Exactly. Nashangaa watu wanakuwa wepesi kutoa conclusion kwa mechi mbili za raundi ya awali, bila kujali kwamba mechi hizi huwa ni za timu zinazokuwa dhaifu. Yaani kumpima Kaseja kwa mechi ya Burundi, ni sawa na kumpima Kabwili au Kindoki kwenye mechi ya raundi ya awali dhidi ya timu ya Shelisheli, kisha kuja kumuita kuwa ni golikipa boraMzee Kaseja hajapata kipimo sahihi tulia hivyo hivyo maneno yako yasije kukung'ata siku moja.
.
Sudan is coming
Makundi kwenye kutoa mataifa (10) yatakayo cheza head to head ili kupata watakaokwenda Qatar yanakuja
.
Akivurunda usije geuza maneno yako
Toka lini mmanuaji akafanya jambo la maana?Tupa mbali hiyo Mmanulo.
Mkuu, naona umekomaa kuwalinganisha Kaseja na Manula kupitia mikwaju ya penati dhidi ya Wakenya. Kenya ya AFCON aliyodaka Manula na Kenya ya CHAN aliyodaka Kaseja ni timu mbili tofauti kabisa, ile ya AFCON ina professional strikers kama Michael Olunga na Victor Wanyama.... akaonesha uwezo mkubwa ajabu, kadaka penalty tatu, tukawatoa Wakenya, Watu wakakumbuka mechi yetu dhidi ya Kenya kule Misri, ambapo Bwana Manula alishindwa kupangua mikwaju ile ya Wakenya ila leo hii Bwana Kaseja kaipangua yote, Mtaani wakasema "Laiti kama Kaseja angekuwepo kule Misri, pengine story ingebadilika" ...
Ni vyema kutoa mapendekezo pia badala ya kuishia kusema 'simkubali'. Unamkubali au unapendekeza nani awepo langoni Simba?Sijawahi kumkubali manula kwakweli
Uwepo wake simba nauvumilia tu ila hakuna kitu pale.
Kakolanya anatufaa zaidi kuliko huyu mtumia ndumba manula.Ni vyema kutoa mapendekezo pia badala ya kuishia kusema 'simkubali'. Unamkubali au unapendekeza nani awepo langoni Simba?
Miaka 19 anacheza soka hakuwahi kupata kipimo aje kukipata leo kwenye mechi ya Sudan!!!
Acha kuchekesha watu. Hao magolikipa wazuri watakaompiku Kaseja wamepata vipimo lini wao?
Kinachotuponza wabongo ni kila mmoja kujifanya mjuaji. Kakolanya na Manula wote wapo kambini na makocha, halafu leo mtu asiyejua hata timu inafanyia mazoezi wapi anakuja kuchagua mchezaji wa kupangwa. Nadhani unaenda na mkumbo wa upepo tu, ila kama kweli unafuatilia soka hasa mechi alizocheza Simba ugenini mwaka jana, magoli aliyookoa Manula kama angekuwa kipa mwingine yoyote mtanzania, bao zingekuwa zaidi ya zile.Kakolanya anatufaa zaidi kuliko huyu mtumia ndumba manula.
Kakolanya ametuthibitishia kwamba si lazima tufungwe ugeniniKinachotuponza wabongo ni kila mmoja kujifanya mjuaji. Kakolanya na Manula wote wapo kambini na makocha, halafu leo mtu asiyejua hata timu inafanyia mazoezi wapi anakuja kuchagua mchezaji wa kupangwa. Nadhani unaenda na mkumbo wa upepo tu, ila kama kweli unafuatilia soka hasa mechi alizocheza Simba ugenini mwaka jana, magoli aliyookoa Manula kama angekuwa kipa mwingine yoyote mtanzania, bao zingekuwa zaidi ya zile.
Mkuu, huwezi kumpima mchezaji kwa mechi moja au mbili halafu ukakimbilia kutoa conclusion. Yaani kutoruhusu goli Msumbiji basi tayari unaconclude kwamba Kakolanya huwa haruhusu magoli ugenini? Anacheza peke yake? Mbona sababu nyepesi sana?Kakolanya ametuthibitishia kwamba si lazima tufungwe ugenini.Tumetoa droo na Songo japo tulishambuliwa sana,
Unamlinganishaje na huyu sweta manula, ambae kila shuti linalopigwa langoni kwenu ni lazima uwe na wasi wasi
Au goli tulizofungwa na nkana pale kwao ushazisahau?
