Aaaaah Jamaniii, vibayaa hivyooo, sio kweli bhanaa.yaani Ile ongea yake ni mbwa Koko anaye bweka, rafiki yake nili kutana nae Baada ya hapo.
aka sema huyo ndo alivyo, yaani kiufupi dishi lisha yumba
Mnapaswa kutuhudumia mnajua π π π mbona mnatufanyia hivo.Mwanaume usije ukaruhusu kutowajibika kwa mwanamke kuwa wajibu wako. Kama unataka kukua kiuchumi au kimafanikio basi jipe kipaumbele wewe mwenyewe zaidi ya uyo mwanamke.
Kila binadamu ambae ni mtu mzima anawajibika kujihudumia yeye mwenyewe na iyo ndio inatakiwa kuwa sifa ya kuingia katika mahusiano ya kimapenzi.
Ni wajibu binafsi wa jinsia zote mbili yaani mwanaume na mwanamke kusimama kiuchumi na kumudu kujitegemea kabla haujaingia kwenye mahusiano.
Stop dating liabilities who always are in need of humanitarian aids from you, as a yooug man that kind of relationship is hindrance to your progress.
A relationship is a place for two independent, self sufficient and capable people to mutually exchange value with each other and not place to be completely ripped off by another in the name of "baby i love you"
Kama mwanamke unae-date nae haongezi thamani yoyote kwenye kukua kwako kimaendeleo yafanyie tathmini hayo mahusiano yako, sexual pleasure ya dakika chache isikufanye ukaweka rehani mustakhabali wa maisha yako.
Your relationship should make you better, not broke. If she is not adding tangiable value to your life in anyway and constantly demanding urgent aids, that lady is a thief.
I love you, i love you my brother.
Mtoto Kautakaa...!!πππilaa
πππππdahMtoto Kautakaa...!!
Bado kuna vijana wengi wanahitaji kuamshwaUnaoaje liability, utakuwa huna akili. Wanawake wanaojitambua wapo kibao mbona.
Tatizo sio kuhudumia tatizo ni in-return ya izo huduma wewe unaleta nini mezani.Mnapaswa kutuhudumia mnajua π π π mbona mnatufanyia hivo.
Mimi sijakuelewa kabisa mkuuMwanaume usije ukaruhusu kutowajibika kwa mwanamke kuwa wajibu wako. Kama unataka kukua kiuchumi au kimafanikio basi jipe kipaumbele wewe mwenyewe zaidi ya uyo mwanamke.
Kila binadamu ambae ni mtu mzima anawajibika kujihudumia yeye mwenyewe na iyo ndio inatakiwa kuwa sifa ya kuingia katika mahusiano ya kimapenzi.
Ni wajibu binafsi wa jinsia zote mbili yaani mwanaume na mwanamke kusimama kiuchumi na kumudu kujitegemea kabla haujaingia kwenye mahusiano.
Stop dating liabilities who always are in need of humanitarian aids from you, as a yooug man that kind of relationship is hindrance to your progress.
A relationship is a place for two independent, self sufficient and capable people to mutually exchange value with each other and not place to be completely ripped off by another in the name of "baby i love you"
Kama mwanamke unae-date nae haongezi thamani yoyote kwenye kukua kwako kimaendeleo yafanyie tathmini hayo mahusiano yako, sexual pleasure ya dakika chache isikufanye ukaweka rehani mustakhabali wa maisha yako.
Your relationship should make you better, not broke. If she is not adding tangiable value to your life in anyway and constantly demanding urgent aids, that lady is a thief.
I love you, i love you my brother.
Kama yupo vizuri hapa inatosha, tayari uyo ni productive woman, ninavyosema asiwe liability simaanishi kwamba lazima awe ana mchango wa kifedha. Sio kila mtu ni mjasiliamaliMambo ya malezi na ustaarabu wa kuhandle majukumu yake kwa familia na mume huko namkubali anajituma sana
ππππHata kwa sisi wenye mashangazi mkuu....
Toa neno hapo mkuuππππ
Be precisely, wapi haujaelewaMimi sijakuelewa kabisa mkuu
Rudia kuisoma vizuri comment yangu utaielewa Mzee wangu.Be precisely, wapi haujaelewa
Tangu mwanzo tambua unataka nini kutoka kwa mwanamke, unataka hela zake tu? basi mpige hela kisawasawa, unataka one night stand tu? piga sepa, unataka mwanamke wa kufanya nae maisha zingatia ana nini kichwani. n.kToa neno hapo mkuu
Huyo sio mzima kiakili.MaJitu yana tuma sms Kavu kabsa siku hizi
Haujasema nini ambacho haujaelewa, kwaiyo inakua ngumu kwangu kukufafanulia.Rudia kuisoma vizuri comment yangu utaielewa Mzee wangu.