Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Mpwayungu Village mchizi wangu gwala popote ilipo Scars OKW BOBAN SUNZU Greatest Of All Time Half american DeepPond 2 Chainz_ johnthebaptistWanawake
Mary: 'Hallow mpenzii'
Lily: 'Niambie my dear'
Mary.: 'Pouwaa za siku jamani'
Lily: 'Nzuri rafiki Yangu wa damu'
Mary: 'Jioni nakuja kwako tule na kunywa japo wine wangu.'
Lily: 'Nakusubiri kwa hamuu mpenziiii'
Baada ya kukata simu kila mmoja anawaza.
Lily: 'Huyu mchawi wa kike leo anataka kuja kwangu wala hanikuti.'
Mary: 'Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu kahaba eti nakusubir Kwa hamuu nani aende.'
Wanaume.
John: 'Niaje we mbwaa'
Sam: 'Pouwa kichaa wanguu'
John: 'Upo wap mpumbavu wewe.'
Sam: 'Niko hom, we fala Uko wap?'
John: 'Baadae nakuibukia jambaz langu tukale bata.'
Sam: 'Pouwaa we mjinga nakusubiri.'
Baada ya kukata simu kila mmoja anawaza.
John: 'Dah baadae nikakae na mwanangu Sam sijamuona long time.'
Sam: 'John bwana akiwa na pesa lazima anitafute mwanaeee.:
Moral of the story.
Baadhi ya wanawake hujifanya wanapendana kwa maneno lakini ni kwa nje tu!! ndani WANACHUKIANA SANA.
WANAUME unaweza Kudhani hawapendani Kwa Maneno lakini WANAPENDANA..
Mpe ✌️ mchizi wako / shost wako kwa tag kudumisha upendo wenu.
Peterrabbit 🥕🐇
Stress free zone