beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 849
- 1,168
Even this piece of contribution is another words you added congratulation manI couldn't find better words to add [emoji122][emoji122][emoji122]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Even this piece of contribution is another words you added congratulation manI couldn't find better words to add [emoji122][emoji122][emoji122]
Iwill launch my book next month with the perfect answer stay here jamii forumWhere can I find the perfect ladies?
Tunaongelea huyo unayempa ana add value anakumotivate upate zaidi na mituzamo chanya juu ya maisha na penzi lenu? Au anachuma na kuondoka malaya kibao sinza unanunua unamwaga unasepa at low cost with highly care and thanks na namba anakupa ukimfurahisha[emoji2][emoji2][emoji2]Hata wanaume wengj humu akili zao ni za kutoa tu.. uzi wanaupita.. wanawake wana akili sana.. utatoa tu.. "mtaka cha uvunguni..."[emoji23]
Yapo au ww mzee wa machangupakaIvi mnapata wapi nguvu ya kuongelea mapenzi jamani[emoji3062] hamna mapenzi siku izi
Waambie hiviKwani unafikiri ni nini? Majority ya family zetu ni house wives ila wananyoosha midomo kama chuchunge tu[emoji23]
Mwanamke anaenipenda sana,ataniomba hela sawasawa na misuli yangu ya kiuchumi. Ukiniomba hela bila kuangalia hali halisi ya uwezo wangu utakuwa unanikomoa. Emagine mwanamke yuko tayari ukakope Ili uje umpe yeye,na si kwamba anaenda kuizalisha ile hela ni kwamba anataka akaspend kama wale anaowaona kwenye instagram 😂.Sio kweli mkuu, mi nikikuomba hela sana ujue nakupenda sana, sitaki kukucheat[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tuzitafute wapi sasa?
Sisi dhaifu[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ukiona mwanamke anakuomba hela ujue kuna bond ipo kati yenu, sio from no where afu akuombe haiwezkan,
Na nyie acheni kuwa vitombi, mbaki na hela zenu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute mijanaume yote ilocomment humu 80% mama zao ni wale housewives. Mama angalia familia baba katafute.
Sasa wanakazana kutukana
Wahala dey for us who no got money[emoji1787]
Let me come and be going[emoji1493][emoji1493]
Mdogo wangu ungefunga ndoa na sabuni tu,
La sivyo hela utaombwa tu na kama hutoi utaishia kutuita Mashemeji.
Tukiacha ,nyie mtatou.mbwa na nani?Ukiona mwanamke anakuomba hela ujue kuna bond ipo kati yenu, sio from no where afu akuombe haiwezkan,
Na nyie acheni kuwa vitombi, mbaki na hela zenu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Girls like youWho did?
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄Girls like you
Hatuna nguvu mkuuHuko wanakotoa wanaume
Hatuna nguvu mkuuHuko wanakotoa wanaume
HaahaaaEeeh Mungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba uniache Witty... ni ya henessy ama ya nn mae
Case closed [emoji119][emoji119]On a serious note... wanaume wote wanaosupport hii thread hawana hela. Wenye hela zao wametulia tuliii wanaupita kimya kimya kama wanamuaga marehemu. Hamtaki come and beat me[emoji23][emoji23][emoji23]
Lions & Lioness [emoji881]Pole sana, unapingana na nature, ushawahi kuona mnyama wa kiume anabaki na watoto, afu jike ndio linaenda kutafuta chakula? Waume hilo ni jukumu lenu ku provide.... msikimbie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]