Story ya kweli: Vijana tujifunze kuchunguza wachumba kabla ya kuwageuza kuwa wake

Story ya kweli: Vijana tujifunze kuchunguza wachumba kabla ya kuwageuza kuwa wake

Wanawake wa siku hizi kwa pesa ni hatari
 
Inaingia akilini kweli mtu mwenye silaha ie bastola anasikia watu wananyata kuja chumbani tena usiku anaamua kutoa magazini yenye risasi kwenye bastola balada ya kuwa angekoki tayari kwa action? Na mtu mwovu kama huyo mwanamke aliyetaka kuua unaamua asipambambane na nguvu za dola badala yake unamsemehe na kuamua hata kuuza nyumba ili umpe pesa? Sio kama nasema hii ni story ya uongo ila huyo aliyekuhadithia kuna mambo mengi behind the scene alikuficha....
 
Ukitaka ujue kuwa mwanamke ni kiumbe tata nenda nae guest una mzigo wa laki tatu na kuendelea alafu auone haki ya mungu hapati usingizi anakuchora usinzie yeye apite nazo nawashauri jaribuni kuwa makini na hawa watu sio ndugu zetu kama wanaume wengi wanavyofikiria ni marafiki zetu tu
 
Mkuu unajiamini sana aise__huu uzi unataka kuniambia huyo mjeshi hatouona!!! Kwa usalama wako omba mods waupige panga.....

 
Atanyumba asaihuze awardhishe watoto2 kwasababu atauzanyumba atampa pesa hukonikwenda kulea wanaume wengine wakati humetafuta kwashida husiuze NYUMBA kaka
 
Tamaa ya pesa akaona aangamize mumewe, hiyo pesa asingemaliza nayo hata mwaka ingeisha
 
Jana jioni nilipata mwaliko nyumbani kwa rafiki yangu mmoja ambae pia ni kapteni wa JWTZ kikosi cha anga (Air Transport Station) hapo Majumba sita.

Baada ya kufika nyumbani kwake maeneo ya huku Kitunda, akanijuza anahitaji nimpe namba ya shemeji yangu flani.
Nikataka kujua anaitaka ya nini?
Bila kusitasita, akanijuza kwamba anauza nyumba yake iliyopo maeneo ya Kivule ili wagawane malipo na mkewe!!

NB:Nimeipata mahali
a7bac690b3d4312b380d0dea598dcddc.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] fasihi andishi
 
Back
Top Bottom