Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Nimemwambia nenda ukachomekwe pembe la ng'ombe utusini,achana na zanzibar na wazanzibar
Mimi ni Mwafrika Ufugaji wa Ng'ombe ni Asili ya Mwafrika, kamwe sitolamba makalio ya Sultani wa Kiarabu.

Halafu niwaulize ninyi Machotara mbona mnapenda kuenzi upande wa Mwarabu huku mkidhihaki upande wenu wa Uafrika? Kumbuka ukienda Uarabuni wewe ni Al Abidi tu hata kama una Damu ya Kiarabu.
Mnahitaji mapinduzi ya Kifikra.
 
kwa nini hawataki babu yake wapemba aje? na ikiwezekana arithi mikarafuu yake aliyoiacha ili waswahili wabaki na ardhi ila mikarafuu juu yake ni ya mwarabu kama ilivyokuwa zamani.
 
Kama kuchomekwa pembe kunakuboa,basi vutwa antenna ifike size ya dole la Kati,Ili ukimwaga maji(kachabari) umwage kama bomba la mvua
 
Sultani wa Kiarabu na ukoo wake waliotajirika na Biashara ya Utumwa wa Waafrika wenzetu atafia huko huko alikombilia zitabaki Story tu za hapo zamani za Kale.
 
Hapo wakubwa tumesha Elewa haikuwa chakula Hiki cha kawaida kama chakula 🤣🤣🤣🤣🤣

Ndio maana waka kumaind
 
Hata Ufalme wa Uhabeshi ambao ni Ufalme wenye umri mrefu kabisa sawa na Mafarao wa Misri lakini ilifikia Wananchi wakauchoka na ukaondolewa.

Mwami wa Rwanda ambaye falme zao inapita kwa umri hata Masultani wa Omani lakini waliondolewa halafu kuna Watu wanalialia kuondolewa kwa Sultani wa Kiarabu.

Hata huko Swaziland/Eswatini vuguvugu la kuuondoa Ufalme lipo.
 
Chotara yeyote asiejielewa lazima amuone hivyo, lakini Waafrika wanaojielewa na haswa PanAfricanists Okello yumo ndani ya Mioyo yetu.

Endelea kula matunda ya Pan Africanism ya CCM mkuu, uwe usilalamike sana tu wakati wa maumivu
 
Endelea kula matunda ya Pan Africanism ya CCM mkuu, uwe usilalamike sana tu wakati wa maumivu
Mimi ugomvi wangu na CCM ni hii style yao ya Utawala wa Authoritarianism na kuiba Kura Rushwa na ukandamizaji wa Demokrasia lakini siku wakibadilika wakaheshimu Demokrasia CCM itatuvutia sisi Wazalendo.
 
Ukweli huwa haujifichi, wanaotunga habari za uongo muda utawaumbua tu.
 
sultan mwenyewe ukimwangalia sio mwarabu, ni wale koko, hata akienda pale nzega kwa waarabu wa nzega ndogo atanyanyapaliwa na waarabu wa kibongo. utumwa wa fikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…