Story Za Kuchati Za Darasani

Story Za Kuchati Za Darasani

CLASS CHATTING - 03.

SIKU YA TATU
Niliamka asubuhi na mapema, nikajiandaa na kuanza kuelekea chuoni kama kawaida. Kichwa changu kilimuwaza sana Anita na kuona kwamba muda wowote ule basi ningeweza kuchukua mzigo, nikawa nao na lile dau lililokuwa kwa washikaji basi ningelichukua.
Wakati nikiwa njiani, tena nikiwa nimepita njia ya kwao kabisa, nikamuona akiwa kituoni, nilichokifanya ni kusogea na kisha kupiga honi, alipoliona gari langu, mbona haraka sana akalifuata.
Mimi: Karibu...
Anita: Asante..
Akajiweka kitini. Siku hiyo alivalia kisketi chake kifupi, alipokaa tu, basi ikapanda juu, mapaja yakawa nje, mtu mzima midadi ikanipanda, nikaona kwa nini nisilegeze moyo tu! Ila nikahofia kwa kuona kama utakuwa umejirahisisha kwa kumwambia fastafasta angeanza pozi zake, nilimfahamu vilivyo Anita.
Anita: Bado una hasira na mimi?
Mimi: Kiduchu tu...ila una vipozi f’lani visivyokuwa na msingi...
Anita: Jamani nisameheeee mwenzio, unakuwa na hasira mpaka naogopa.
Mimi: Nikwambie kitu Anita?
Anita: niambie (Akajiweka sawa kitini)
Mimi: Huwa ninajitambua, nina vijihasira flani hivi, ukinizingua, nakuzingua, halafu sipendi kupotezewa muda, ukinipotezea muda, nakuchukia, halafu huyo nasepa zangu....
Anita: Basi naomba unisamehe....
Mimi: Usijali...
Tulikuwa tukipiga vistori tu, kila wakati kazi yake kubwa ilikuwa ni kubadilisha vimikao tu pale kitini, mara akunje nne, mara akibinue kikalio chake, mara apandishe miguu mpaka kwenye dashbodi, yaani kwa kifupi, mtu mzima nilikuwa nategwategwa.
Anita: Nashukuru...
Aliniambia baada ya kufika chuoni, akateremka, sikutaka kuteremka, yaani sikutaka kuonekana naye ili niwape uhakika wale marafiki zangu kwa kuona kwamba labda wangeweza kushinda wale hela yangu.
Akateremka na mimi kuondoka na gari hapo, hata sehemu ya kuegesha gari langu nilibadilisha. Siku hiyo, mwenyewe akawa ananitumia meseji tu kwenye simu, nikaona si mbaya kama nikichati naye...hivyohivyo..
Anita: Leo nina furaha sana....
Mimi: Ya nini tena?
Anita: Kunisamehe....
Mimi: Usijali basi, una nafasi leo?
Anita: Nafasi ya nini?
Mimi: Ushaanza.....
Anita: Jamani si ndiyo nauliza....sasa nitasema nina nafasi na wakati sijajua ya nini!
Mimi: Nataka nikutoe out...sehemu fulani hivi...
Anita: Kule pa siku ile uliposema ungenitoa?
Mimi: Yaap...upo tayari?
Anita: Saa ngapi?
Mimi: Mbili usiku...
Anita: Sawa...
Basi ndiyo hivyo, kwa klasi, kama kawaida yangu sikutaka kujionyesha, mwenyewe nilikuwa bize na mambo yangu na hata washikaji hawakujua kama kweli mtoto nilikuwa naye beneti.
Nilichokuwa nikiwafanya ni kama daktari, yaani wao walikuwa wagonjwa na kila wakati nilikuwa nikiwapa moyo kwamba watapona lakini ukweli ni kwamba wangekufa.
Nilishaona dalilii kwamba Anita alipagawa kwangu, hivyo mimi ndiye niliyetakiwa kufanikisha mpango mzima. Nilichokifanya, kama kawaida yangu nilikuwa kimya, kama sikupenda kuona kilichokuwa kikiendelea moyoni mwake, tukaondoka chuo huku masela wakiniuliza tu, vipi? Utaweza? Utamla? Mbona hatuoni hata dalili? Au umeshindwa? Kila wavyotuma meseji zao, niliwalia doro.
Ilipofika saa moja, harakaharaka nikamcheki kwenye simu, nilitaka nijue kwanza kama itawezekana au la.
Mimi: Inakuwaje sasa?
Anita: Poa...
Mimi: Upo wapi?
Anita: Kwa mama mdogo...
Mimi: Wapi?
Anita: Mabibo...
Mimi: Mmh! Nitaweza kukuona kweli?
Anita: Kwa leo...sidhani, naomba tufanye siku nyingine.
Kwanza nikanywea, sikuamini kama kweli siku hiyo napo nilitakiwa kukosa utamu...huyu Anita alitaka kunizingua tu, yaani alikuwa akiingia na kutoka, nilimmaindi sana lakini sikuwa na jinsi, nilichokifanya ni kumpigia simu, nikamuuliza tena kwamba itawezekana kuonana lakini jibu lake eti likawa lilelile kwamba isingewezakana.
Mimi: Hivi kweli itashindikana jamani?
Anita: ndiyo! Haraka ya nini Chilo? Tufanye hata siku nyingine.
Sikutaka kuendelea kufuatilia, nilichokifanya ni kuichukua namba yake na kuiandika sehemu kisha nikafungua mtandao mmoja na kuiingiza namba yake, mtandao ambao uuliunganishwa na GPS kujua mahali alipokuwa.
