Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #81
Kuzungumzia atrocities za utumwa, is like a taboo topic, niliwahi kuongea hayo, Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama nikasomewa hadi itkaf na albadir, kwa vile sio wa imani hiyo, siamini hayo mambo na haikunihusu!.Hivi atrocities kule Zanzibar ilitokea tu 12 January 1964 tu huko siku za awali wakati wa Utumwa hakukuwa na atrocities, au hizo atrocities za wakati wa Utumwa hazitatazamwa wakati wa Judgement Day!?
P