Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Ohoo , shukrani sana Mkuu wa jibu Mujarabu ๐๐๐Hapana, kwa haya yaliyo nikuta Kawe ile 2020, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe! nimekoma sirudii tena!.
P
HIki kisanga huwa jinafurahisha sana,sema Labani ndio alikuwa mtoto wa mjini,style aliyotumia kuwaoza mabinti zake ilikuwa ni ujanja ujanja tuMama.Yakobo wa kwenye Bible ni Rebeka, hakuwa mshangazi!, ila alikuwa mtu wa ma dili!. Alibeba ujauzito wa pacha, wakati wa kujifungua Esau akatanguliza mkono, akafungwa kitambaa chekundu cha kibali cha mzaliwa wa kwanza, kisha akarudisha mkono tumboni ndipo Yakobo akatsngulia kutoka, kisha Esau akatoka.
Essau akawa nuwindaji, Yakobo mfugaji. Mama akala dili na Yakobo kumpoka Essau kibali cha mzaliwa wa kwanza.
Akampikia Essau chakula kizuri anachokipenda akampa Yakobo sseme ni chake, Essau alipoomba chakula, Yakobo akamgomea mpaka ampe haki ya uzaliwa wa kwanza!, shauri ya njaa, Essau akakubali, akauza haki yake kwa mdogo wake.
Isaka alipozeeka akawa haoni, akamtuma Rebecca amuitie Essau, kisha Rebecca akajibanza nyuma ya mlango kusikiliza kwa siri baba anamwambia nini Essau..
Isaka akamwambia Essau akamuwindie ile nyama pori anayoipenda, anuabdalie ale kisha ambariki anaona siku zake zimekaribia.
Esssu akaenda kuwinda, huku nyuma Rebecca akamtuma Isaka kuchinja mwana kondoo, mama akamtayarishia vile baba anapenda, akampa Yakobo akampe baba akijifanya ni Esssu. Akamfunga ngozi ya kondoo mikononi miguuni na kifuani.
Yakobo akampelekea baba yake akijifanya ni Esssu amerudi mawindoni!.
Kwanza baba akashanga how come leo amerudi mapema?, kisha akasema sauti mbona ni ya Yakobo!. Akamwambia asogee karibu ampapase, akapapasa ile ngozi ya kondoo, akasema mwili ni wa Essau, ila sauti ni ya Yakobo, akambariki. Essau aliporudi na nyama pori akamuandalia Baba, baba akamwambia mbona nimeisha letewa na baraka nimeisha toa, Essau akamwambia baba umedanganywa hivyo nibariki mimi, ndipo baba akamwambia baraka zinatoka mara moja tuu!.
Essau akamind ssna na baada ya muda mfuoi Isaka alifariki, wakamzika na baada tuu ya kuzika, Rebeka akamtirisha Yakobo akatorokea kwa mjomba wake Labani, akawaoa mabinti wawili wa Labani Lea na Raeli, waliiozaa watoto 12 ambao ni makabila 12 ya Israel.
Kwenye watoto hao 12 hakuna aliyeoa mke mmoja!.
P
Msuya anaishi low profile amestaafu siasa kitambo,huyu mpaka akawaanagombea ubunge na wajukuu zakeNilipofanya mahojiano na Mzee Wasira, nikamuita mzee, alikanusha kuwa yeye sio mzee, ukiniita mimi mzee, utamuitaje Cleopa Msuya?.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=ouMEmeT4-AQsKUSHP
Hongera sana. Kumbe kaka nawe umeendelea sana, hongera sana mkubwa. Hapo kuwa na miji miwili ndipo haswaaa kwa nilivyoelewa mie.Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Ndio maana hawana maamuziCcm oyee,wazee taifa la leo
Umejuaje kama Paskali or Pasco ni jina la Kikristo? Nadhani hilo ni jina la Kizungu lisilo na uhusiano wowote na dini; Uarabuni kuna Wakristo wanaitwa Abubakari or Aziz, mfano ni the former minister of international affairs wa Saddam Hussein bwana Tariq Aziz, yule alikua Mkristo kwa baba na mama yake.Mze Paskali, I hope you are NOT lying to us kuwa una miji miwili (2). Wewe si ni mkristu au umeslimu siku hizi na bado unatumia jina la Kikristu? Mze Paskali hizi ni akili za CCM wanafikiri kila Mtanzania ni mjinga, anadanganyika kiuzembe kama mastaa wao uchwara wa bongo movie,
Hongera Mzee PAM... Uko nondo sana.Mama.Yakobo wa kwenye Bible ni Rebeka, hakuwa mshangazi!, ila alikuwa mtu wa ma dili!. Alibeba ujauzito wa pacha, wakati wa kujifungua Esau akatanguliza mkono, akafungwa kitambaa chekundu cha kibali cha mzaliwa wa kwanza, kisha akarudisha mkono tumboni ndipo Yakobo akatsngulia kutoka, kisha Esau akatoka.