Sehemu ya kuingiza namba, nikaingiza namba yake kisha kubonyeza sehemu iliyoandikwa GPS Locator...baada ya hapo, ikatokea ramani ya dunia, ikaanza kuitafuta namba yake, ikavutwa Tanzania, Dar es Salaam na mwisho wa siku kuonyesha kwamba namba yake ilikuwa sehemu iitwayo Tandale, yaani mtaa uleule nilipokuwa, nikapata uhakika kwamba hakuwa Mabibo kama alivyosema, alikuwa akinidanganya.....hasira zikanipanda.
Nikaanza kumtafuta kwenye simu kihasirahasira....
*****
Sikutaka kumchelewesha, hapohapo nikampigia simu, tena nilionekana kukasirika haswaaa, haiwezekani msichana aniletee zake za kuleta, yaani ajione yeye mjanja hata zaidi yangu. Simu haikuita sana, ikapokelewa.
Mimi: Wewe Anita.
Anita: Abee.
Mimi: Mbona unanifanyia makusudi sana?
Anita: Makusudi ya nini tena?
Mimi: Unataka kuonana nami au hautaki?
Anita: Ninataka ila nipo mbali na nyumbani.
Mimi: hivi unanifanya mimi mtoto?
Anita: Kwa nini tena jamani?
Mimi: Nisikilize, umeniambia upo Mabibo, unaidanganya na wakati upo kwenu.
Anita: Nani kakudanganya, nipo Mabibo, haki ya Mungu tena.
Mimi: hebu niondolee ujinga wako! Hivi internet inaongopaga? Toka lini ukaona kifaa cha mzungu kinadanganya! Upo nyumbani kwenu ila umeamua kunizingua, sasa sikiliza......
Anita: Chilo...
Mimi: Nini?
Anita: Nani kakudanganya nipo home?
Mimi: Unabisha?
Anita: Sipo nyumbani, kweli tena.
Mimi: Sasa nimeshafika kwenu, naingia ndani halafu nakuulizia, nataka niamini.
Anita: Chilo, usifanye hivyo, baba yupo.
Mimi: Baba yako hayupo, ametoka, nimepishana naye njiani.
Anita: Haki ya Mungu tena, yupo.
Mimi: Umejuaje kama yupo na wakati upo Mabibo? Mimi niliyekuwa Tandale nimekwambia hayupo, wewe uliyekuwa Mabibo umesema yupo, umejuaje?
Kimyaaaa...
Unajua mi ndo maana sometimes naona watoto wa kike wanazingua tu. Yaani ishu ya kuonana nami aliifanya iwe complicated kinoma na wakati ilikuwa ishu ya kawaida tena ya mara moja kabisa.
Kweli nikasepa nyumbani na kuelekea kwao, nilitaka nimuhakikishie kwamba alikuwa muongo. Nilipofika kwao, haikuwa ishu kuingia ndani japokuwa kulikuwa na mlinzi, nikazama zangu ndani kwani mlinzi alinizoea, si unajua mshikaji wa kitaa.
Nilipofika ndani tu, nikakutana na dada wa kazi. Kwanza, dizaini fulani akashtuka, hakuamini mimi kuwa pale muda ule.
Mimi: Hujambo Zubeda?
Zubeda: Sijambo! Shikamoo.
Mimi: Poa tu. Anita yupo?
Zubeda: Yupo, nikakuitie?
Mimi: Ndiyo! Kwani hakutoka?
Zubeda: Hakutoka, yupo ndani, ngoja nikamuite.
Nilitaka kushangaa bhana, inakuwaje Mzungu awe muongo, GPS ilionyesha kwamba alikuwa kitaa kwao kasizi, sasa aniambie yupo Mabibo, wapi na wapi. Baada ya muda, huku akionekana kuwa na aibu, Anita huyo akatoka nje, nilipomuona, sikufichi msela wangu, nilishikwa na hasira.
Anita: Naomba unisamehe...
Mimi: Wewe mpumbavu kweli Anita...yaani wewe mpumbavu sana....
Sikutaka kuongea zaidi, nilichokifanya, nikageuka kama mwanajeshi, kisha huyo nikasepa zangu. Sipendi kukuficha, napenda kuwa mkweli tu, yaani siku hiyo nilikasirika sana, sikutaka kumuona Anita tena kwani alinifanya mimi mtoto na wakati nilikuwa mtu mzima.
Usiku huohuo, mtoto akaanza kutuma meseji za samahani, yaani kila iliyoingia, ilikuwa na samahani kubwaaaa, sikujali, sikumjibu meseji zake, nilibaki kimya huku nimetulia tu, kila nilipokuwa namfikiria, alinikasirisha zaidi.
Anita: Naomba unisamehe Chilo wangu.
Kimyaaaaa
Anita: Naomba unisamehe jamani sitorudia tena....
Kimyaaaaa
Anita: Najua nimekukosea, sikutakiwa kukudanganya Chilo, ila nimefanya hivyo kwa kuwa bado naogopa, sijiamini kabisa, naomba unisamehe...
Kimyaaaaa
Sikutaka kujibu meseji yake yoyote ile, niliamua kwa nia moja kwamba ni lazima nifanye kama mwanaume mwenye msimamo, mtoto wa kike ni mtu wa kawaida sana na sometimes ni lazima ajue kwamba kuna wanaume wenye misimamo migumu ambayo haikuweza kuyumbishwa na kitu chochote kile.
Unapojifanya mlegevu kwa msichana, ni lazima utasumbuka sana, ni lazima uwe na msimamo kwani baadhi ya wanawake wengine, wanapenda wanaume wenye misimamo, wanaosimama kama wanaume na si wale wanaobadilikabadilika kama kinyonga.
Anita aliniomba sana msamaha lakini wala sikuwa na muda, sikutaka kumjibu meseji yake yoyote ile, niliuchuna kama sikuziona meseji zake. Naye hakuacha, yaani ni kama aliambia kwamba akiendelea kutuma mesji basi ningelainika kumbe si hivyo, ninaposema kwamba nimekasirika, huwa ninakasirika kweli na sitaki ujinga kabisa.
Anita: Japokuwa hutaki kunijibu, nakutakia usiku mwema.
Kimyaaaa....

