Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Sasa hapo usichokielewa ni kipi mkuu. Kuna binadamu walioumbwa na kuna binadamu wametokana na nyani.

Walioumbwa walikuwa waafrika. Edeni ilikuwa maeneo ya East Afrika, Tanzania.

Wazungu na wachina wanatokana na nyani. Ndio maana wana akili nyingi. Kwa sababu evolution inaendelea.

mbona kama umegeuza kwenye concept ya nyani na wazungu
 
Yupo si ndo Quran inasema aliyeona jua linazama kwenye matope.
Sarafu zake zilikuwa Na picha yake akiwa Na mapembe ndo maana kulwani ilimwita dhul qarnayn yaani mtu mwenye mapembeView attachment 1831380
Dhal Qarnayn (Dhul Qarnayn) hakuwa ni Mtume na hakuwa Alexander the Great ni watu wawili tofauti bali alikuwa ni mja mwema.

Jua kuzama kwenye matope hili umeshafahmishwa mara nyingi na ukawekewa mifano ya picha na kuelezewa kuwa Qur'an ilikuwa inazungumzia jinsi Dhal Qarnayn alivyoliona yeye Jua.

Kuitwa mwenye pembe mbili (Dhal Qarnayn) haikumaanisha maana ya pembe kiistilahi kama mfano wa picha ya sarafu uliyoiweka. Dhal Qarnayn/mwenye pembe mbili kwa maana mwenye elimu mbili; Elimu ya Sheri(1)na elimu ya Tazkiya kwa jina lengine Ihsan(2). Kwa kuwa na hizo elimu mbili akapewa lakabu ya mwenye pembe mbili.

Chapa ya kwenye hiyo sarafu ni chapa ya Alexander the Great.
 
No Signal naye kaleta la kwake, hebu wanaokifahamu Kitabu hicho wachangie nasi tupate elimu dunia na elimu ahera leo1
Qur an (23:12-13) inaelezea makuzi ya mimba katika ile hatua isiyoonekana kwa macho matupu ndani ya tumbo la uzazi kwa maneno ya fuatayo;

Na kwa yakini tulimuumba mtu kwa udongo safi kisha tukamuumba kwa tone la manii (mbegu ya uzazi) lililowekwa katika makao yaliyohifadhika, kisha tukalifanya tone hilo kuwa pande la damu, kisha tukalifanya pande hilo la damu kuwa pande la nyama, kisha tukalifanya pande la nyama hilo kuwa mifupa na mifupa tukaivika nyama kisha tukamfanya kiumbe kingine basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji.

Soma kwa Jina la Mola wako aliyeumba, amemuumba mtu kutokana na kitu kinachodedereka (pande la damu) (96:1-2)

Kwa hakika tulikuumbeni kwa udongo kisha kwa maniii kisha kwa kitu kinachoderereka (kipande cha damu) kisha kuwa kipande cha nyama kinachoumbika (22:5)
 
Mkuu hivi unawezaje kumthibitishia mtu kuwa hapa duniani kuna Spiderman au aliwahi kuwepo Spiderman kwa kumuwekea CD ya movie ya Spiderman?? [emoji13][emoji13][emoji13]

Yaani mtu amekuuliza "hivi unaweza kuthibitisha kweli Tazani aliwahi kuwepo?" Wewe unamwambia ndio nakuthibitishia kwa kukuwekea movie ya Tazani uangalie pale kwenye dakika ya 20: sekunde ya 42 ya movie ile utapata uthibitisho[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Yaani mtu anakwambia biblia imeandikwa na watu tu, sio neno la Mungu. Na huyo Mungu anayesemwa ni wa uongo hayupo, wewe unamwambia nakuthibitishia kwa kukufungulia biblia hiyo hiyo Yohana 3:16[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mtu akikwambia soma vitabu vingine vya kihistoria, fanya utafiti wa kina ujue kama yaliyoandikwa kwenye hivyo vitabu ni ya kweli wewe unasema ukweli wake upo ndani ya hivyo hivyo vitabu, hutaki kusoma vingine[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Yaani waafrika sijui akili yetu imefunguwa wapi!!! We ñeed to change. Tutafute ukweli, na ukweli uko wazi kabisa na ushahidi unaoshikika kabisa kuwa dini ni uongo na yaliyoandikwa mengi hayakuwahi kutokea. ukisoma vitabu vingi utajionea pasi na shaka kabisa.


