Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Hiyo sayansi ilikuwepo kitambo tuu
“He has let free the two bodies Of
flowing water, Meeting together: Between them is a Barrier Which they
do not transgress.” [Al-Qur’aan 55:19-20]

Oceanologists are now in a better position to explain this verse. There is a slanted unseen water barrier between the two seas through which water from one sea passes to the other.

But when the water from one sea enters the other sea, it loses its distinctive characteristic and becomes homogenized with the other water. In a way this barrier serves as a transitional homogenizing area for the two waters. This scientific phenomenon mentioned in the Qur’aan was also confirmed by Dr. William Hay who is a well-known marine scientist and Professor of Geological Sciences at the University of Colorado.
 
Mwamba yule jina lake kwa kimalkia ni la 'SUPIKA' wa mjengo wa jamhuri ya watu wanao weka matanga na nia.
 
Siku hizi ili kupata likes inabidi uwe mpuuzi na kuandika upuuzi kwa kadri inavyotakiwa.
Mkuu umeongea ukweli kiasi flani.
Lakini mleta mada na wachangiaji mada wana hoja zenye kufikirisha.
Note: Naamini Mungu au muumba yupo ila mafundisho na maandiko mengi ni uzushi na batili.
 
Utasikia hata baadhi ya vitu walivyotumia ni vitukufu,

Sandal
Punda
Ngamia
Nyumba walizoishi
Marafiki zao
Washikaji zao


Blah blah nyiingi.. mimi naamini hao jamaa walikuwa wanatumia marijuana...walikuwa na akili nyingi kuwazidi wenzao basi, zilizobakia ni hadithi tu..


Ukitaka kuamini doma Biblia ama Quran ama kitabu chochote cha dini ukiwa High ndio utajua mambo yaliyoandikwa mule yoote hayapo ni mavitu ambayo hayawezi ata kuwa kueleweka
 
Mkuu unamaanisha nisome Biblia au Quran nikiwa nimevuta cha Arusha a.k.a Msuba au Mjani ndio nitaelewa upotoshaji wake. You are so funny
 
Mkuu kuna yule aliyeumbwa siku Moja na adam, na Mungu akawaita Adam, kuna wa pili ambaye ubavu wa adamu ulichomolewa, baada ya kupewa usingizi mzito, Eva. Kwahiyo kuna uumbaji wa aina mbili za mwanamke.
 
Wafia dini huwa hawapendi kujiuliza maswali uliyojiuliza, maana yanaleta msuguano wa kiimani, utawasikia Mungu ana makusudi.

Umeiacha ile ya kuufanya moyo wa farao kuwa mgumu, alafu akaua wazaliwa wa kwanza wa wanyama na binafamu.
 
Wafia dini huwa hawapendi kujiuliza maswali uliyojiuliza, maana yanaleta msuguano wa kiimani, utawasikia Mungu ana makusudi.

Umeiacha ile ya kuufanya moyo wa farao kuwa mgumu, alafu akaua wazaliwa wa kwanza wa wanyama na binafamu.
Mkuu hiyo nayo ilinifanya nishangae mashangao yote..🤣

Yani alimfanya kuwa mkaidi halafu akamuadhibu then farao ndo anaonekana mmbaya na si Mungu aliemfanya farao kuwa mkaidi..😀
 
Kwani neno ( biblia au Msahafu)la Mungu ni kwa ajili ya wale wamchao bwana au wale wasio mcha?
 
Kitu kingine kinachonishangaza shetani alipokengeuka kwanini asitupwe kwingine akatupwa huku duniani.Je ilikuwa ni mpango wa huyo mungu shetani atutaabishe
 
Hili nalo no la kujiuliza sana. Tumepigwa sana lwenye hizi dini
 
Picha ya Yesu ipo mpaka sanamu(sawa)
Maria (Mama mtoto) ipo,
Kuna hawa picha sijawahi kuziona;
Petro,
Yuda,
Daniel,
Au washkaji zake na Yesu.

Kama camera 📷 ilikuwa bado, je alichorwa au alichongwa kama vinyago vya Mwenge🙄
Kwa nini picha za wengine hazipo!!!
 
Kwakweli hapa ni kikwazo sana ila naamini Mungu yupo kweli pamoja ni mikanganyiko yote hii
 
Hapa umekaza kichwa tu ila inaeleweka kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…