Ungekuwa kitengo cha usajili ndio unasajili mtu kwa mechi 1 uliyomuona?Manula ni shati bhana, huna haja ya kumpima kakolanya kwa mechi nyingi ili ubaini ubora wake
Mchezaji mzuri huonekana siku ya kwanza tu unapomuangalia uwanjani,
Watu wanatubeza tunaomponda manula ila ni kweli kwamba katika shuti 3 zinazolenga golini kwa manula, shuti 1 lazima liwe goliAron Kalambo, Rashid Abdallah, Bidii Hussein hawa ni moja magolikipa wazawa ambao wanaweza kuleta ushindani wa wao kwa wao japo watakaa kimadaraja.
Hata kabla kuitwa kwa Kaseja mimi niliamini hakuna golikipa mzuri nchini kwa sasa kumzidi Kaseja. Golikipa namba mbili kwangu kwa sasa hadi atakapopatikana mwingine wa kukaa kwenye hiyo nafasi ni Kakolanya.
Siwezi kumbeza Manula ila hana uwezo wa kupambana na hao makipa niliotaja.
Simba tuliwajaribu Lamine na sydney kwa mechi moja moja tu na tukabaini hawana cha maana, na ni kweli hadi leo sydney hana kituUngekuwa kitengo cha usajili ndio unasajili mtu kwa mechi 1 uliyomuona?
Sikatai ubora wa hao makipa wengine ila sio kwa hoja hz.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Eti Mnata na Beno hawakuwepo!Hawa watu wanaomdharau Manula siwashangai sana.
Ila kumlinganisha na makipa ambao hata mechi 3 / 4 kudakia taifa bado ndio wananishangaza aisee.
TFF wangetoa tuzo za msimu ulioisha bado kipa bora angekuwa Manula.. ni kipa aliyefungwa goli chache na mwenye mafanikio makubwa kwa msimu huo.
Hii tuzo Aishi ameanza kuibeba toka yuko Azam na amekuja Simba ameendelea kuibeba.
Sasa hawa akina MNATA + BENO hawakuwepo..?
Kipa anaipeleka Starz AFCON, anaifikisha SIMBA ROBO FAINAL CAF CL, anabeba ubingwa wa ligi mara 2 mfululizo.
Watu bhana.
Kwa sasa hata mimi nafurahi baada ya Kaseja kurudi tena golini pamekuwa patamu kwa makipa.Unapoteza nguvu na muda wa muda wako.
Kwa miaka ya hivi karibuni, baada ya Mohammed Mwameja kustaafu, ni Kaseja pekee anayestahili kuitwa Tanzania Wani.
Na mpaka sasa hakuna wa kumtoa kwenye lango.
Watu wanatubeza tunaomponda manula ila ni kweli kwamba katika shuti 3 zinazolenga golini kwa manula, shuti 1 lazima liwe goli
Huyu jamaa ana bahati tu lakini si bora kuwazidi kakolanya na kaseja.
Kumpima mchezaji kwa mechi moja sio sawa sana..Simba tuliwajaribu Lamine na sydney kwa mechi moja moja tu na tukabaini hawana cha maana, na ni kweli hadi leo sydney hana kitu
Mkuu mchezaji mzuri hajifichi.
Kwa sasa hata mimi nafurahi baada ya Kaseja kurudi tena golini pamekuwa patamu kwa makipa.
Manula aliitwa Tz one sababu hakuwa na mpinzani... huyo kaseja alikuwa kama muda wake umeisha.
Sasa angeitwaje tz one wakati hakai langoni..? Kaseja akitulia atakaa sana langoni kwa sasa labda kocha abadilishwe.
Sasa mkuu.. kama alishindwa kupata namba dhidi ya Rostand na unakiri mwenyewe kuwa hakupata mechi nyingi za kuprove ubora wake kuwa kipa bora, sasa hv amecheza hizo mechi nyingi ??[emoji28] [emoji28] [emoji28] Eti Mnata na Beno hawakuwepo!
Unajua Beno kacheza mengi ngapi akiwa Yanga, Mnata umeanza kumsikia lini?
