Stimu zilikata baada ya kuyavua makalio

Stimu zilikata baada ya kuyavua makalio

Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kitundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.

Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.

Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?


Makalio yenyewe haya hapa:

View attachment 2975562
🤣🤣🤣
 
Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kitundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.

Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.

Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?


Makalio yenyewe haya hapa:

View attachment 2975562
Duh alikua Hana ukurutu kwa mbunye
 
I once met young lady with those fake buttocks

Ni vile Wanaume tuna principal kwamba mchagua jembe si mkulima, vinginevyo ningedanganya kwamba Kuna simu ya Ofisini nimepigiwa Wacha niwahi 🙌
 
Kujitesa bure. Wajikubali. Wasubirie wazungu watawavua.
 
Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kutundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.

Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.

Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?


Makalio yenyewe haya hapa:

View attachment 2975562
Ma mchina
 
Back
Top Bottom