Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una familia ni bora usiniige mimi/Kwanza naenda kwa pusha
Nanunua mapuri ganja
Baada ya kuvuta
Nakula vizuri nyama
Kilo ya kuku mbuzi au hata ng'ombe sana
Nikishashiba nahamia kwenye pombe
Mitungi nna kreti sigara nna pakti
Kamwe haunikuti nimelala kwenye pati
Huwa siingii kati naegemea ukuta
Nakamata viuno vilivyolegea mfupa
Na huyu akichomoa mi namchomekea yule
We wanakuchuna mi wananigea bure
Mchunge mke nna sumu kama nge
Niko full ka'ikulu sipigi kazi za nje
Namwaga radhi
Nafanya vitukoo
Naspend hadi nachana mifukoo
Simsumbui mtu mi nna starehe zangu
Maisha yenyewe mafupi sijui tarehe yangu...!.
Kisichoniua kinanikomaza kiaskariStory ya Jaymoe na Langa iko hivi kwenye wimbo ya Jipange wa Jaymoe , Kuna mstari jay moe anasema
" Amani kwa kaka voda milionea/ Wastue wadogo zako waache poda wale mmea/
Hapa alikua akijaribu kumkumbusha Kaka voda awastue kina langa kua Unga sio mzuri
Langa Ni kama alipanic akaja kujibu
Amani kwa kaka voda milionea/ mwambie moe aache ushoga na umbea/
Kupitia hii line Jaymoe alihuzunika sana kwanini anajaribu kuwakumbusha kina langa kuacha matumizi ya unga ila anatukanwa, Haikuishia hapo
Baada ya Langa kuja kustuka kuwa madawa yanamuharibia akaanza kujirudi akatoa project kadhaa na zikafanya vizuri tuu
Mfano Am supplying & Rafiki wa kweli na Kifo jela ah taasisi
Sasa kipindi langa anajitafuta kurudi mainstream baada ya kutoa Am supplying , Kipindi anafanya ngoma ya Rafiki wa kweli ,iliyofanyiwa production na P funk majani,akawa anataka kwenye hii ngoma ya Rafiki wa kweli amshirikishe Jay moe , Lengo ilikua ni kuwaonyesha watu kuwa yeye na Moe hawana matatizo
Alivomtafuta jaymoe ikashindikana coz jaymoe alikua bado ana hasira kwann Langa alimtukana kwenye ile line ya
"Amani kwa kaka voda milionea/ Mwambie moe aache ushoga na umbeya"
Bhas ikabidi langa akomae mwenyewe ngoma nzima ,na ilivotoka ilifanya vizuri sana,
Ikabidi Langa kwenye Ngoma ya Kifo,Jela au taasisi aliweke sawa hilo swala
Kuna line anasema
"Amani kwa kaka voda milionea/ Mwambie Moe sili poda wala mmea/
Tukirudi kwa Jay moe, anakiri alivopata habari kuwa Langa amefariki, Alilia sana, na sababu kuu iliyomfanya Moe akalia ni kwamba kipindi Langa yuko hai alijaribu kumtafuta moe mara kadhaa ili wamalize tofauti zao ,ikiwa ni pamoja na kushirikishwa kwenye wimbo wa Rafiki wa kweli ila kiburi chake kikapelekea mpaka Langa anafariki hawaja maliza tofauti zao
Moe anasema hiki kitu kinamuuma sana.
Moja ya line kali nnazozikubali kutoka kwa the late langa ni
Wananichekea usoni kisogoni wananisema/
Wanatafuta mabaya wanajifanya hawaoni mema/
Rest in peace Lyrical And Naturally Gifted African (LANGA)
Nakesha kama bundi sikumbuki kitanda... Nakula mitungi mpaka mida ya Makamba...Kama una familia ni bora usiniige mimi/
Hukawii kuuza nyumba usipokuwa makini.
