Stori ya kweli ya maisha yangu, pitia unaweza kujifunza kitu

Umeshasahau kuwa shetani ni Baba wa uwongo?

Ugonjwa unatengenezwa kwa nguvu za giza, tena hata hapo ulipo unaweza kuumwa TB, ingawa nao ni ugonjwa ambukizi lakini bado utazunguka sana mahospitalini kutibiwa ila hutaweza kupona hadi uwe na macho ya rohoni ndipo utajinasua katika huo ugonjwa.
 
Magonjwa yanatoka pande mbili kiroho na kimwili pia yaani yapo ya kibaiologia yaani kisayansi na kiroho pia.
Kwa my tafiti yangu ya kiroho uzao wa asili ya wachawi na waganga likely au wanasumbuliwa Sana na magonjwa hayo kifafa na sikoseli,
Nimemshangaa sana huyo Jamaa, anadhani shetani anashindwa kukopi na kupesti vitu vidogo kama hivyo, yani aweze kukopi Marehemu Baba, Babu, Bibi au Mama akija ndotoni kupumbaza watu kuwa ni mizimu/miungu inayosema na Watu walio hai kupitia nguvu za giza, kisha ashindwe kuweka viini macho kwenye vifaa vya kitabibu kuthibitisha kuwa maumivu anayopitia mgonjwa yamesababishwa na sikoseli au kansa ya damu?

Hajifunzi hata kwa Farao alivyokuwa akipambana na MUNGU kwa nguvu za giza kupitia yale mapigo 10 hadi akaruhusu Wana wa Israel toka Misri kwenda Kanani?
 
Wazee wa kulalamika hawawezi kufunga ndoa kabla ya ngono wakijipumbaza kuwa "wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia" wanapaswa kujifunza hapa.
Ngono upofusha.tamaa ya ngono ndio ufanya uzinzi uonekane mtamu. Usipofanya ngono na mtu ni ngumu Sana kutekwa nae na ni rahisi kumchunguza
 
Magonjwa yanatoka pande mbili kiroho na kimwili pia yaani yapo ya kibaiologia yaani kisayansi na kiroho pia.
Kwa my tafiti yangu ya kiroho uzao wa asili ya wachawi na waganga likely au wanasumbuliwa Sana na magonjwa hayo kifafa na sikoseli,
Uko sahihi na mimi tafiti zako zinasema hivyo
 
Kila nikitype najikuta nafuta lakini kwa ufupi tu wanawake wa kilosa mpaka dumila pale kaa nao chonjo wao mpaka familia zao hata ujitoe vipi watakuja wakutolee boko hilo moaka kichwa kitauma. Pole kiongozi nahisi maumivu yako
 
A typical woman in Dar es salaam is either dealing with a sponsor, baby daddy issues or friends with benefits arrangement. Some deal with all the three.
 
Pole mkuu ila upimbi ulikuzidi kichwani. Ulishindwa kusomesha hata ndugu zako au kujenga hata kwenu ukakalia kuburuzwa na mapenzi na kuweka heshima ukweni. Siku nyingine acha ufara huo utakuja kufa siku si zako. Mwanamke siyo nduguyo.
 
Magonjwa yanatoka pande mbili kiroho na kimwili pia yaani yapo ya kibaiologia yaani kisayansi na kiroho pia.
Kwa my tafiti yangu ya kiroho uzao wa asili ya wachawi na waganga likely au wanasumbuliwa Sana na magonjwa hayo kifafa na sikoseli,
Uko sahihi kabisa .... kuna ndg yetu aliolewa na bwana mmoja ambaye wazazi wa kiume ni mganga. Bahati mbaya sana sister na mume wake walifariki.
Mtoto wa kiume waliyemzaa akiwa form two alikuja kupata kifafa cha gafla kimemsumbua mnoo hadi akashindwa kupambana na shule kabisa . Hadi leo tunahangaika nae kama ataweza kupona . Yaaani hvi vitu ni kweli kabisa . Sijui hata tutamsaidiaje ili aweze kupona
 
Kinapona kiroho apatiwe training ya kukata zile connection zote na mizimu ila ni lzm muhusika mwenyewe awe ameridhia.
Mwanadamu kapewa UHURU wa kuchagua mema na mabaya
 
Pole mkuu ila upimbi ulikuzidi kichwani. Ulishindwa kusomesha hata ndugu zako au kujenga hata kwenu ukakalia kuburuzwa na mapenzi na kuweka heshima ukweni. Siku nyingine acha ufara huo utakuja kufa siku si zako. Mwanamke siyo nduguyo.
Katika story yangu hakuna mahali nilipozungumzia nilishndwa kusomesha ndugu zangu au kujenga kwetu

Kwetu nilijenga na pia wadogo zng niliwasomesha

Next time uache kukurupuka
 
Reactions: Cyb
Kila nikitype najikuta nafuta lakini kwa ufupi tu wanawake wa kilosa mpaka dumila pale kaa nao chonjo wao mpaka familia zao hata ujitoe vipi watakuja wakutolee boko hilo moaka kichwa kitauma. Pole kiongozi nahisi maumivu yako
Asante mkuu imebak historia kwa sasa naendelea vyema na maisha yangu
 
Sijaelewa vzuri,umeishi nae miaka nafikiri zaidi ya kumi,mmezaa na watoto,alafu ndio unataka kumuoa baada ya yeye kupata kazi,na familia yake wanakwambia kaletewa barua ya uchumba?huyo si tayari mke wako au?
 
Reactions: Cyb
Jitengeneze kabisa uvunje kabisa connection zao japo ni ngumu sababu tayari kuna mtoto umeunganishwa nao.
Mtoto hana kosa unaweza mkomboa au kumlinda kiroho asiwe connected na wapumbavu.
kumkomboa mtoto?hakuna binadamu au kiasi cha pesa kinachoweza kukomboa uhai wa mtu,zaidi ya damu ya yesu,na ukombozi huo ni bure bila hata sh mia.
 
Shida ilianzia ulipoenda kwa Mganga. Pia usijione umefanikiwa kama haujatubu kosa hilo na kuishi maisha ya utakatifu. Hata wapagani wanafanikiwa. Shida ni roho ya mafatilizi na malipizi kwako. Ulijiungamanisha sehemu mbaya sana ifanyie kazi kwa maombi sasa kama ni mwislam sijui vitu vingine havitok isipokuwa kwa jina La Yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…