Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Mkuu naona umerudiUko moto ww, [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naona umerudiUko moto ww, [emoji23]
Uko sahihi xanaa!!!!!Naamini ukimtongoza mwanamke its not what you say, its about how you say it, mm sina tantalila nyingi, mm na-target mademu ambao naona wako more likely kunikubalia, utakuta demu hana shobo na mm walau hata kujibu text yangu inampa shida, sasa hapo nkitongoza si natafta kibuti tu, kuhusu mda wa kutongoza, mm demu akinizungusha mda mrefu, na-assume kuwa hanipendi na pehaps anataka kuniweka spare tyre, friendzone, au kunichuna pesa nkiona hivo mm nasepa fasta. Kama mwanamke kavutiwa na ww atakukubali tu, hata ukimtongoza kijinga and u will get away with many things, kama mwanamke ni wa kukukatalia atakataa hata uje na maneno yapi, labda akuweke ili akuchune pesa Money Penny
Kweli kaka,,kutongoza sio lazima tuwekana vikao kama vya makinikia,,mtu akikupenda hata ukimshika mkono au ukimwangalia tu tayar ushamtongoza na ushakubaliwa..Naamini ukimtongoza mwanamke its not what you say, its about how you say it, mm sina tantalila nyingi, mm na-target mademu ambao naona wako more likely kunikubalia, utakuta demu hana shobo na mm walau hata kujibu text yangu inampa shida, sasa hapo nkitongoza si natafta kibuti tu, kuhusu mda wa kutongoza, mm demu akinizungusha mda mrefu, na-assume kuwa hanipendi na pehaps anataka kuniweka spare tyre, friendzone, au kunichuna pesa nkiona hivo mm nasepa fasta. Kama mwanamke kavutiwa na ww atakukubali tu, hata ukimtongoza kijinga and u will get away with many things, kama mwanamke ni wa kukukatalia atakataa hata uje na maneno yapi, labda akuweke ili akuchune pesa Money Penny
KASOME UTAJUA UKIMALIZA UJE NA HUKU DUDE LIMESHUKAAANdio nn?
NIPO bebi... unapitwa na mengi njoo hukuUko moto ww, [emoji23]
Mkuu naona umerudi
Uko sahihi xanaa!!!!!
Hadithi ya Money penny imeshukaaa Story: Money Penny ni nani lakini?!Kweli kaka,,kutongoza sio lazima tuwekana vikao kama vya makinikia,,mtu akikupenda hata ukimshika mkono au ukimwangalia tu tayar ushamtongoza na ushakubaliwa..
oh gees! thank you loveAisee ngoja tupige kazi tuweze kujipatia totoz kali kama Money Penny
karibu na huku
Acha kutusumbua bhanaHadithi ya Money penny imeshukaaa Story: Money Penny ni nani lakini?!
povu vee kaka?Acha kutusumbua bhana
Ok! loveoh gees! thank you love
Hadithi ya Money penny imeshukaaa Story: Money Penny ni nani lakini?!
karibu na huku
Hadithi ya Money penny imeshukaaa Story: Money Penny ni nani lakini?!
Kweli kaka,,kutongoza sio lazima tuwekana vikao kama vya makinikia,,mtu akikupenda hata ukimshika mkono au ukimwangalia tu tayar ushamtongoza na ushakubaliwa..
Uko sahihi xanaa!!!!!
Njoo pmpovu vee kaka?
nimekuja sijakuonaNjoo pm
we njoo Mi niponimekuja sijakuona
sijakuona au unaogopa kunitongozaaa?we njoo Mi nipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ww ndio unaogopa sumu yangu.sijakuona au unaogopa kunitongozaaa?
basi njoo uone wenzio wanavyonipiga miti mje na huku nimeshusha hadithi mpya... shuka chini utaiona Story: Money Penny ni nani lakini?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ww ndio unaogopa sumu yangu.
Sawa endelea kupigwa mitibasi njoo uone wenzio wanavyonipiga miti mje na huku nimeshusha hadithi mpya... shuka chini utaiona Story: Money Penny ni nani lakini?!