Stori ya kweli ya maisha yangu, pitia unaweza kujifunza kitu

Stori ya kweli ya maisha yangu, pitia unaweza kujifunza kitu

Lengo lao limetimia walitaka uachane na binti yao ambae tayari yupo kwenye hesabu za kichawi either kutolewa kafara kwa mungu wao lucifer au kumrithisha kiti cha uchawi.
Mama yake anaeongezewa damu KILA mwezi means ananyonywa damu na majini so ni lzm awe anaongezewa.
Usioe familia ya kichawi au waganga tegemea kupata yafuatayo kuzaa watoto wenye kifafa , watoto wenye shida ya sikocell.
Kweny sikosel hapa umedanganya na kupotosha.

Sikoseli ni ugonjwa usioambukizwa ni ugonjwa wa vinasaba mwilini..unarithiwa kutoka kwa wazazi wote wawili.

Ili kuepuka inashuriwa kwenda kupima damu ili kujua kama damu zenu wawili hazina vinasaba hivyo..kabla ya kuanza kuzaa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kweny sikosel hapa umedanganya na kupotosha.

Sikoseli ni ugonjwa usioambukizwa ni ugonjwa wa vinasaba mwilini..unarithiwa kutoka kwa wazazi wote wawili.

Ili kuepuka inashuriwa kwenda kupima damu ili kujua kama damu zenu wawili hazina vinasaba hivyo..kabla ya kuanza kuzaa.

#MaendeleoHayanaChama
Magonjwa yanatoka pande mbili kiroho na kimwili pia yaani yapo ya kibaiologia yaani kisayansi na kiroho pia.
Kwa my tafiti yangu ya kiroho uzao wa asili ya wachawi na waganga likely au wanasumbuliwa Sana na magonjwa hayo kifafa na sikoseli,
 
Pole

Ila kama nishasoma pahala hii story. Sijui zinafanana au laah.

Ila dunia ina mapambano mengi sana.
 
Dunia tambala bovu pole kwa yaliyokukuta japo uliambiwa lakin hukusikia kitu mwisho wa siku umejifunza kitu
 
Tafakari Sana mtu yeyeto hata usiyemjua akikupa taadhari usioe / olewa na .... Au akikwambia huyo mtu unamjua?

Dini na mila zinakataza watu kuonjana kabla ya ndoa lengo kuu ni kuepusha upofu Ili upate mwenza sahihi, mkianza kutafunana huwezi ona mapungufu ya mwenzio.

Chunguza kama rafiki kwanza ridhika kisha ndo utafune. Wengi wametumbukia kwenye shida kuu baada ya kunaswa na ulimbo. Ukishaanza kulamba tu asali ni ngumu kuchunguza
Wazee wa kulalamika hawawezi kufunga ndoa kabla ya ngono wakijipumbaza kuwa "wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia" wanapaswa kujifunza hapa.
 
Back
Top Bottom