Yan Langa agongee bangi 🤣🤣 labda unazungumzia mtu mwingine mkuu. Rudi field ufanye research yako tenaHuyu dogo kilichomponza unyamwezi mwingi....kugongea bangi maskani
Maana watoto wa kingoko walikuwa
Hawaambiliki
Ova
Hajui anachongea hata hajui wasifu wa langa nadhani [emoji2957]Yan Langa agongee bangi [emoji1787][emoji1787] labda unazungumzia mtu mwingine mkuu. Rudi field ufanye research yako tena
Alikua anagongea mwisho wakawa wanamchanganyia na poda kama Kwa chidi tu ndio yaleyaleYan Langa agongee bangi 🤣🤣 labda unazungumzia mtu mwingine mkuu. Rudi field ufanye research yako tena
Usiongee vitu hujui mkuu.Alikua anagongea mwisho wakawa wanamchanganyia na poda kama Kwa chidi tu ndio yaleyale
Rip mwanangu Langa hakika ulikua mtu wa watuStory ya Jaymoe na Langa iko hivi kwenye wimbo ya Jipange wa Jaymoe , Kuna mstari jay moe anasema
" Amani kwa kaka voda milionea/ Wastue wadogo zako waache poda wale mmea/
Hapa alikua akijaribu kumkumbusha Kaka voda awastue kina langa kua Unga sio mzuri
Langa Ni kama alipanic akaja kujibu
Amani kwa kaka voda milionea/ mwambie moe aache ushoga na umbea/
Kupitia hii line Jaymoe alihuzunika sana kwanini anajaribu kuwakumbusha kina langa kuacha matumizi ya unga ila anatukanwa, Haikuishia hapo
Baada ya Langa kuja kustuka kuwa madawa yanamuharibia akaanza kujirudi akatoa project kadhaa na zikafanya vizuri tuu
Mfano Am supplying & Rafiki wa kweli na Kifo jela ah taasisi
Sasa kipindi langa anajitafuta kurudi mainstream baada ya kutoa Am supplying , Kipindi anafanya ngoma ya Rafiki wa kweli ,iliyofanyiwa production na P funk majani,akawa anataka kwenye hii ngoma ya Rafiki wa kweli amshirikishe Jay moe , Lengo ilikua ni kuwaonyesha watu kuwa yeye na Moe hawana matatizo
Alivomtafuta jaymoe ikashindikana coz jaymoe alikua bado ana hasira kwann Langa alimtukana kwenye ile line ya
"Amani kwa kaka voda milionea/ Mwambie moe aache ushoga na umbeya"
Bhas ikabidi langa akomae mwenyewe ngoma nzima ,na ilivotoka ilifanya vizuri sana,
Ikabidi Langa kwenye Ngoma ya Kifo,Jela au taasisi aliweke sawa hilo swala
Kuna line anasema
"Amani kwa kaka voda milionea/ Mwambie Moe sili poda wala mmea/
Tukirudi kwa Jay moe, anakiri alivopata habari kuwa Langa amefariki, Alilia sana, na sababu kuu iliyomfanya Moe akalia ni kwamba kipindi Langa yuko hai alijaribu kumtafuta moe mara kadhaa ili wamalize tofauti zao ,ikiwa ni pamoja na kushirikishwa kwenye wimbo wa Rafiki wa kweli ila kiburi chake kikapelekea mpaka Langa anafariki hawaja maliza tofauti zao
Moe anasema hiki kitu kinamuuma sana.
Moja ya line kali nnazozikubali kutoka kwa the late langa ni
Wananichekea usoni kisogoni wananisema/
Wanatafuta mabaya wanajifanya hawaoni mema/
Rest in peace Lyrical And Naturally Gifted African (LANGA)
Langa ninaemjua mimi alikuwa na uwezo wa kuwanunulia bangi vijiwe vyote vya bangi dar nzimaUsiongee vitu hujui mkuu.
Nashangaa huyu punguani anaandika ujinga wako hapaLanga ninaemjua mimi alikuwa na uwezo wa kuwanunulia bangi vijiwe vyote vya bangi dar nzima