Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
🤣🤣🤣Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kitundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.
Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?
Makalio yenyewe haya hapa:
View attachment 2975562
Ndio nimesema sasa. Usiniongeleshe.[emoji28]walionuna huwa hawasemagi
Duh alikua Hana ukurutu kwa mbunyeMzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kitundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.
Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?
Makalio yenyewe haya hapa:
View attachment 2975562
HT Av 2-0 Chelsea. Ni halali kufananishwa na kalioKwanini isiwe Moro United au Mtibwa Sugar
Wanawake wengine huwa Wana irregular shape mfano wachaga.Mimi huwa najua tu maana ukiangalia kalio haliko directly proportional na miguu au mwili
Yapige pasi yanyauke 😄Mvua ziishe jamani, tunapata tabu makalio yanakaa kwenye kamba wiki hayakauki.....tunashindwa kutoka 🥹🥹
Kumbe hapa tunaongeleshanaNdio nimesema sasa. Usiniongeleshe.
😀😀😀😀Mvua ziishe jamani, tunapata tabu makalio yanakaa kwenye kamba wiki hayakauki.....tunashindwa kutoka 🥹🥹
Ma mchinaMzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kutundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.
Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?
Makalio yenyewe haya hapa:
View attachment 2975562