Siku zote timu za top 4 ndizo mara nyingi hutoa wachezaji bora wa msimu (kipa, washambuliaji, mabeki, viungo nk)
Huyu Mnata angekuwa kipa bora lini na timu aliyokuwa anachezea ilikuwa kwenye msitari wa kushuka daraja msimu uliopita! Huyo Beno ametoa Tanzania Prisons anakuja Yanga bado hakuaminiwa wakati huo yupo Youth Rostand, Baada ya Rostand kuondoa Beno alicheza mechi ngapi zenye kutosha kumpa ushindani dhidi ya Manula ili wachuane kwenye tuzo ya kipa bora?
Yea uko sawa mkuu ni kweli manula ndio kipa wetu namba moja kwa sasa ila haituzuii kumkosoa ili ajilekebisheManula ni mbovu ila ndiyo kipa namba moja tuliyekuwa naye (tuliyenae)
Hakika mkuu manula anahitaji kujilekebisha, maana makosa mengine anayofanya ni utoto kabisaKumpima mchezaji kwa mechi moja sio sawa sana..
Kakolanya ni kipa mzuri kabla hajaenda Yanga, hivyo pia Manula kabla hajaenda Simba.
Ninachoshukuru pale Simba Manula kapata challenge sahihi kama ni Mistake atapunguza.
Tanzania one oG amerudi.. Juma K Juma.Tumuite tu golikipa wa timu ya Taifa, hiyo Tanzania Wani haimfai.
Kweli.. na ujio wa BENO utamfanya ashtuke, tofauti na hapo tunamsahau.Hakika mkuu manula anahitaji kujilekebisha, maana makosa mengine anayofanya ni utoto kabisa
Zamani hakua hivyo.
Buffon bado anadaka,Casilas bado anadaka japo baada ya kuumwa ilisemekana angestaafu,hizi team za kkoo ndiyo zinawaharibia wachezaji wa Tz,na wakikukataa hata national team huitwi maana ndiyo wanaoshawishi nani aitwe au asiitwe,mfano kuna beki bora sanaTanzania prison's anaitwa Kimenge LA beki ila hawezi itwa hadi aje mjini kwanza kkoo au chamanziBaada ya Kaseja kutupwa na vilabu vikubwa na kutimkia Kagera nilipata nafasi siku moja kushuhudia mechi moja ya ligi kuu na golini alikuwepo Kaseja.
Kwa namna alivyocheza ni wazi umri si hoja kwani aliweza kufanya kazi ambayo inatakiwa ifanywe na golikipa yeyote yule akiwa langoni kwake.
Alipokuja KMC nilifurahi kuona akiwa yule yule wa siku zote awapo golini, Sikuwahi kukubali kuwa Aishi Manula ni golikipa namba moja hapa nchini.
Ukiondoa Juma Kaseja basi golikipa mwingine mwenye uwezo wa kufanya maajabu langoni ni Kakolanya.
Manula alipata bahati japo siyo kipa wa kutisha awapo golini, ana mapungufu mengi.
Juma Kaseja.
Beno Kakolanya.
Metacha Mnata.
Manula ni shati mtoe hapoTanzania one oG amerudi.. Juma K Juma.
Halafu hili jina au sifa ni nyakati ndio zinaamua hivyo.. Ndio maana leo Manyika au Mwameja ni zilipendwa muda wao umeisha.
Kaseja akitoka, Manula, Beno au Mnata ataitwa jina hilo.
Hapa mjadala sio kipa yupi mzuri hapa ninachokiona ni mashabiki wa simba kumtetea Manula,na washabiki wa Yanga kumtetea Kaseja na kumponda Manula,kiukweli hakuna kipa asie na mapungufu ila ni ajabu sana leo watu kusema Manula ni mbovu wakati Afcon sio Tz tu ila wapenda mpira wote walimsifia,na orodha ilitoka alikuwa ktk makipa waliookoa sana akiwa na kazapua,mashabiki mnaomtetea kaseja kwa kumponda Manula,naomba mkumbuke Kaseja leo hii akiwekewa timu mbili achague atachagua simba! Ndio kwao! Jamani wengine sio kila kitu mnajua,siasa mpo,dini mpo,sijui wapi mpo! Aaaaaaaagh vingine piteni kimya bhana! Makundi yametoka tupo na senegal
Jan tunaleta jangwani kaseja aje pension yake
Mtoe wewe umuweke kindokiManula ni shati mtoe hapo