Je, nini kitaendelea?
 
SEHEMU YA 04


CLASS CHATTING - 04

SIKU YA NNE.

Sikutaka kuleta shobo sana, nikaamua kufanya mambo yangu na hata kama kukosa hiyo hela, acha nikose. Kwani laki mbili kitu gani bwana? Ni hela ya kawaida sana ambayo sikutakiwa kuitolea sana macho.
Nikaachana nayo na kufanya mambo mengine. Kwa hapa ngoja nikwambie kitu mshikaji wangu. Unajua tunakuwa na mambo mengi sana ya kufanya, sasa mwanamke anapojitokeza na kutaka kutuharibia utaratibu tuliojiwekea, inakuwa siyo.
Mimi binafsi ninamtaka mtu anayeeleweka, ukimwambia fanya hivi, anafanya, njoo hapa, anakuja, hicho ndicho kinachotakiwa, na hata kama mtu hawezi kufanya hivyo, aseme kwamba siwezi, tupange siku nyingine, nayo ipo poa kuliko mtu kukudanganya.
Sasa sikiliza kilichoendelea. Siku iliyofuata, kama kawaida yangu nikaamka asubuhi na mapema, nilikuwa nimewahi sana siku hiyo, nikajiandaa, nikawasha mkoko na kisha kusepa zangu.
Kama kawaida nilimuona Anita kituoni katulia, nikamfungia vioo, huyo nikapita zangu huku akijua kwamba yule aliyepita ni Chilo, ila sikutaka kujali, nikafanya yangu.
Hata kabla sijafika chuo, meseji ikaingia.
Anita: Nashukuru sana....kama hujaniona vile....
Kimyaaaa
Anita: Chilo, yaani bado una hasira mpenzi?
Kimyaaaaa
Anita: Naomba unisikilize, japo kidogo tu jamani, mbona unanifanyia hivi? Naomba unionee huruma, mwenzako nasononeka hivyo....
Kimyaaaaa....
Anita: Mpenziiiiiii...
Kimyaaaaa....
Hakuna kitu kigumu duniani, cha kishujaa kama kumkashua demu ambaye ulikuwa unamlia mingo. Ni rahisi sana kumkaushia demu wako, lakini msichana ambaye unamlia mingo, unahitajika moyo mgumu, tena wa kishujaa kinoma.
Hata moyo wangu wenyewe uligawanyika, upande mmoja ukaniambia ‘Chilo, acha uboya, mtoto kama huyo unamchuniaje? Halafu kesho unaanza kulialia, Ooh! Mungu mbona sina bahati...bahati na wakati mtoto kaja, kajilengesha mwenyewe halafu unampotezea....’
Wakati upande huo ukiniambia hivyo, upande mwingine nao ukaanza kuniambia ‘Chilo, Jumapili ulikwenda kanisani, si ndiyo? Ulivyokwenda kule, pasta akakuhubiria sana kuhusu kumtumikia Mungu! Si ndiyo? Sasa inakuwaje leo unataka kumtenda dhambi Mungu wako? Achana na hayo, mpende Mungu kwani Mbinguni ndiyo kila kitu,’
Sasa nikabaki katikati...niukubali upande upi, ule wa kwanza au huu wa pili? Nikaona bora niuchukue ule wa kwanza bwana, kama kanisa si lipo? Kwani litakimbia? Tangu babu zangu walipoanza kwenda kanisani, mpaka leo, halijahama, lipo kama kawaida ila kwa mtoto Anita, nikimkosa leo, basi kesho kachukuliwa na jirani.
Ila pamoja na hayo, sikutaka kuwa na presha, na mimi nikajifanya mkazaji kwani ndiyo ilikuwa njia pekee ya kuweza kutimiza azma niliyojiwekea ya kumchukua kiulaini na kula hela ya maboya waliyoniwekea.
Anita: Nakutakia masomo mema.
Mimi: Asante...
Anita: Waooo...siamini kama umenijibu meseji yangu...
Kimyaaaa
Anita: Chilo..naomba tuchati, unanitesa mwenzio...
Kimyaaa...
Anita:Jamani! Ndiyo nini tena mpenzi...unaniumiza...
Mimi: Unahitaji nini Anita?
Anita: Unisamehe.
Mimi: Hilo tu?
Anita: Hapana! Pia kuonana nawe usiku.
Mimi: Hivi unaniona mimi mtoto?
Anita: Naomba unisamehe!
Mimi: Sidhani kama hilo ni jibu.
Anita: Naomba unisamehe...nipo chini ya miguu yako.
Mimi: Sikiliza Anita! Ni lazima ujue kwamba mimi si mtoto, nina akili timamu, ni mtu ninayekwenda na muda, ukinizingua, nakuzingua. Hivi una akili wewe mwanamke? Kunidanganya, mara mbili, unataka leo nikuamini, kweli? Acha hizo, wafuate wajingawajinga ndio uwadanganye kiboya....
Anita: Chilo naomba unisamehe....
Kimyaaaaa
Kupendwa raha, kushobokewa kutamu sana. Mtoto alijipendekeza kwa kunitaka nimsamehe lakini wala sikuwa na time, sikutaka kuleta shobo kivile kwani niliamini kwamba yeye ni kuku wangu, kuna siku ataingia kwenye mtego kula mpunga, hivyo nikavuta zangu subira.
Anita: Nikwambie kitu Chilo?
Mimi: Kitu gani?
Anita: Ninakupenda.
Mimi: Hahah! What a lie...hebu niambie mwingine.
Anita: Chilo, nipo serious, ninakupenda.
Mimi: Nimesikia, niambie uongo mwingine.
