Stiegler Dam, Taasisi za Kimataifa Vs. Magufuli

Safi sana
 
vp ule umeme wa gesi ya Mtwara?!?= naona hujagusia hilo,,,,
 
I have followed and hopefully understood your argument. I believe I know the way decisions are made in "this era" -all that I am saying is forewarned is forearmed.
 
East of West, Home is the Best.... Tanzania is ours including all resources under or over the land...... I support Maguful
 
Kama watu wa mazingira hawasikilizwi leo basi ningefurahi kama yule anaeitwa Mboye akarudishiwe mradi wake. Busara tu
Uharibifu wa mboye mazara yalikuwa kwa binadamu, ila hii ni kwa wanyama mwitu. Ambao wanaweza kutafuta njia nyingine ya migration
 
Wala sihitaji huruma yako. Tanzania ni nchi yangu nina haki ya kikatiba kukosoa yoyote yale ndani ya nchi yangu ambayo hayaitakii mema Tanzania na Watanzania.

BAK Nakuonea Huruma sana, bado una miaka 8 ya kujitesa, pole sana.
 

Masiya!
Just show your true colour this is Great Thinkers Forum as long as you don't use abusive language you can just speak up your mind. I agree with you that this project has been on the drawing table for the past 45 years and it's more complex than making political statements. What we need are facts. Up to 95% of the people who are really shouting don't know anything about Dams that is problem. When Mtera Dam was constructed and completed in 1982 nobody could imagine that it could have stretched and have a total length of more than 35 kilometres. In as much the dam at Stiglers Gorge could engulf almost 100 kilometres and the impact is beyond JPM apprehension together with the people who support him. I wish them good luck that is towards the mouth of the river and the flow has never been precisely estimated and the magnitude of the civil works plus the spill way could cost the Tanzania Tax payers a fortune. All said and done to have an Environmental Certificate isa must. Try to skip it and we shall have nowhere to hide?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…