koba lee
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 981
- 1,606
tiriii tiriiii tiriii tiiiri x 2Sasa nimehamia mtaa wa saba, toka pale nilipokuwa nikikaa zamaniiiii....
Hii nyumba sio nyumba, ilikuwa na mikosi oooh...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tiriii tiriiii tiriii tiiiri x 2Sasa nimehamia mtaa wa saba, toka pale nilipokuwa nikikaa zamaniiiii....
Hii nyumba sio nyumba, ilikuwa na mikosi oooh...
Funguka kiliwakuta Nini?Kuna ndugu yangu alihamia nyumba flani iko tegeta wazo, wakati anahamia kuna mtu jirani alimfuata akamwambia we dada hiyo nyumba watu hawakai mwenye nayo ni balaa.
Yeye kwakuwa alikuwa kalipa kodi akaona hawezi acha kodi yake.
Siku ya kwanza kalala fresh asubuhi mwenye nyumba kaja ni mama flani wa kipemba.
Na alipokuja akanikuta nimekuja salimia, akawa anamuuliza huyo ndugu yangu. Vipi umelala vizuri bila tatizo. Akajibiwa ndiyo. Akarudia bila tatizo kabisa, akajibiwa ndio.
Ndugu yangu hakutafakari yale maswali, ila mimi niliyatafakari sana.
Nikawa najiuliza huyu mama alitegemea apatwe tatizo au.
Aliendelea kukaa na wakahamia wengine, wakawa wapangaji watatu.
Kilichowakuta hawawezi kusahau.
Basi bora Mpawa au Voda Kibubu.Kumbuka bank kuba zingine hukata kila baada ya muda fulani na pia kuna kilinda account hivyo ukitoa hutatoa hela zote.