Anita: Ninakupenda, naomba uniamini.
Mimi: Umeanza lini kunipenda?
Anita: Sijui ni lini, ila ninakupenda sana....unavyonifanyia hivi, kweli ninaumia....
Mimi: Acha kuzingua Anita....
Anita: Chilo naomba unielewe...ninahitaji kuonana nawe.
Mimi: Muda gani?
Anita: Usiku, please, ninahitaji nikuone.
Mimi: Sawa! Saa mbili basi...
Anita: Nashukuru.
Hahaha! Na mimi nikataka nianze kumdanganya kama alivyonifanya, yeye si alijidai bingwa wa uongo, sasa nilitaka kumuonyeshea kwamba nami nilikuwa na PhD ya uondo, sikutaka kuonana naye, ningemsumbua, afike sehemu husika, kisha namwambia sipo, nipo zangu Bagamoyoooooooooo
*****
Ninachokijua ni kimoja tu, kumfanyia baya mfanyie mbuzi, ukimfanyia binadamu umemuonea, hilo ndilo lililotokea kwa Anita.
Alinisumbua kwa kipindi kirefu, nikawa sina hamu, alinitesa sana na mwisho wa siku na mimi nilitaka nimfanyie vilevile alivyonifanyia, yaani nimzingue halafu nisionane naye, yeye alianza, mimi namaliza, kama alimwaga ugali, mimi nitamwaga mboga.
Jua lilianza kupunguza makali na mwisho wa siku likazama, nikatulia zangu nyumbani, kigiza kikaanza kuingia huku nikijua tu kwamba siku hiyo Anita angefanya juu chini nionane naye.
Wanawake wengine watu wa ajabu sana, yaani nikimhitaji mimi, haonekani, ila akinihitaji yeye, eti nionekane, huu uboya siupendi, hivyo na mimi nikataka nimuonyeshee kwamba spesho kama yeye, hivyo asinizingue kivileeee..
Anita: Ndiyo najiandaa sasa hivi.
Niliiona meseji hiyo, alinipa taarifa kwamba ndiyo kwanza alikuwa akijiandaa kwa ajili ya kuonana nami. Nikayapeleka macho yangu kwenye saa yangu, ndiyo kwanza ilikuwa saa moja na nusu, nikaona haina kwere, ngoja nisubiri.
Ilipofika saa mbili, muda ambao ndiyo ulikuwa rasmi kuonana na Anita, ndiyo kwanza nilianza kuangalia taarifa ya habari. Nikaanza kupima, kipi kilionekana kuwa muhimu, je kuangalia taarifa ya makontenda 349 yaliyopotea bandarini au kwenda kuonana na Anita mzinguaji, jibu lililokuja lilikuwa moja tu, ishu ya makontena ilikuwa muhimu mno.
Kweli bwana, nikatulia zangu kitaa, kimyaaa. Vimeseji vyake vikaanza kuingia kwa zamu, mara ndiyo navaa, mara ndiyo najipamba, mara ndiyo sijui nafanya nini, niliziona ila sikutaka hata kuzijibu, nikawa tuli.
Anita: Chilo wangu....
Mimi: Naam...
Anita: Upo wapi?
Mimi: Kwani wewe unataka niwe wapi?
Anita: Si kule tuliposema tuonane!
Mimi: Sasa kama wewe haujafika, mimi nitakuwaje huko?
Anita: Ndiyo nakwenda sasa hivi, si kwenye ile baa ya Amarula, au siyo hapo?
Mimi: Hapohapo, tukatanie hapo.
Tukakubaliana, akaamua kwenda huko, akaanza kunisubiri, akanitumia meseji na kuniambia kwamba alikwishafika, nikaona siyo kesi, nikamwambia anisubiri nakuja.
Akaanza kuchoma mahindi, si kwamba na mimi nilikuwa najiandaa, ndiyo kwanza nilikuwa nachati zangu facebook, kwa raha zangu, miguu yangu ilikuwa juu, nakula bata mdogomdogo huku yeye akichoma mahindi.
Anita: Upo wapi sasa?
Mimi: Kwani wewe upo wapi?
Anita: Nimekwishafika, wewe upo wapi?
Mimi: Ndiyo nakaribia Mapinga.
Anita: Unakaribia Mapinga?
Mimi: Ndiyo!
Najua alishtuka sana, Mapinga ni kule katika mpaka wa Dar na Bagamoyo, nilimwambia kwamba nakaribia kwa maana hiyo ndiyo kwanza nilikuwa natoka Bagamoyo.
Najua alichoka, najua alikasirika lakini si ndiyo hivyo kila mmoja lazima amuonyeshee mwenzake kwamba yeye alikuwa spesho zaidi ya mwenzake. So nikatulia home, vidole vyangu ndivyo vilivyoendelea kumwambia kwamba sikuwa nyumbani.
Anita: Mbona hukuniambia kama ulikuwa Bagamoyo?
Mimi: Sasa ningekwambia, usingekuja kuniona, ndiyo maana nikachuna kwa kuhisi labda ningewahi...
Anita: Chilo, unalipiza kisasi?
Mimi: Kisasi gani tena? Kwani kuna ubaya ulinifanyia?
Anita: Sawa...bingwa wewe...
Mimi: Basi nipe kombe....
Najua alikasirika lakini hakuwa na jinsi, nilitaka kumuonyeshea ni jinsi gani mtu unaumia mara unapopanga kitu na mtu halafu hafanyi kile unachotaka yeye afanye. Sikujali sana, nilichokifanya ni kulala zangu nikijiandaa na masomo siku inayofuata.

