Kumbuka kuni tag bossHalafu uje kwenye interview ya alibakari
Una mahudhurio mazuri eeeSijui nianze na ipi aisee,mara ya mwisho kwenda club last saturday..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
YeahhYesterday my girl that y l love you!
Una mahudhurio mazuri eee
Can I ask for ur company?I hustle by my own,kwanini nikinazo nisifanye kitu nachokipenda!! Yaani naenda kwa raha zangu zote,nakunywa nacheza nikichoka narudi.
That's my life[emoji16][emoji16][emoji16]
Uje na ela ako...Can I ask for ur company?
Siku yoyote we niite tu ntakuja [emoji2]
Will u??
Sio la kuuliza hilo sema jingineUje na ela ako...
See you next saturdaySio la kuuliza hilo sema jingine
Ok let me know when you rich the placeSee you next saturday
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kilikuja kwa ndege usijali...Ok let me know when you rich the place
(Sipending kingereza jamani)
Wewe acha tu RIP DJ Kalikali
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Vijana wa siku hizi mmebaki na Bar tu hamna clubs! Nakumbuka siku hio nimeingia club na washkaji tuko watatu, majuu hio. Tuliposimama kwa mbele alikuwa kasimama demu mmoja mkali sana. Sasa kumbe kuna jamaa alikuwa anamsumbua demu akamwambia yule jamaaa bf yule pale anakuona huku ana point kwangu.
Jamaa alikuwa kalewa kidogo akaja tuliposimama akawa ananiomba msamaha mimi sielewi akaniambia gf wako kaniambia uko hapa sorry nilijuwa namsumbua akaondoka mimi kugeuka yule demu ananiangalia na smile moja zuri sana!
Ikabidi nimfuate tukaanza kuongea akaniambia anasubiri rafiki zake kweli baada ya muda wakaja nikawaacha nikarudi kwa wenzangu kwa makubaliano akitaka kuondoka tutaongea zaidi. Then muda wa kuondoka kweli tukaongea nikachukua namba yake,nilim date huyo demu on off kwa miaka 3!
Sikumshangaa sana huyo demu kwasababu enzi hizo nikiingia club unaweza kunifananisha na Nelly,Fabolous au Chingy....ukitaka kujua siku hip nilivaaje angalia Fabulous alivyovaa kwenye cover ya Street Dreams!
Namskia saana huyu jamaaWewe acha tu RIP DJ Kalikali