imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hapa JF huwa tunapenda kujadiliana kwa facts na ushahidi, ukiisoma story mzima ya Hayati John Okello inajielezea wazi alipotoka Uganda Kenya na kuingia Visiwani ilikuwa ni safari ya kutafuta ajira kubangaiza alipofika Zanzibar alifedheheshwa sana na maisha ya Waafrika yalikuwa maisha duni sana huku wakinyonywa na Wazanzibari wa makabila ya Waarabu.mkuu kwa maarifa yako wewe unahisi alikuwa involved vipi na suala zima la mapinduzi? story za kuwa katoka kijijini kwao uganda mpaka kwenye nchi ya watu alafu kijana chini ya miaka 30 within 5 years akafanya mapinduzi kwenye nchi ya watu ni story za kijiweni ambazo hata mtoto wa miaka 18 haziwezi kumuingia.
Okello alikuwa ni Che Guavara wa Kiafrika.
