Never ever trust a woman in this world, pole sana mpambanajiNatumaini mko salama katika ujenzi wa taifa hii ni story ya kweli kuhusu maisha yangu nimeamua leo kuisema ila kuna ambavyo mnaweza kujifunza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Never ever trust a woman in this world, pole sana mpambanajiNatumaini mko salama katika ujenzi wa taifa hii ni story ya kweli kuhusu maisha yangu nimeamua leo kuisema ila kuna ambavyo mnaweza kujifunza.
Kweny sikosel hapa umedanganya na kupotosha.Lengo lao limetimia walitaka uachane na binti yao ambae tayari yupo kwenye hesabu za kichawi either kutolewa kafara kwa mungu wao lucifer au kumrithisha kiti cha uchawi.
Mama yake anaeongezewa damu KILA mwezi means ananyonywa damu na majini so ni lzm awe anaongezewa.
Usioe familia ya kichawi au waganga tegemea kupata yafuatayo kuzaa watoto wenye kifafa , watoto wenye shida ya sikocell.
Asante mkuu kikubwa uhaiNever ever trust a woman in this world, pole sana mpambanaji
Magonjwa yanatoka pande mbili kiroho na kimwili pia yaani yapo ya kibaiologia yaani kisayansi na kiroho pia.Kweny sikosel hapa umedanganya na kupotosha.
Sikoseli ni ugonjwa usioambukizwa ni ugonjwa wa vinasaba mwilini..unarithiwa kutoka kwa wazazi wote wawili.
Ili kuepuka inashuriwa kwenda kupima damu ili kujua kama damu zenu wawili hazina vinasaba hivyo..kabla ya kuanza kuzaa.
#MaendeleoHayanaChama
Amekatisha tu story umeambiwa we usharukia mbele tayalKubali kuokoka, dhoruba inayokuja hakuna mganga wa kienyeji ataweza kukusaidia.
Hongera kwa hiloNimejifunza menig ikiwemo waganga wa kienyeji weng ni chanzo cha matatizo
Nimejifunza kitu naamin kupitia hayo kuna ambao pia watajifunzaDunia tambala bovu pole kwa yaliyokukuta japo uliambiwa lakin hukusikia kitu mwisho wa siku umejifunza kitu
Tena sana wengi watapata funzo hapa mana kikawaida mtu ukiambiwa acha usifanye kitu fulani unakuwa mbishi mpk jambo likukuteNimejifunza kitu naamin kupitia hayo kuna ambao pia watajifunza
Sawa bossMambo mengine mnajitakia wenyewe
Wazee wa kulalamika hawawezi kufunga ndoa kabla ya ngono wakijipumbaza kuwa "wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia" wanapaswa kujifunza hapa.Tafakari Sana mtu yeyeto hata usiyemjua akikupa taadhari usioe / olewa na .... Au akikwambia huyo mtu unamjua?
Dini na mila zinakataza watu kuonjana kabla ya ndoa lengo kuu ni kuepusha upofu Ili upate mwenza sahihi, mkianza kutafunana huwezi ona mapungufu ya mwenzio.
Chunguza kama rafiki kwanza ridhika kisha ndo utafune. Wengi wametumbukia kwenye shida kuu baada ya kunaswa na ulimbo. Ukishaanza kulamba tu asali ni ngumu kuchunguza