Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutongoza wakati mwingine kunachosha sana
kutongoza hakuna fomula ww
mm mtongozo wangu ni step by step lakni naambulia patupuhahahaha... simba mwenda pole ndie mla nyamaaa
Unamtingoza mtu leo anakuambia nipe mda kidogo nitakuambia baada ya siku mbili ukionana naye au ukimpigia cm kuulizia utasikia hiv uliniambiaje vile nimesahau naomba unikumbushe.....aisee inabidi ufute namba umpotezeehahahaha... simba mwenda pole ndie mla nyamaaa
ahahahaha baki hapa hapa bro utasikia vituko vingi sana hapaUnamtingoza mtu leo anakuambia nipe kidogo nitakuambia baada ya siku mbili ukionana naye au ukimpigia cm kuulizia utasikia hiv uliniambiaje vile nimesahau naomba unikumbushe.....aisee inabidi ufute namba umpotezee
ahahaah basi na wewe kaa hapa hapa ujifunzeemm mtongozo wangu ni step by step lakni naambulia patupu
pesa pesa pesaahahaah basi na wewe kaa hapa hapa ujifunzee
bro mbona shommy mpaka sehemu ya pil;i nimerusha angalia page ya 4Mpe pole shommy maana alikurupuka..Glass ya kwanza ya maji imeisha hebu ngoja niongeze ya pili kwaajili ya kusoma "Fumanizi".
abeeepesa pesa pesa
Eeehabeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila we jamaa hiyo bangi unayovuta kama ni ya arusha badilisha hata uvute ya chunya saivKwaiyo apo na ww umeona umeandika vya maana..rubbish head kabisa
ahahahaha mtaniua kwa kicheko jamaahaya kubwa LA mashangingi...nimeshafika hapa...naona Vyuma vimekaza kinyama mpaka grisi imegeuka kuwa kama maji tu...kila ukipaka vilainike wapi
karibu mpenziHello
Unanikumbusha kuna mwanamke nilikuwa namtongoza. Hapo nipo chuo udom, akaniambia niende hostel kwao kesho asubuhi. Rafiki zake hawatakuwepo. Siku hiyo nilitetememeka mpaka jasho maana nilikuwa naogopa sana, siku hiyo usingizi haukupita. hatujazoeana leo niende room kwake?. Duh! Mtihani. Km Mungu alisikia kilio changu. Asubuhi akanipigia simu amepata dharula anaenda lecture room kujisomea, kesho wanatest. Nilishangilia sana.Ifanyaje hio plastic surgery labda?! Imtongoze Vera au