Je, nini kitaendelea?
 
CLASS CHATTING - 03.

SIKU YA TATU
Niliamka asubuhi na mapema, nikajiandaa na kuanza kuelekea chuoni kama kawaida. Kichwa changu kilimuwaza sana Anita na kuona kwamba muda wowote ule basi ningeweza kuchukua mzigo, nikawa nao na lile dau lililokuwa kwa washikaji basi ningelichukua.
Wakati nikiwa njiani, tena nikiwa nimepita njia ya kwao kabisa, nikamuona akiwa kituoni, nilichokifanya ni kusogea na kisha kupiga honi, alipoliona gari langu, mbona haraka sana akalifuata.
Mimi: Karibu...
Anita: Asante..
Akajiweka kitini. Siku hiyo alivalia kisketi chake kifupi, alipokaa tu, basi ikapanda juu, mapaja yakawa nje, mtu mzima midadi ikanipanda, nikaona kwa nini nisilegeze moyo tu! Ila nikahofia kwa kuona kama utakuwa umejirahisisha kwa kumwambia fastafasta angeanza pozi zake, nilimfahamu vilivyo Anita.
Anita: Bado una hasira na mimi?
Mimi: Kiduchu tu...ila una vipozi f’lani visivyokuwa na msingi...
Anita: Jamani nisameheeee mwenzio, unakuwa na hasira mpaka naogopa.
Mimi: Nikwambie kitu Anita?
Anita: niambie (Akajiweka sawa kitini)
Mimi: Huwa ninajitambua, nina vijihasira flani hivi, ukinizingua, nakuzingua, halafu sipendi kupotezewa muda, ukinipotezea muda, nakuchukia, halafu huyo nasepa zangu....
Anita: Basi naomba unisamehe....
Mimi: Usijali...
Tulikuwa tukipiga vistori tu, kila wakati kazi yake kubwa ilikuwa ni kubadilisha vimikao tu pale kitini, mara akunje nne, mara akibinue kikalio chake, mara apandishe miguu mpaka kwenye dashbodi, yaani kwa kifupi, mtu mzima nilikuwa nategwategwa.
Anita: Nashukuru...
Aliniambia baada ya kufika chuoni, akateremka, sikutaka kuteremka, yaani sikutaka kuonekana naye ili niwape uhakika wale marafiki zangu kwa kuona kwamba labda wangeweza kushinda wale hela yangu.
Akateremka na mimi kuondoka na gari hapo, hata sehemu ya kuegesha gari langu nilibadilisha. Siku hiyo, mwenyewe akawa ananitumia meseji tu kwenye simu, nikaona si mbaya kama nikichati naye...hivyohivyo..
Anita: Leo nina furaha sana....
Mimi: Ya nini tena?
Anita: Kunisamehe....
Mimi: Usijali basi, una nafasi leo?
Anita: Nafasi ya nini?
Mimi: Ushaanza.....
Anita: Jamani si ndiyo nauliza....sasa nitasema nina nafasi na wakati sijajua ya nini!
Mimi: Nataka nikutoe out...sehemu fulani hivi...
Anita: Kule pa siku ile uliposema ungenitoa?
Mimi: Yaap...upo tayari?
Anita: Saa ngapi?
Mimi: Mbili usiku...
Anita: Sawa...
Basi ndiyo hivyo, kwa klasi, kama kawaida yangu sikutaka kujionyesha, mwenyewe nilikuwa bize na mambo yangu na hata washikaji hawakujua kama kweli mtoto nilikuwa naye beneti.
Nilichokuwa nikiwafanya ni kama daktari, yaani wao walikuwa wagonjwa na kila wakati nilikuwa nikiwapa moyo kwamba watapona lakini ukweli ni kwamba wangekufa.
Nilishaona dalilii kwamba Anita alipagawa kwangu, hivyo mimi ndiye niliyetakiwa kufanikisha mpango mzima. Nilichokifanya, kama kawaida yangu nilikuwa kimya, kama sikupenda kuona kilichokuwa kikiendelea moyoni mwake, tukaondoka chuo huku masela wakiniuliza tu, vipi? Utaweza? Utamla? Mbona hatuoni hata dalili? Au umeshindwa? Kila wavyotuma meseji zao, niliwalia doro.
Ilipofika saa moja, harakaharaka nikamcheki kwenye simu, nilitaka nijue kwanza kama itawezekana au la.
Mimi: Inakuwaje sasa?
Anita: Poa...
Mimi: Upo wapi?
Anita: Kwa mama mdogo...
Mimi: Wapi?
Anita: Mabibo...
Mimi: Mmh! Nitaweza kukuona kweli?
Anita: Kwa leo...sidhani, naomba tufanye siku nyingine.
Kwanza nikanywea, sikuamini kama kweli siku hiyo napo nilitakiwa kukosa utamu...huyu Anita alitaka kunizingua tu, yaani alikuwa akiingia na kutoka, nilimmaindi sana lakini sikuwa na jinsi, nilichokifanya ni kumpigia simu, nikamuuliza tena kwamba itawezekana kuonana lakini jibu lake eti likawa lilelile kwamba isingewezakana.
Mimi: Hivi kweli itashindikana jamani?
Anita: ndiyo! Haraka ya nini Chilo? Tufanye hata siku nyingine.
Sikutaka kuendelea kufuatilia, nilichokifanya ni kuichukua namba yake na kuiandika sehemu kisha nikafungua mtandao mmoja na kuiingiza namba yake, mtandao ambao uuliunganishwa na GPS kujua mahali alipokuwa.
Sehemu ya kuingiza namba, nikaingiza namba yake kisha kubonyeza sehemu iliyoandikwa GPS Locator...baada ya hapo, ikatokea ramani ya dunia, ikaanza kuitafuta namba yake, ikavutwa Tanzania, Dar es Salaam na mwisho wa siku kuonyesha kwamba namba yake ilikuwa sehemu iitwayo Tandale, yaani mtaa uleule nilipokuwa, nikapata uhakika kwamba hakuwa Mabibo kama alivyosema, alikuwa akinidanganya.....hasira zikanipanda.
