Story ya Mwanaume mmoja Hapo Kibaha

Story ya Mwanaume mmoja Hapo Kibaha

Niliwahi mpiga mschana once nikiwa mvulana(n she wasn’t even my girl),mpaka leo najisikia vibaya!!
Kuna muda wanaudhi yaani hasira mpaka kooni afu bado wana mdomo,lakini kupiga nilishashindwa aisee.kitu kimoja tu kinaweza fanya nikamtandika...kimoja tu
kipi mkuu
 
Duh sikumbuki mara ya mwisho nililia lini.
ndo maana mm cjawai kunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke,,akiniudhi sana naingia chumbani,,,najifungia mlango,,,nazima na taa....kisha naangua kilio usiku kucha kisha asbh hasira zangu zinakua zimeisha,,,kuwapiga hawa viumbe saa zingine yataka mioyo,,,wengine wao wenyewe wanapiga balaa....
 
Back
Top Bottom