Mwanaume usije ukaruhusu kutowajibika kwa mwanamke kuwa wajibu wako. Kama unataka kukua kiuchumi au kimafanikio basi jipe kipaumbele wewe mwenyewe zaidi ya uyo mwanamke.
Kila binadamu ambae ni mtu mzima anawajibika kujihudumia yeye mwenyewe na iyo ndio inatakiwa kuwa sifa ya kuingia katika mahusiano ya kimapenzi.
Ni wajibu binafsi wa jinsia zote mbili yaani mwanaume na mwanamke kusimama kiuchumi na kumudu kujitegemea kabla haujaingia kwenye mahusiano.
Stop dating liabilities who always are in need of humanitarian aids from you, as a yooug man that kind of relationship is hindrance to your progress.
A relationship is a place for two independent, self sufficient and capable people to mutually exchange value with each other and not place to be completely ripped off by another in the name of "baby i love you"
Kama mwanamke unae-date nae haongezi thamani yoyote kwenye kukua kwako kimaendeleo yafanyie tathmini hayo mahusiano yako, sexual pleasure ya dakika chache isikufanye ukaweka rehani mustakhabali wa maisha yako.
Your relationship should make you better, not broke. If she is not adding tangiable value to your life in anyway and constantly demanding urgent aids, that lady is a thief.
I love you, i love you my brother.