Nikaanza kumtafuta kwenye simu kihasirahasira....
*****
Sikutaka kumchelewesha, hapohapo nikampigia simu, tena nilionekana kukasirika haswaaa, haiwezekani msichana aniletee zake za kuleta, yaani ajione yeye mjanja hata zaidi yangu. Simu haikuita sana, ikapokelewa.
Mimi: Wewe Anita.
Anita: Abee.
Mimi: Mbona unanifanyia makusudi sana?
Anita: Makusudi ya nini tena?
Mimi: Unataka kuonana nami au hautaki?
Anita: Ninataka ila nipo mbali na nyumbani.
Mimi: hivi unanifanya mimi mtoto?
Anita: Kwa nini tena jamani?
Mimi: Nisikilize, umeniambia upo Mabibo, unaidanganya na wakati upo kwenu.
Anita: Nani kakudanganya, nipo Mabibo, haki ya Mungu tena.
Mimi: hebu niondolee ujinga wako! Hivi internet inaongopaga? Toka lini ukaona kifaa cha mzungu kinadanganya! Upo nyumbani kwenu ila umeamua kunizingua, sasa sikiliza......
Anita: Chilo...
Mimi: Nini?
Anita: Nani kakudanganya nipo home?
Mimi: Unabisha?
Anita: Sipo nyumbani, kweli tena.
Mimi: Sasa nimeshafika kwenu, naingia ndani halafu nakuulizia, nataka niamini.
Anita: Chilo, usifanye hivyo, baba yupo.
Mimi: Baba yako hayupo, ametoka, nimepishana naye njiani.
Anita: Haki ya Mungu tena, yupo.
Mimi: Umejuaje kama yupo na wakati upo Mabibo? Mimi niliyekuwa Tandale nimekwambia hayupo, wewe uliyekuwa Mabibo umesema yupo, umejuaje?
Kimyaaaa...
Unajua mi ndo maana sometimes naona watoto wa kike wanazingua tu. Yaani ishu ya kuonana nami aliifanya iwe complicated kinoma na wakati ilikuwa ishu ya kawaida tena ya mara moja kabisa.
Kweli nikasepa nyumbani na kuelekea kwao, nilitaka nimuhakikishie kwamba alikuwa muongo. Nilipofika kwao, haikuwa ishu kuingia ndani japokuwa kulikuwa na mlinzi, nikazama zangu ndani kwani mlinzi alinizoea, si unajua mshikaji wa kitaa.
Nilipofika ndani tu, nikakutana na dada wa kazi. Kwanza, dizaini fulani akashtuka, hakuamini mimi kuwa pale muda ule.
Mimi: Hujambo Zubeda?
Zubeda: Sijambo! Shikamoo.
Mimi: Poa tu. Anita yupo?
Zubeda: Yupo, nikakuitie?
Mimi: Ndiyo! Kwani hakutoka?
Zubeda: Hakutoka, yupo ndani, ngoja nikamuite.
Nilitaka kushangaa bhana, inakuwaje Mzungu awe muongo, GPS ilionyesha kwamba alikuwa kitaa kwao kasizi, sasa aniambie yupo Mabibo, wapi na wapi. Baada ya muda, huku akionekana kuwa na aibu, Anita huyo akatoka nje, nilipomuona, sikufichi msela wangu, nilishikwa na hasira.
Anita: Naomba unisamehe...
Mimi: Wewe mpumbavu kweli Anita...yaani wewe mpumbavu sana....
Sikutaka kuongea zaidi, nilichokifanya, nikageuka kama mwanajeshi, kisha huyo nikasepa zangu. Sipendi kukuficha, napenda kuwa mkweli tu, yaani siku hiyo nilikasirika sana, sikutaka kumuona Anita tena kwani alinifanya mimi mtoto na wakati nilikuwa mtu mzima.
Usiku huohuo, mtoto akaanza kutuma meseji za samahani, yaani kila iliyoingia, ilikuwa na samahani kubwaaaa, sikujali, sikumjibu meseji zake, nilibaki kimya huku nimetulia tu, kila nilipokuwa namfikiria, alinikasirisha zaidi.
Anita: Naomba unisamehe Chilo wangu.
Kimyaaaaa
Anita: Naomba unisamehe jamani sitorudia tena....
Kimyaaaaa
Anita: Najua nimekukosea, sikutakiwa kukudanganya Chilo, ila nimefanya hivyo kwa kuwa bado naogopa, sijiamini kabisa, naomba unisamehe...
Kimyaaaaa
Sikutaka kujibu meseji yake yoyote ile, niliamua kwa nia moja kwamba ni lazima nifanye kama mwanaume mwenye msimamo, mtoto wa kike ni mtu wa kawaida sana na sometimes ni lazima ajue kwamba kuna wanaume wenye misimamo migumu ambayo haikuweza kuyumbishwa na kitu chochote kile.
Unapojifanya mlegevu kwa msichana, ni lazima utasumbuka sana, ni lazima uwe na msimamo kwani baadhi ya wanawake wengine, wanapenda wanaume wenye misimamo, wanaosimama kama wanaume na si wale wanaobadilikabadilika kama kinyonga.
Anita aliniomba sana msamaha lakini wala sikuwa na muda, sikutaka kumjibu meseji yake yoyote ile, niliuchuna kama sikuziona meseji zake. Naye hakuacha, yaani ni kama aliambia kwamba akiendelea kutuma mesji basi ningelainika kumbe si hivyo, ninaposema kwamba nimekasirika, huwa ninakasirika kweli na sitaki ujinga kabisa.
Anita: Japokuwa hutaki kunijibu, nakutakia usiku mwema.
Kimyaaaa....

