Watu wote mlio comment hapo mnaonekana mnabeef na. mchizi mnajifanya mnamfahamu shkaji lakini naona kama wote hadi mtoa mada kama bibi zenu wanga kaka zenu mashoga lakini hatusemi,eti stopa anavuta bangi au mlevi Kweli mtahukumiwa vibaya sana nanyi kwa unafiki na chuki zenu za kichawi,mwacheni mchizi apambane na maisha yake tunaomfahamu imetuuma sana,kwana hata ingetokea hivo kwani yeye ndio wa kwanza nanyi kati yenu hajawahi kutapika,kifupi endeleeni na maisha yenu acheni wanga,Waturu ndio sisi na tunajua broo hajawahi kututosa ila hata yeye nafasi yake bado ndogo,alitusaidia vya kutosha sema wote sisi hatukua serious sana na muziki yeye binafsi anapambana kivyake na Mungu anajua kifupi jipangeni na maisha yenu inaonekana anawakera sana kifupi anaglieni hii ...
#VIDEO "Tesa Nae" by Joslin ft Stopa Rhymecca full Hd Official Video
Tesa naye by Joslin ft Stopa wa rymes full Hd offircial video - YouTube msimloge tu Mchizi wa watu ni binadamu kama nyie tena wengine hapa Majitu tu wanafiki wakubwa,,alafu tunaomba na yenu mabaya mliyo yafanya na sisi tuyajuwe,,au kwa vile mchizi na msanii mwenye kufahamika na ww unatumia nafasi hii kumchafulia,,jiangalieni washikaji haya maisha tu inaonekana wanaume kama mabinti,baada ya kufata yaliowaleta hapa dunian kumbe mmekuja kufatilia watu acheni uchoko