ywf
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 788
- 919
sijawai kwenda na demu club ila sijawahi kosa demu wa kucheza nae(sio kwamba najisifia) nikipata chance ya kucheza na demu(ambae nimependa jinsi anavyokata mauno)hata dkk 1..lazma anigande na mwisho wa siku najikutaga nacheza na demu mkali mpaka wahuni nliokuja nao wananishangaaga yani huwaga kama nakabahati flani iviii,tokea nikiwa shule