Stories za nightclub!


Daah ingekuwa Mimi hilo vaagi lingezimwa na defender.

Cc Madame B
 
Namskia saana huyu jamaa
....mimi nilianza clubs nipo under 18.

Nakumbuka siku nililazimisha kuingia baunsa alinidunda mateke hadi leo huyo mzee hatuelewani.
Wewe acha enzi hizo Mbowe ana curl kit na jina tulilolizoea ni Free.
 
Wewe acha enzi hizo Mbowe ana curl kit na jina tulilolizoea ni Free.
Hahahaa umenikumbusha mzee wasira kuna siku nimeskia anasema mnadanganywa name DJ Mbowe...

Watu wametoka mbali ...
 
Best aliamua kukataa hela kisa ww kweli mmeshibana ww na best wako
 
Mkuu club napenda ila toka niwe mkoa wa Mji kasoro bahari sitamani hata kwenda ...unaenda club ujikuta mpo watu kumi yaani club barid kali kama.......
Aisee kweli bhana niliwahi kwenda club moja kyaka bukoba nilikuwa njian kuelekea Kampala nikalala hapo lodge usiku nikazama ka club kamoja watu Wa kuhesabu mademu wawili watatu nikaka muda Wa saa nane hivi nikamtongoza meneja Wa kike Wa ile club nikaenda kumega lodge!
 
Bahati yako mkuu kwingne unakuta hata meneja ni wakiume
 
Siku hizi club nying... Zinaboa coz wadada wana njaa sana.. Wanaforce sana kununuliwa beer... Juzi nilkuwa royal club tmk Sudan.. Dah hatare wana njaa balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…