Je, nini kitaendelea?
Duh! Hatari. Lete stori kijana, inanifanya nibaki kucheka tu.

T[emoji769]
 
CLASS CHATTING - 05

SIKU YA TANO
Kama kawaida yangu nikaamka asubuhi. Siku hiyo sikutaka kwenda chuoni, sikujisikia vizuri hivyo nikaamua kupumzika nyumbani. Washikaji zangu, masela wa kweli wakaanza kunitafuta kwenye simu, Chilo upo wapi? Unafanya nini? Wahi chuo, leo mtoto Anita katokelezea kinoma, mtoto anang’aa kinoma, wahi uje umuone, naona kama ana haraka fulani hivi’
Nilitumiwa meseji hizo na washikaji, sikuwa na muda, nilikuwa hoi kitandani. Sikutaka kumcheki kwa hewa huyo Anita wao, nilimpotezea lakini upande wa pili nilijua tu kuna siku angenasa, mimi si ndiyo mzee wa mitego bwana.
Basi ilipofika saa tatu na nusu, kimeseji hicho, nikaulizwa nilikuwa wapi, meseji haikutoka kwa mtu mwingine bali Anita.
Mimi: Nyumbani.
Anita: Huji chuo.
Mimi: Kufanya nini?
Anita: kusoma.
Mimi: Siji.
Anita: Kwa nini?
Mimi: Naumwa...
Anita: Jamani pole sana mpenzi...tatizo nini?
Mimi: Nasumbuliwa na kichwa, hilo tu....
Anita: Naomba kitu.
Mimi: kipi?
Anita: nije nikuone jamani!
Unafikiri nilikataa basi, nikakubali, nikamwambia njoo. Muda ukazidi kwenda mbele, nikaona kama mtu mwenyewe anakuja kuniona, basi ilibidi nitengeneze mazingira mazuri, yaani kama ni kule Tandale kwa kina Nyemo, basi ningekwenda kuazima mashuka, air freshner na mambo mengine, si unajua kidogo uonekane supasupa.
Ilipofika saa kumi na moja, nikatwangiwa simu, kucheki kioo, mtoto Anita, akaniambia kwamba anakuja nyumbani. Meseji ile, vilevile, nikaiscreenshot na kuwatumia masela, nilitaka waone kwa macho yao na wajue kwamba mtoto angeliwa siku hiyo hivyo hela yangu iandaliwe kabisa.
Miraji: Oyaaa....mtoto anakuja?
Mimi: Kwani meseji inasemaje?
Miraji: Anasema anakuja....
Mimi: Basi jua hivyo...ndiyo hivyo anachinjwa....
Miraji: Daaah! Kweli unakwenda kumla Anita?
Mimi: Kwani kuna ugumu! Mbona simpo tu....mimi si ndiyo mkali wenu....tulieni, mtanyooshwa tu.
Basi ndiyo hivyo nikaanza majigambo yangu! Washikaji hawakuamini kama kweli siku hiyo ndiyo hivyo mtoto mtoto alikuwa akiliwa.
Hamisi: Kwa hiyo! Tuje kupiga chabo?
Mimi: Hahaha! Acheni ujinga, hamjishtukii kuuona utupu wa watu wazima...hebu subirini.....
Hamisi: Daah! Ila mtoto yupo poa sana, haina noma, kamilisha kila kitu, ila ukitufuata, njoo na uthibitisho...
Mimi: Haina noma.
Ndiyo hivyo, saa kumi na mbili jioni, mtoto huyo kwenye simu, alikuwa amekaribia na nyumbani hivyo nikatoka nje na kumchukua. Kama washikaji walivyoniambia kwamba siku hiyo mtoto alitokelezea, ilikuwa kweli kabisa, Anita huyu....duuuh! alikuwa balaa aiseee.
Nikamwangalia kwa macho ya matamanio, na mwisho wa siku nikaingia naye gheto.
Anita: Wewe ndiye mgonjwa?
Mimi: Ndiyo! Naumwa kweli...hebu nifanyie masaji kwanza...
Anita: Mmh! Aya, ya mgongo au?
Mimi: Potepote...nivue nguo?
Anita: Naogopa kukuchungulia.
Mimi: Acha hizo.....
Hapohapo nikavua nguo, nikabaki na boksa, nikajilaza juu, mikono yake laini ikaanza kupitapita mgongoni kwangu, akaanza kuniminyaminya.......nilibaki nikiugulia tu....aishiiiiii....agghhh...hapohapo......
*****
Kuna kitu nilichokifahamu sana maishani mwangu kuhusu wasichana, ukimwambia msichana aje nyumbani halafu siku hiyo usimuonyeshee mbwembwe zozote zile ni lazima atakuona boya na ndiyo maana wanaume wengi wanaokuwa na huo uboya, wanapogombana na wasichana hao, utasikia wakiambiwa, hivi wanaume wakiambiwa watoke, na wewe utatoka? Hivi kuna mwanaume ambaye anaweza akamkosa mwanamke wakiwa chumbani? Kuna mwanaume mwenye uwezo wa kumwacha mwanamke chumbani kama wewe?
Nililijua hilo na nikajisemea kama kweli na mimi nitamwacha, unaweza kusikia kesho chuo kizima wamejua kwamba manzi alikuja gheto halafu nikamkosa, sasa ningefanyaje? Nani anataka kuonekana boya? Kwangu, walaaaaa....sitaki kabisa mchezo huo, kama amekuja, kinachofuata ni kumaliza kazi tu.
Mimi: Shuka chini kidogo....
Anita: Nishuke chini tena?
Mimi: Ndiyo! Hapo mgongoni, shuka mpaka kiunoni....
Anita: Sawa.
Uzuri wa Anita bhana hakuwa mbishi, nilichomwambia, alikifanya tena kwa nguvu zote, basi akashuka chini, karibu na kiuno na kuanza kukiminyaminya, yalikuwa ni mambo ya masaji yaliyonifanya niwe hoi.
Nikabaki nikiugulia, miguno iliyomaanisha kama nikiachiwa nafasi, sirembi. Basi akaendelea na kuendelea, baadaye akasema amemaliza hivyo nilitakiwa kugeuka na kulala chali, nikafanya hivyo.
Aliendelea kunifanyia masaji huku nikiwa hoi kabisa, nilishindwa kuvumilia, napo nikamwambia ashuke chinichini, akashtuka.
Anita: Nishuke chini?
Mimi: Yeah...chini ya kiuno...
Anita: Mmh! Jamaniiiiiii
Kweli bwana, huko si ndiyo kulikuwa na mzuka kwenyewe. Nakumbuka siku hiyo nilikuwa peke yangu home, ukimya ulitawala huku taa ikiendelea kuwaka. Wakati akiendelea, yaani ghaflaghafla tu umeme huo ukakatika, kukawa na giza la hatari.
Mimi: Afadhali......
Anita: Afadhali ya nini?
Mimi: Umeme kukatika....
Nilipomwambia hivyo tu, nikamvuta karibu na kwangu. Aisee washikaji, hata kama umeme umekatika halafu upo ndani na mtoto, nahisi macho yanapewa uwezo mkubwa wa kuona, japokuwa kulikuwa na giza, lakini Anita nilimuona, nikamshika na kumvutia kwangu....akawa anahema juujuu.
Mimi: Inakuwaje sasa?
Anita: Kuhusu nini? (Aliuliza kwa sauti ya mahaba)
Kuna aina tatu za kujibu maswali, kuna kujibu swali kwa swali, kujibu swali kwa jibu na pia kujibu swali kwa kuwa kimya. Hiyo njia ya tatu ndiyo niliyoitumia, aliponiuliza, sikujibu zaidi ya kuinuka na kumsogeza karibu zaidi.
Tulibaki tukiangalia, kilichofuata, nikaanza kutoa nguo zake, moja baada ya nyingine huku nikiwa kwenye haraka kubwa kana kwamba niliambiwa nisipofanikiwa kwa dakika moja, ndiyo basi tena.
Anita alikuwa wangu tu, asingeweza kutoka, wakati ndiyo kwanza nimemlaza vizuri kitandani, umeme huo, nikaona siyo tatizo, nikaenda na kuizima taa na kurudi kitandani.
Wote tulikuwa watupu kabisa, kilichofuata ni kuanza kuchokozana hapa na pale, akisema baba njoo huku, mimi namjibu nimekwishakuja mama, kuna tatizoooo? Ulikuwa ni wakati wa kuandaana kwanza, nilitaka kumuingiza katika ulimwengu wa mahaba, hivyo sikutakiwa kuwa na presha, kipindi hicho mzee mzima sikuvua boksa yangu, ilibaki vilevile mwilini ikiendelea kuchafuka.
Mimi: Kifua chako......
Anita: Kimefanya nini?
Mimi: U mbichi kabisa, najiona kuokota dodo benki....
Anita: Hahah...hebu nikune kwanza...
Mimi: wapi kunawasha? Hapa? Huku? Niambie basi, wapi jamaniiiii?
Wakati nasema hivyo, huku nikimuuliza kama ni hapa au kule, mikono yangu ilikuwa makini kabisa. Stimu zikawa high, yaani hata kama kuna mtu angenifuata na kuniambia Chilo kuna watu wanakuvamia na mapanga, wakikukuta hapa wanakuua, kwangu poa tu, siyo tatizo.
Wakati tukiendelea kushikanashikana hapa na pale, ghafla nikaanza kusikia honi nje ya nyumba yetu, walikuwa wazazi wangu ndiyo wanarudi nyumbani, Anita akashtuka sana.
Anita: Wakina nani tena?
Mimi: Watakuwa wazazi...daaah!
Anita: kwa hiyo unakwenda kufungua?
Mimi: Ndiyo! Si unajua hakuna mwingine humu zaidi yangu.
Hakuna siku ambayo niliwalaani wazazi kama siku hiyo, waliniondolea stimu, nikaanza kujiuliza, kwa nini siku hiyo waliwahi kurudi tofauti na siku nyingine? Kila nilichojiuliza, nilibaki nikiwalaumu tu.
Baba: Haujambo?
Mimi: Sijambo shikamoo...
Baba: Marahaba....
Wakaingia ndani, harakaharaka nikaelekea chumbani na kuanza kuongea na Anita ambaye tayari alivaa nguo zake na kutaka kuondoka.
Mimi: Kwa hiyo?
Anita: Tufanye siku nyingine mpenzi....leo, mambo yashaharibika.
Mimi: Poa, haina noma.

