Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Hivi atrocities kule Zanzibar ilitokea tu 12 January 1964 tu huko siku za awali wakati wa Utumwa hakukuwa na atrocities, au hizo atrocities za wakati wa Utumwa hazitatazamwa wakati wa Judgement Day!?
Kuzungumzia atrocities za utumwa, is like a taboo topic, niliwahi kuongea hayo, Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama nikasomewa hadi itkaf na albadir, kwa vile sio wa imani hiyo, siamini hayo mambo na haikunihusu!.

P
 
Kha! Nisingependa usomewe Tena kwa mara ya pili itkaf!! Lakini, ningependa kujua hoja Yao, hao wasoma itkaf, ilikuwa ni ipi katika kupinga kuhojiwa atrocities wakati wa Utumwa?
Hoja yao kwenye utumwa, Zanzibar lilikuwa ni soko tuu, wao wanaletewa, ila hawakamati, Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama walipanda hasira baada ya kunituhumu kuwa mimi ninachuki na Wazanzibar, na mimi nilivyo open and transparent, si nikafunguka jinsi ninavyowapenda dada zao na kila nikija Zanzibar, lazima nile vyakula vya Kizanzibari... Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? Ikawa kesi!, walikasirika hao na wakaja juu kama moto wa kifuu!.
P
 
Sultani wa Kinyamwezi akatawale Saudi Arabia haitawezekana Waarabu wote wataandamana kwenda kumtoa.

Baada ya Afrika Huru Waafrika nao wakaona wamuondoe Sultani wa Kiarabu kunanongwa gani hapo?
 
Au Besigye akawe Sultani huko Uarabuni uone kama atakubalika?,Mwarabu hawezi kukubali tuambianeni na ule ukweli.

besigye-data.jpg

Na kama Besigye hawezi kukubalika huko Uarabuni basi ni bora Mtu Mweusi aachwe ajitawale.
 
Uingereza ni Mzungu anamtawala Mzungu mwenzake.

Iweje Sultani Mwarabu awatawale Waafrika wakati Waarabu hawawezi kukubali kutawaliwa na Sultani wa Kiafrika huko Uarabuni.

Wakuwaiti walimkataa wazi wazi Mwarabu mwenzao aliyekuwa amezaliwa na Kijakazi wa Kihabeshi kwasababu ni Mweusi.

Nendeni mkatawale Oman,Afrika hatujitaji Usultani tunataka zibaki Jamhuri tupu.
Huyo sultan mbona ni mweusi kuliko wewe,mama yake mndengereko
 
Na bado yanaitwa Mapinduzi matukufu ya Zanzibar. 🤔 😳
 
Huyo sultan mbona ni mweusi kuliko wewe,mama yake mndengereko
Ni muendelezo wa Masultani wa Kiarabu waliofanya unyama mkubwa dhidi ya Waafrika weusi hatumtaki na kama akija asimamishwe Mahakamani.
 
Ni muendelezo wa Masultani wa Kiarabu waliofanya unyama mkubwa dhidi ya Waafrika weusi hatumtaki na kama akija asimamishwe Mahakamani.
Wapo zenji toka 1600, wakati huo babu zako wapo zambia na waunguja wengi wa leo wapo tabora,akina mapuri(kinyamwezi tembo), sultan ni mzawa zaidi zanzibar kuliko hussein mwinyi(mnyamwezi)
 
Wapo zenji toka 1600, wakati huo babu zako wapo zambia na waunguja wengi wa leo wapo tabora,akina mapuri(kinyamwezi tembo), sultan ni mzawa zaidi zanzibar kuliko hussein mwinyi(mnyamwezi)
Tumewaondoa Masultani wa Kiarabu kwa nguvu, Masultani wa Kiarabu hawana nafasi kwenye Afrika HURU, kama unawapenda sana nenda kaishi Sultanate of Oman.

Hatutaki ukoloni, Zanzibar itabaki kuwa ni Jamhuri ya Kisecular.
 
Tumewaondoa Masultani wa Kiarabu kwa nguvu Masultani wa Kiarabu hawana nafasi kwenye Afrika HURU kama unawapenda sana nenda kaishi Sultanate of Oman.

Hatutaki ukoloni Zanzibar itabaki kuwa ni Jamhuri ya Kisecular.
Wewe siyo mzanzibar,nenda kwenu utusini ukachomekwe pembe la ng'ombe
 
Wewe siyo mzanzibar,nenda kwenu utusini ukachomekwe pembe la ng'ombe
Mimi ni Mwafrika Ufugaji wa Ng'ombe ni Asili ya Mwafrika, kamwe sitolamba makalio ya Sultani wa Kiarabu.

Halafu niwaulize ninyi Machotara mbona mnapenda kuenzi upande wa Mwarabu huku mkidhihaki upande wenu wa Uafrika? Kumbuka ukienda Uarabuni wewe ni Al Abidi tu hata kama una Damu ya Kiarabu.
Mnahitaji mapinduzi ya Kifikra.
 
Mimi ni Mwafrika Ufugaji wa Ng'ombe ni Asili ya Mwafrika, kamwe sitolamba makalio ya Sultani wa Kiarabu.

Halafu niwaulize ninyi Machotara mbona mnapenda kuenzi upande wa Mwarabu huku mkidhihaki upande wenu wa Uafrika? Kumbuka ukienda Uarabuni wewe ni Al Abidi tu hata kama una Damu ya Kiarabu.
Mnahitaji mapinduzi ya Kifikra.
Nimemwambia nenda ukachomekwe pembe la ng'ombe utusini,achana na zanzibar na wazanzibar
 
Back
Top Bottom