Stimu zilikata baada ya kuyavua makalio

Mi nataka demu OG,kama ni English figure awe hivohivo asivae hayo madodoki, kama analo liwe ni OG, kama ni black awe black kama ni white awe white sio miguu Pepsi uso Mirinda.
 
Wanawake wanapoteza hela kijinga sana, kwanini ununue tako la silicone kwa laki 3 wakati halikusaidii chochote. Ukilivua tu wakati upo na bwana mpya basi anajua kabisa wewe ni mental case na harudi tena .
 
aisee,,, kuna haja ya kuacha kushobokea mademu wenye matyaco makubwa sasa.
 
Reactions: G4N
Wanawake wengi hata rangi ya mwili sio rangi yao ya asili...

Wanatumia makorokoro kibao kujibadilisha badilisha...
 
Reactions: G4N
Sasa ulimuuliza hiyo bidhaa gani akasemaje?, yaani hapo hamu yote inaondoka.
 
Reactions: G4N
Hahahaa nomaa sana,napenda mnoo matakoo nitaumia sana nikikutanaa na hizo pigoo🤣
 
Reactions: G4N
Mm sio MTU wa haya mambo Ila baadhi ya watu ambao wamwekeza Sana katika huo mradi Wa kuendesha vogue na scania huwa nawasikia Sana wakingia king
Wewe uko kama mimi. Kwanza mwanamke akiwa na mkalio mkubwa huwa nakata stimu zote. Nataka wale wenye vidogo vya kishkaji tu. Isiwe flat screen sana lakini.
 
Hivi haya si yale anayovaaga Zuchu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…