Essau akawa nuwindaji, Yakobo mfugaji. Mama akala dili na Yakobo kumpoka Essau kibali cha mzaliwa wa kwanza.
Akampikia Essau chakula kizuri anachokipenda akampa Yakobo sseme ni chake, Essau alipoomba chakula, Yakobo akamgomea mpaka ampe haki ya uzaliwa wa kwanza!, shauri ya njaa, Essau akakubali, akauza haki yake kwa mdogo wake.
Isaka alipozeeka akawa haoni, akamtuma Rebecca amuitie Essau, kisha Rebecca akajibanza nyuma ya mlango kusikiliza kwa siri baba anamwambia nini Essau..
Isaka akamwambia Essau akamuwindie ile nyama pori anayoipenda, anuabdalie ale kisha ambariki anaona siku zake zimekaribia.
Esssu akaenda kuwinda, huku nyuma Rebecca akamtuma Isaka kuchinja mwana kondoo, mama akamtayarishia vile baba anapenda, akampa Yakobo akampe baba akijifanya ni Esssu. Akamfunga ngozi ya kondoo mikononi miguuni na kifuani.
Yakobo akampelekea baba yake akijifanya ni Esssu amerudi mawindoni!.
Kwanza baba akashanga how come leo amerudi mapema?, kisha akasema sauti mbona ni ya Yakobo!. Akamwambia asogee karibu ampapase, akapapasa ile ngozi ya kondoo, akasema mwili ni wa Essau, ila sauti ni ya Yakobo, akambariki. Essau aliporudi na nyama pori akamuandalia Baba, baba akamwambia mbona nimeisha letewa na baraka nimeisha toa, Essau akamwambia baba umedanganywa hivyo nibariki mimi, ndipo baba akamwambia baraka zinatoka mara moja tuu!.
Essau akamind ssna na baada ya muda mfuoi Isaka alifariki, wakamzika na baada tuu ya kuzika, Rebeka akamtirisha Yakobo akatorokea kwa mjomba wake Labani, akawaoa mabinti wawili wa Labani Lea na Raeli, waliiozaa watoto 12 ambao ni makabila 12 ya Israel.
Kwenye watoto hao 12 hakuna aliyeoa mke mmoja!.
P
102Yusuph Makamba ana mingapi?
Hongera P.Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P
Kama wewe ni mkatoliki jiandae siku ukifa utazikwa na katekista haijalishi ulijitoa kivipi hapo kanisani,pariko au padre watahudhuria kama wahudhuriaji wengineMimi nina miji miwili kiukweli kweli, nilikuja kugundua mji mmoja sio mpango wa Mungu, ni hadaa tuu za wazungu waliotuletea Ukristo lakini kwenye Biblia hakuna popote Mungu ameamrisha mke mmoja na hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja!, hata ... alihudumiwa na wanawake watatu, Maria Magdalena, Maria Salome na Veronica!.
Enzi za Brother, nilimshauri tuachane na uongo wa dini za wazungu "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Ccm oyee,wazee taifa la leo
Aendelee kuchapa kazi. Hicho cheo kinamuhitaji yeye maana kimekaa kimaamuzi zaidi kuliko usimamiziNilipofanya mahojiano na Mzee Wasira, nikamuita mzee, alikanusha kuwa yeye sio mzee, ukiniita mimi mzee, utamuitaje Cleopa Msuya?.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=ouMEmeT4-AQsKUSHP
Nitazikwa kama alivyozikwa Didas Masaburi, hakuna kanisa lolote linampeleka mtu peponi!, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo!.Kama wewe ni mkatoliki jiandae siku ukifa utazikwa na katekista haijalishi ulijitoa kivipi hapo kanisani,pariko au padre watahudhuria kama wahudhuriaji wengine
Mkuu mdukuzi , wewe una upako fulani!, talk of a devil and a devil appears.Ccm oyee,wazee taifa la leo
Kikatoliki huzikwi na kanisa.Niliingia jf nikiwa kijana nikitumia jina la ujana
Pasco wa jf
Baada ya kuvuka 50 ni mtu mzima naitwa jina la kiutu uzima Paskali
Soon nitatinga 60 na nitaanza rasmi kutumia title ya Mzee Pasco!.
Nina miji miwili, watoto 9 na wajukuu 7!.
P