FEBIANI BABUYA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 1,916
- 3,850
Sema kiuhalisia mapenzi ni biashara moja ya hasara sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile phase ya romantic relationship kabla hamjayafanya mahusiano yenu kuwa rasmi, yaani kwenda kwenye hatua ya kuchumbiana na ndoa.Hi ku date huwa ni nini haswa??
Kifaru cha vitaSiku niliyo tambulishwa kwake na nilivyo muona I thought she was the one.
Tuka badilishana namba kwa ajili ya mawasiliano, siku nipo katika mizunguko yangu town we met accidentally.
Ilikuwa mida ya lunch, na Kwa vile nilikuwa sina ratiba ngumu nika mualika tupate kitu mgahawa fulani.
Cha kushangaza aka mpigia simu rafiki yake aje tulipo!!.
It wasn't a problem kwani nili hisi huwa Wana kula pamoja so mwenzie ana weza akawa bored aliko.
PIcha Lina Anza rafiki alivyo fika, aka itwa kwa sauti kubwa!. Aisee lile eneo huwa ni tulivu na watu fulani hivi wastaarabu.
I was left puzzled sema Nika vunga ki comrade tu.
rafiki aka ambiwa agiza chochote, binti mstaarabu kaagiza makaange ya kuku na chipsi tu.
afisa bichwa SI Ika agiza wine ya 35k, makaange na chipsi na still haiku maliza.
Ina kula Huku ina ongea kwa sauti, rafiki kaji tahidi kumbonyeza, ila ni Kama alikuwa ana deki bahari!!
Ika taka kuagiza wine ya 2, rafiki yake aka mwambia zime tosha SI tuna Rudi job, paka shume Ika sema Ina beba kwa ajili ya baadae!!
Mara Eti nime sahau kuku uliza una fanya kazi wapi??, Wana kulipa. Shingapi??.
Mpaka Kuna li shangazi jirani. lika sema we binti uta fanya wanaume wakuone kifaru cha vita
Kosa ni la huyo gelofrend wako kumuita rafiki yakeSiku niliyo tambulishwa kwake na nilivyo muona I thought she was the one.
Tuka badilishana namba kwa ajili ya mawasiliano, siku nipo katika mizunguko yangu town we met accidentally.
Ilikuwa mida ya lunch, na Kwa vile nilikuwa sina ratiba ngumu nika mualika tupate kitu mgahawa fulani.
Cha kushangaza aka mpigia simu rafiki yake aje tulipo!!.
It wasn't a problem kwani nili hisi huwa Wana kula pamoja so mwenzie ana weza akawa bored aliko.
PIcha Lina Anza rafiki alivyo fika, aka itwa kwa sauti kubwa!. Aisee lile eneo huwa ni tulivu na watu fulani hivi wastaarabu.
I was left puzzled sema Nika vunga ki comrade tu.
rafiki aka ambiwa agiza chochote, binti mstaarabu kaagiza makaange ya kuku na chipsi tu.
afisa bichwa SI Ika agiza wine ya 35k, makaange na chipsi na still haiku maliza.
Ina kula Huku ina ongea kwa sauti, rafiki kaji tahidi kumbonyeza, ila ni Kama alikuwa ana deki bahari!!
Ika taka kuagiza wine ya 2, rafiki yake aka mwambia zime tosha SI tuna Rudi job, paka shume Ika sema Ina beba kwa ajili ya baadae!!
Mara Eti nime sahau kuku uliza una fanya kazi wapi??, Wana kulipa. Shingapi??.
Mpaka Kuna li shangazi jirani. lika sema we binti uta fanya wanaume wakuone kifaru cha vita
Rafiki yake ni mtu poa Sana, shida ni hiyo kikaragosiKosa ni la huyo gelofrend wako kumuita rafiki yake