ni hadaa tuu za wazungu waliotuletea Ukristo lakini kwenye Biblia hakuna popote Mungu ameamrisha mke mmoja na hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja!, hata ... alihudumiwa na wanawake watatu, Maria Magdalena, Maria Salome na Veronica!.
Enzi za Brother, nilimshauri tuachane na uongo wa dini za wazungu "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
True ila kwa hapa Tanzania ulishwahi kuona Mohammed Mkristu au Christopher Muislam?Umejuaje kama Paskali or Pasco ni jina la Kikristo? Nadhani hilo ni jina la Kizungu lisilo na uhusiano wowote na dini; Uarabuni kuna Wakristo wanaitwa Abubakari or Aziz, mfano ni the former minister of international affairs wa Saddam Hussein bwana Tariq Aziz, yule alikua Mkristo kwa baba na mama yake.
Ninao wengi tu, kwasababu sina idhini yao siwezi kutaja majina yao hapa, kuna mtu anaitwa Modest, yupo Steven but sorry siwezi kutaja surnames zao. Watu wanabadiri dini na majina ya vyeti vyao yanabakiTrue ila kwa hapa Tanzania ulishwahi kuona Mohammed Mkristu au Christopher Muislam?