Mbingu na Jehanam havipo sehem yoyote ile bali kwenye ubongo wa waumini.
Umetisha sana... Dini ni utapeli kama utapeli wa karata 3. Viongozi wanaitumia kudanganya watu wazungu waliitumia kuteka Waafrika waarab waliitumia kuchukua utumwani waafrika
 
Qur an (23:12-13) inaelezea makuzi ya mimba katika ile hatua isiyoonekana kwa macho matupu ndani ya tumbo la uzazi kwa maneno ya fuatayo;

Na kwa yakini tulimuumba mtu kwa udongo safi kisha tukamuumba kwa tone la manii (mbegu ya uzazi) lililowekwa katika makao yaliyohifadhika, kisha tukalifanya tone hilo kuwa pande la damu, kisha tukalifanya pande hilo la damu kuwa pande la nyama, kisha tukalifanya pande la nyama hilo kuwa mifupa na mifupa tukaivika nyama kisha tukamfanya kiumbe kingine basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji.

Soma kwa Jina la Mola wako aliyeumba, amemuumba mtu kutokana na kitu kinachodedereka (pande la damu) (96:1-2)

Kwa hakika tulikuumbeni kwa udongo kisha kwa maniii kisha kwa kitu kinachoderereka (kipande cha damu) kisha kuwa kipande cha nyama kinachoumbika (22:5)
Hiyo sayansi ilikuwepo kitambo tuu
 
Ishu ya moses ni ngano,,uhalisi ni kuwa kipindi kinachozungumzwa,misri ilikuwa ikitawala mpaka caanan,influence ya misri ilikuja kupunguzwa kipindi cha Armana
Inshort Mose hakuwa kutokea
 
Kwamba peponi tutakuwa tunachakata bikra mia ngapi sijui. Yaan kazi yetu itakuwa kupigana miti tuuu aseee waarabu nyie. Kama wanaume kazi yetu itakuwa kuzungukwa na wanawake bikra tunajipigia. Dada zetu na mama zetu wao watazungukwa na akina JOHN SINS, MANDIGO,na masela kama yake ya kwenye LEGALPORNo etiiiiii.
Waaarabu hapa naona story haijabalansi aseeee mje mtueleze vizuri.
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Kama bado hujapata jibu hii storry niambie mkuu nikuweke sawa, ili uwelewe na uamini Kisha uwokoke na kumpokea Yesu.
 
Hiyo sayansi ilikuwepo kitambo tuu
The Creation of the Universe

The ‘Big Bang’
The creation of the universe is explained by astrophysicists in a widely accepted phenomenon, popularly known as the ‘Big Bang’. This theory is supported by observational and experimental data
gathered by astronomers and astrophysicists for decades.

According to the ‘Big Bang theory’, the whole universe was initially one big mass (Primary Nebula). Then there was a ‘Big Bang’ (Secondary Separation) which resulted in the formation of galaxies. These then divided to form stars, planets, the sun and the moon, among other things. The origin of the universe was unique and the probability of its occurring by ‘chance’ is zero.

The Qur’an contains the following verse, regarding the origin of the universe:

Have those who disbelieve not known that the heavens and the earth were joined together as one united piece, then We parted them? (Qur’an 21:30)


There was an Initial Gaseous Mass before the Creation of Galaxies Scientists say that before the galaxies in the universe were formed, celestial matter was initially in the form of gaseous matter. In short, huge gaseous matter or clouds were present before the formation of the galaxies. To describe initial celestial matter, the word ‘smoke’ is more appropriate than gas. The following Qur’anic verse refers to this state of the universe by the word dukhaan, which means smoke.

Then He (i.e. Allah) rose over towards the heaven when it was smoke, and said to it and to the earth: “Come [into being] both of you willingly or unwillingly.” They both said: “We come willingly.”
(Qur’an 41:11)
 
The Creation of the Universe

The ‘Big Bang’
The creation of the universe is explained by astrophysicists in a widely accepted phenomenon, popularly known as the ‘Big Bang’. This theory is supported by observational and experimental data
gathered by astronomers and astrophysicists for decades.

