Kranium
Senior Member
- Oct 20, 2014
- 130
- 376
Nimeenda kijiweni siku moja baada ya kazi, nikaenda kubadilishana mawazo na kupoteza muda. Kuna jamaa alituambia hiyo story...nikabaki nacheka tu (Nashindwa kuiandika huenda yuko humu JF) kwa sababu atanijua. Nilicheka sana mpaka nikaenda home kuepusha ugomvi.
Niambie ya kwako..
Niambie ya kwako..