Kwahiyo hapo kwa kufupisha ni kuwa unamwambia mkuu wetu muanzisha mada naye ametupiga kamba au Mimi ndo sijaelewa!?Kuna siku moja nilikuwa kijiweni kwetu kijiwe Cha jf..Kuna mwamba akaja akatuambia siku moja alivyotoka kazini alipitia kijiweni anapopenda kupoteza muda baada ya kazi basi akaja jamaa yake mmoja akaanza kuwaadithia story ambayo alishindwa kutuhadithia kuofia jamaa yake ambaye tupo nae kijiwe Cha jf kumshtukia...dah! Nilimuangalia nikaishia kucheka sababu najua jamaa hana kazi anatuongopea tu..[emoji124][emoji124]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna watu waongo sana aisee. Vipi ile hosteli pale jirani na mt uluguru hotel bado ipo?[emoji1787][emoji1787]nilisikia story morogoro pale karibu na round about ya stand ya dala dala mjini kuna kijiwe fulanu cha kahawa, jamaa walikuwa wanasimuliana kuwa kuna mwamba upo chini ya mlima inasemekana watu wakiutoboa kidogo tu Morogoro mjini yoote inajaa maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Beira boy, Joshua_ok, Ushimen hawa ni baadhi ya watoa chaiMe naona ungeenda kuchukua threads zote za kidukulilo uziamishie hapa
Story za uongo humu zimejaa kwenye uzi wa kula tunda kimasihara na uzi ule unaohusu shuhuda za uchawi.Nimeenda kijiweni siku moja baada ya kazi, nikaenda kubadilishana mawazo na kupoteza muda. Kuna jamaa alituambia hiyo story...nikabaki nacheka tu (Nashindwa kuiandika huenda yuko humu JF) kwa sababu atanijua. Nilicheka sana mpaka nikaenda home kuepusha ugomvi.
Niambie ya kwako..
Kuna yule jerrybanks ni muongo sana.Beira boy, Joshua_ok, Ushimen hawa ni baadhi ya watoa chai