Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Mpwayungu Village mchizi wangu gwala popote ilipo Scars OKW BOBAN SUNZU Greatest Of All Time Half american DeepPond 2 Chainz_ johnthebaptistWanawake
Mary: 'Hallow mpenzii'
Lily: 'Niambie my dear'
Mary.: 'Pouwaa za siku jamani'
Lily: 'Nzuri rafiki Yangu wa damu'
Mary: 'Jioni nakuja kwako tule na kunywa japo wine wangu.'
Lily: 'Nakusubiri kwa hamuu mpenziiii'
Baada ya kukata simu kila mmoja anawaza.
Lily: 'Huyu mchawi wa kike leo anataka kuja kwangu wala hanikuti.'
Mary: 'Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu kahaba eti nakusubir Kwa hamuu nani aende.'
Wanaume.
John: 'Niaje we mbwaa'
Sam: 'Pouwa kichaa wanguu'
John: 'Upo wap mpumbavu wewe.'
Sam: 'Niko hom, we fala Uko wap?'
John: 'Baadae nakuibukia jambaz langu tukale bata.'
Sam: 'Pouwaa we mjinga nakusubiri.'
Baada ya kukata simu kila mmoja anawaza.
John: 'Dah baadae nikakae na mwanangu Sam sijamuona long time.'
Sam: 'John bwana akiwa na pesa lazima anitafute mwanaeee.:
Moral of the story.
Baadhi ya wanawake hujifanya wanapendana kwa maneno lakini ni kwa nje tu!! ndani WANACHUKIANA SANA.
WANAUME unaweza Kudhani hawapendani Kwa Maneno lakini WANAPENDANA..
Mpe βοΈ mchizi wako / shost wako kwa tag kudumisha upendo wenu.
Peterrabbit π₯π
Stress free zone