Stori za simu za Wanawake vs Wanaume

Mpwayungu Village mchizi wangu gwala popote ilipo Scars OKW BOBAN SUNZU Greatest Of All Time Half american DeepPond 2 Chainz_ johnthebaptist
 
πŸ˜… Wanavimbiana
 
Mimi nataniana na wanaume kuliko hata wanawake.
Kuna marafiki zangu wa kiume nikimpigia au akanipigia ni vicheko tu.

Mimi : weee mpuuzi upo wapi?
Wao : wee fala nini? Ntaenda wapi sasa niko kwa wifi yako nimelala.
Mimi : mpuuzi mkubwa unalala unalala nini una hela?
Wao : we fala una ishu?
Mimi : kiazi wewe fasta wahi hapa chapπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
We Fala Umetisha sana. πŸ˜…
Yapokee kabisa maua yakoπŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’

πŸ₯•πŸ‡
 
Umemaliza bro japo hawapendi kuambiwa ukweli πŸ‘

Pokea maua yako kabisa πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’

πŸ₯•πŸ‡
Kuna mmoja nipo nae hapa akiwa anaongea na wahudumu wa kike anakuwa busy na simu. Nimemshauri hiyo sio ustaarabu na ni dalili ya dharau. Kama mtu amekupa attention ya kukusikiliza kwa nini wewe pia usimsikilize
 
Na tusio na marafiki tuna comment wapiiiii?
[emoji24][emoji24][emoji24] nahisi uchunguu, aaah
 
Mwanamke ni mtu mnafik sana kwa nafsi ake na kwa wanwake wenzake yaani kama terminator
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…