Story ya kusisimua kuhusu Jaymoe na Langa

Huyu dogo kilichomponza unyamwezi mwingi....kugongea bangi maskani
Maana watoto wa kingoko walikuwa
Hawaambiliki

Ova
 
Kama una familia ni bora usiniige mimi/
Hukawii kuuza nyumba usipokuwa makini.
 
Kisichoniua kinanikomaza kiaskari
Unaponichukuia unadhihirisha me mkali
 
13/06/2024 Miaka 11 Tangu alipotutoka One of the best
LYRICAL AND NATURALLY GIFTED AFRICAN (LANGA)

Continue to rest in peace 🙏🏻🙏🏻
 
Huyu dogo kilichomponza unyamwezi mwingi....kugongea bangi maskani
Maana watoto wa kingoko walikuwa
Hawaambiliki

Ova
Yan Langa agongee bangi 🤣🤣 labda unazungumzia mtu mwingine mkuu. Rudi field ufanye research yako tena
 
Yan Langa agongee bangi [emoji1787][emoji1787] labda unazungumzia mtu mwingine mkuu. Rudi field ufanye research yako tena
Hajui anachongea hata hajui wasifu wa langa nadhani [emoji2957]
 
Yan Langa agongee bangi 🤣🤣 labda unazungumzia mtu mwingine mkuu. Rudi field ufanye research yako tena
Alikua anagongea mwisho wakawa wanamchanganyia na poda kama Kwa chidi tu ndio yaleyale
 
Rip mwanangu Langa hakika ulikua mtu wa watu
 
Amani kwa kaka Voda Milionea. Waambie wadogo zako waache ush*ga na umbea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…