Hujamalizia mkuu huwa unacheza tu mziki au na ule mchezo pendwa!sijawai kwenda na demu club ila sijawahi kosa demu wa kucheza nae(sio kwamba najisifia) nikipata chance ya kucheza na demu(ambae nimependa jinsi anavyokata mauno)hata dkk 1..lazma anigande na mwisho wa siku najikutaga nacheza na demu mkali mpaka wahuni nliokuja nao wananishangaaga yani huwaga kama nakabahati flani iviii,tokea nikiwa shule
Alikuwa msimamizi wa club yao, ma DJ walikuwa wakina Holela, Kalikali, Chris Phabby,Hivi ni kweli mbowe alikuwa DJ
Alikuwa msimamizi wa club yao, ma DJ walikuwa wakina Holela, Kalikali, Chris Phabby,
kula mzigo ni mara chache sana(siunajua tena mademu wa club)Hujamalizia mkuu huwa unacheza tu mziki au na ule mchezo pendwa!
Wewe nae umeona ilo tu.Best aliamua kukataa hela kisa ww kweli mmeshibana ww na best wako
Aisee...kuna mawili aidha ni muhenga group ya akina Free au ulianza clubbing very young.Alikuwa msimamizi wa club yao, ma DJ walikuwa wakina Holela, Kalikali, Chris Phabby,
Hahaaaaaa club Royal njia panda aisee maisha ya club raha sanaUnanikumbusha hiyo pia iliwahi nikuta Tabora pale jirani na chuo cha uhaziri ile naingia kulipia kiingilio nakuta mchizi anamsumbua Dada mmoja hivi gafla yule Dada akanivaa huku kanishika bega anamsondea kidole yule jamaa huku anamwambia si unaona nilikwambia mwenyewe anakuja Wewe huelewi huyu hapa kaja [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Kucheki demu mwenyewe mkali kiaina nikaopoa hapo hapo nikamlipia kiingilia na badae nikamega mzigo
Mimi mhenga weweAisee...kuna mawili aidha ni muhenga group ya akina Free au ulianza clubbing very young.
Kuna kitu unataka kuninyima, sio bure.Mimi mhenga wewe
Nimependa hii conversation yenu Mkuukatikati ya mwaka huu
We ulikuwa hujazaliwa. Toa shkamoo kwa wakubwa
Aseeh hapo inanibidi tu.... Na wewe kahenga eeehWe ulikuwa hujazaliwa. Toa shkamoo kwa wakubwa
Aa wapi, mimi na baba ya wahenga.Aseeh hapo inanibidi tu.... Na wewe kahenga eeeh
Haya bwana shikamoo ila ukija kwenye anga zangu nakusomesha namba kaa mbali na michuchu yangu.Aa wapi, mimi na baba ya wahenga.
Michuchu yako sina haja nayo. Mama zako wadogo wananitosha kabisa...Haya bwana shikamoo ila ukija kwenye anga zangu nakusomesha namba kaa mbali na michuchu yangu.
Nimemsamehe kwa muda. Akiendelea nambadilisha jinsia...Mroge babu huyu jamaa!