U are so bitter. Seemingly hata akala chakula ulichonunua roho inakuuma. Kwa mawazo yangu binafsi bado hujafikia title ya kuitwa A Man.
Halaf the mist funny part ni pale wanaume wanapofikiriaga kazi za nyumbani ni rahisi. Hebu kaa nyumbani mwezi mmoja ufanye majukumu anayofanya mama wa nyumbani kama hutomwamkia kwa magoti. Ufue, upike, uoshe vyombo, udeki, usafi kila kitu, uogeshe watoto uwaandae asubuhi shule etc. Ingekua ni rahisi hivyo musingekua mnakaa kwenye makochi mnachezea simu. U are very selfish.
Nutakachokubaliana na wewe ni wale wanawake wenye tamaa ambao wanataka kuyaishi maisha ambayo si yenu kiuhalisia na ufujaji wa hela. Wale wanaopenda maisha ya kuigiza wale ili kuemdana na status kubwa kwenye jamii or else u need to grow up ndo uje ongea such utterances.
Wanawake naturally wameumbwa wahudumiwe. We are flowers. Nasi zipo huduma tunazozitoa kimsingi ambazo hata useme unazilipia u cant. Give massive respect to your morhers and sisters. Na kama hana cha kumuingizia kipato na una uwezo si umpe mtaji afanye jambo? Mbona unataka kuiua pride ya baba na mwanaume? Hivi tittle ya baba mnaichukulia poa sana ama? U are the provider, protector and everything. Ama ndo 50 kwa 50?
Halaf kama umenitukana kilugha chenu nakurudishia.
Kolya ukundi itoshwa ho tudhu uambe tuksengetrie msoro akle mbatu. Kite cha varimu mwekudhukana ni mkuu