According to the ‘Big Bang theory’, the whole universe was initially one big mass (Primary Nebula). Then there was a ‘Big Bang’ (Secondary Separation) which resulted in the formation of galaxies. These then divided to form stars, planets, the sun and the moon, among other things. The origin of the universe was unique and the probability of its occurring by ‘chance’ is zero.

The Qur’an contains the following verse, regarding the origin of the universe:

Have those who disbelieve not known that the heavens and the earth were joined together as one united piece, then We parted them? (Qur’an 21:30)


There was an Initial Gaseous Mass before the Creation of Galaxies Scientists say that before the galaxies in the universe were formed, celestial matter was initially in the form of gaseous matter. In short, huge gaseous matter or clouds were present before the formation of the galaxies. To describe initial celestial matter, the word ‘smoke’ is more appropriate than gas. The following Qur’anic verse refers to this state of the universe by the word dukhaan, which means smoke.

Then He (i.e. Allah) rose over towards the heaven when it was smoke, and said to it and to the earth: “Come [into being] both of you willingly or unwillingly.” They both said: “We come willingly.”
(Qur’an 41:11)
Do you really believe that? Personally I believe we aren't the only living creatures in the universe/galaxy. Somewhere out of earth there is a possibly of life existance.
 
Do you really believe that? Personally I believe we aren't the only living creatures in the universe/galaxy. Somewhere out of earth there is a possibly of life existance.
“He Who created the heavens And the earth and all That is between.” [Al-Qur’aan 25:59]
 
Kwamba peponi tutakuwa tunachakata bikra mia ngapi sijui. Yaan kazi yetu itakuwa kupigana miti tuuu aseee waarabu nyie. Kama wanaume kazi yetu itakuwa kuzungukwa na wanawake bikra tunajipigia. Dada zetu na mama zetu wao watazungukwa na akina JOHN SINS, MANDIGO,na masela kama yake ya kwenye LEGALPORNo etiiiiii.
Waaarabu hapa naona story haijabalansi aseeee mje mtueleze vizuri.
Winds impregnate the clouds

“And We send the fecundating winds, Then cause the rain to descend From the sky, there with providing You with water (in abundance).” [Al-Qur’aan 15:22]


“It is Allah Who sends The Winds, and they raise The Clouds: then does He Spread them in the sky As He wills, and break them Into fragments, until thou seest Raindrops issue from the midst Thereof: then when He has Made them reach such Of His servants as He wills, Behold, they do rejoice!” [Al-Qur’aan 30:48]
 
Kuna yule baharia alitaka kusababisha wenzake wafe kwa meli wakamtupa baharini akamezwa na samaki siku 3 halafu akatemwa kule alipotakiwa kwenda ambapo alikuwa hataki na aliagizwa na Mungu..[emoji1787][emoji1787]

Haikutosha vipi kwa mose ati alitawanya bahari waisraeli wakapita!.. nilipopenda zaidi ati shetani alienda mbinguni kuongea na Mungu ili amjaribu yule msela aliepewa mapunye mwili mzima,utajiri wake ukapotea,familia yake ikafa! How can it be wengine wafe kisa kujaribiwa kwa mtu mmoja!![emoji3]

Vipi kuhusu Israel ati alipigana na malaika usiku kucha mwisho wa siku malaika akaamua amtengue nyonga yakobo..[emoji1787] jamani kama ni kupima uwezo Mungu si anajua uwezo wa kila mtu Sasa vipi kutumiana malaika waje tupigane nao ngwara..??[emoji23]

Tuachane na yote ati Adam na Eva walipokula tunda Mungu alipokuja akaanza kuwauliza ati nani kawaambia wapo uchi baada ya kula tunda!.. wakati huohuo tunaambiwa Mungu anayajua yote mwanzo Hadi mwisho sasa alikasirika nini na wakati alikuwa anajua kila kitu!
Alimuumba shetani huku akijua ya kuwa atakuja msaliti..[emoji1787] what a movie..??
Kwnaini unaamini shahawa zako ukizimwaga kwa mwanamke anapatikana mtu.Hivi ni wewe kweli au ?Sasa mtu kumezwa na samaki na akawa mzima ndo unafhami Jambo gumu?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom