Story ya kusisimua kuhusu Jaymoe na Langa

Siyo jana wala juzi, nafanya makamuzi
Niite mwana harakati, au mwana mapinduzi
Mistari yangu haikauki kama vile shahawa
Mistari yangu ina soko kuliko biashara ya madawa
Mi siyo Michael sinywi Guinness,
Ila nina power, mikocheni block 41 mi ni mzawa
-------------
Kuna mstari mmoja kama naukumbuka vizuri anasema........

Elimu dunia, kidogo elimu akhera
Nipo so high hunifikii hata kwa antena😂😂😂😂
 
Langa dah mtoto wakitaaa kabisa ,Adventure ,geza ulole ,na king'oko zinaliwa tu bangeeee .jamaa wa kishua kimtindo

Naona kama juzi tu kumbe miaka kibao imepita
 
Umejitahidi kuandika ila RAFIKI wa kweli ndio wimbo wa mwisho marehemu kuutoa akiwa hai ama ulitolewa na mgt yake dk za mwisho kabla hajafa,
 
Katika nyimbo zote

RAFIKI wa KWELI na MATAWI YA JUU ndio ngoma bora sana kwa upande wangu.

Hiyo rafiki wa kweli nimependa sana pale aliposema NITAKUSAKA URAIANI kama NYOKA wa KIJANI.
 
Nakumbuka tuko shule Arusha, bro wangu na wenzake wa madarasa ya juu walikuwa wanamuita LANGA awachanie mistari ya kina Redman 🤣🤣🤣​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…