Umeongea kitaalamu, na sio ngonjera!Manula alipata majeraha kwenye mazoezi ya kujiandaa na mechi dhidi ya Harambe stars.
Kaseja na Manula hawana tofauti kubwa sana kihivyo kama ni penalty manula huwa anazicheza nyingi tu kama kaseja.
Manula ni mzuri kwenye one against one situation kuliko kaseja.
Kaseja ni Bora kwenye long balls kuliko manula.
Manula ni mzuri kucheza krosi kuliko kaseja.
Kaseja ni Bora kwenye kucheza dead balls kuliko Manula.
Wote wanauwezo mzuri kucheza mipira ya chini kwa kiwango kinachofanana.
Concentration uwanjani kaseja anamzidi manula ndiyo maana Manula hufungwa magoli mengi ya kushitukiza.
Manula anaongea vizuri na defence kuliko kaseja ndiyo maana makosa ya defence akiwepo kaseja yanakuwa mengi hata jana miscommunication uwanjani ndiyo iliyosababisha goli la Burundi.
Anticipation manula ni mzuri kuliko Kaseja ndiyo maana manula hafungwi goli nyingi za one against one situation.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Huyo manula toka alipopewa nafasi siku ya kwanza national team hajawahi temwa for 4 years now utasemaje Hafai ?
Tuache ushabiki mandazi
Ulikuwepo wapi muda wote kiongozi yani nilikuwa nikibishana na watu wenye uelewa fulani hivi (i don't offend them) lakini daaahExactly. Nashangaa watu wanakuwa wepesi kutoa conclusion kwa mechi mbili za raundi ya awali, bila kujali kwamba mechi hizi huwa ni za timu zinazokuwa dhaifu. Yaani kumpima Kaseja kwa mechi ya Burundi, ni sawa na kumpima Kabwili au Kindoki kwenye mechi ya raundi ya awali dhidi ya timu ya Shelisheli, kisha kuja kumuita kuwa ni golikipa bora
Ni wazi kabisa ndivyo ilivyo.Unapoteza nguvu na muda wa muda wako.
Kwa miaka ya hivi karibuni, baada ya Mohammed Mwameja kustaafu, ni Kaseja pekee anayestahili kuitwa Tanzania Wani.
Na mpaka sasa hakuna wa kumtoa kwenye lango.
Kaseja, Manula, Kalolanya tukiacha hawa magolikipa kwa sasa ni makipa gani wako kwenye kiwango hapa nchini?Umesema vyema mkuu.. ila kumuweka Mnata hapo sijui umempandishaje?
Mnata ana safari ndefu kutuaminisha kama ni kipa mzuri ila hajafika kuwa hapo.
Kaseja
Manula
Beno
MetachaKaseja, Manula, Kalolanya tukiacha hawa magolikipa kwa sasa ni makipa gani wako kwenye kiwango hapa nchini?
Manula ni shati bhana, huna haja ya kumpima kakolanya kwa mechi nyingi ili ubaini ubora wakeMkuu, huwezi kumpima mchezaji kwa mechi moja au mbili halafu ukakimbilia kutoa conclusion. Yaani kutoruhusu goli Msumbiji basi tayari unaconclude kwamba Kakolanya huwa haruhusu magoli ugenini? Anacheza peke yake? Mbona sababu nyepesi sana?
Hawa watu wanaomdharau Manula siwashangai sana.Kinachotuponza wabongo ni kila mmoja kujifanya mjuaji. Kakolanya na Manula wote wapo kambini na makocha, halafu leo mtu asiyejua hata timu inafanyia mazoezi wapi anakuja kuchagua mchezaji wa kupangwa. Nadhani unaenda na mkumbo wa upepo tu, ila kama kweli unafuatilia soka hasa mechi alizocheza Simba ugenini mwaka jana, magoli aliyookoa Manula kama angekuwa kipa mwingine yoyote mtanzania, bao zingekuwa zaidi ya zile.
Metacha
Tinoko n.k
hawa wanaweza kuwemo 10 BORA ila sio 3 bora mkuu.
Manula ni shati bhana, huna haja ya kumpima kakolanya kwa mechi nyingi ili ubaini ubora wake
Mchezaji mzuri huonekana siku ya kwanza tu unapomuangalia uwanjani,