Je, nini kitaendelea?
 
CLASS CHATTING - 06.

SIKU YA SITA
Kama ni moto, tayari niliwashiwa na kuuzima ilikuwa kazi kubwa sana. Kuanzia siku hiyo, mbona mimi na Anita mambo yakawa supasupa tu.
Siku hiyo nilikwenda mpaka chuo, huko, kitu cha kwanza kabisa kuulizwa na wana, umemla? Sikutaka kuwaficha, nikawaambia ukweli kwamba sikufanikiwa kwa sababu wazazi waliharibu.
Wengi walionekana kuwa na furaha lakini nilipowaambia hatua niliyofikia, wakashika vichwa na kujisemea, Mungu wangu! Tumetunza hela zetu. Eti walimuwekea dhamana Anita, utamuwekeaje dhamana na wakati yeye mwenye alinifagilia msela wa Tandale.
Musa: Kwa hiyo ndiyo basi tena?
Mimi: Hahah! Hivi nyie mlikuwa mnanichukuliaje?
Rajabu: Unajua siamini!
Mimi: Kwa nini?
Rajabu: Huyu Anita, imekuwaje? Mbona kawa mwepesi hivyo kwako?
Mimi: Kuna kitu hamjakijua, nimemuweza kwa kuwa nimetumia uchawi wa kizungu.
Rajabu: Upi huo?
Mimi: Gari....
Wote: Hahaha!
Mimi: Ndiyo hivyo! Watoto wa kike unafikiri wanapindua unapokuwa na gari, hata demu wako usimuwekee dhamana kwa msela mwenye gari. Huu unaitwa uchawi wa Kizungu, upo kwa ajili ya watoto wa chuo na wale wa kishua, ila kuna uchawi wa kienyeji pia...
Rajabu: Upi huo?
Mimi: Chipsi kuku! Huu unatumika sana pande za Uswahilini, ukimtaka mtoto wa huko, mpe chipsi kuku, kiulainiiii unachukua.
Niliamua kuwaambia ukweli, walishangaa kwa nini Anita alinikubalia kwa urahisi sana. Unajua msichana anataka kuwa na maisha mepesi, msichana si mtu wa kutaka shida, anatamani kurahisishiwa kila kitu, yaani akisema anataka kwenda sokoni, basi aende kiurahisi na anaposema kwamba anataka kwenda chuo, asipate kashikashi ya kupanda daladala na kupakwa majasho ya watu.
Kwangu, nilimrahisishia maisha yake, kwenda chuo na gari, kurudishwa na gari, kuna nini tena? Mpaka hapo, washikaji wakajua kwamba tayari nilimaliza kila kitu. Darasani, mtoto alionekana kuchanganyikiwa, kila nilipokaa, alinitumia meseji za kimapenzi, zile za kucopy na kupaste, zilipofika kwangu, nikawa namjibu basi alikuwa akifurahi sana.
Anita: Una tabia mbaya Chilo.
Mimi: Ipi tena jamani?
Anita: Ndiyo nini kunifanyia vile mtoto wa mwanaume mwenzio?
Mimi: Hahah! Pole sana jamani....nilikuchafua sana?
Anita: Ndiyo! Basi mwenzako nilivyofika nyumbani, sikulala.
Mimi: Kwa nini?
Anita: Ningelalaje sasa? Nilipata tabu sana na kuhisi kama nakufa vile, uliniacha kwenye wakati mbaya sana.
Mimi: Kwa hiyo? Tuendelee tulipoishia?
Anita: Mmh! Hakuna tatizo! Ila isiwe kwenu, wakwe wasije wakaharibu tena....
Mimi: Usijali! Tutapiga mechi ya ugenini, haitokuwa bonanza...itakuwa mechi ya mashindano.
Anita: Nitafurahi sana jamani! Mmh! Ila jana....
Mimi: Pole jamani mpenzi....basi mechi inayofuata, nitakufurahisha, kwanza utavaa ya rangi gani siku hiyo?
Anita: Nini?
Mimi: Pichu.
Anita: Mmh! Wewe unataka nivae ya rangi gani?
Mimi: Yoyote tu...
Anita: Basi nitavaa nyeupe au pinki, au dhambarau...unapenda ipi hapo?
Mimi: Vaa ya pinki...itakuwa ya kawaida au kinibi?
Anita: Wewe unataka nivae ya aina gani?
Mimi: Vaa ya kawaida, hizi kinibi si mpenzi kivile....
Anita: Basi nitavaa kukuridhisha...
Nilichati naye sana, tulikuwa klasi na kila tulipochati, kama meseji ilimchekesha, aliniangalia na kisha kunichekea. Katika kipindi chote tulichokuwa tukichati, washikaji walikuwa wakifuatilia, wakati akiniangalia huku akicheka, washikaji walishika vichwa kwa huzuni kwa kuona wameliwa hela zao.
Ndivyo ilivyokuwa, sikutaka kuwa na presha sana, nilichokifanya ni kujifanya simba mzee ambaye sikuwa na haraka ya kuwinda. Nilifanya hivyo kwa kuwa nilitaka kuonekana mpole fulani hivi kwake.
Siku hiyo ilikuwa ni ya kuchati ila siku ya saba ilipoingia, tukapanga uwanja wa kuchinjana, yeye alitaka popote pale lakini pawe salama, nikamwambia haina noma, nikasema subiri nimpeleke Kingstone, Lodge fulani ipo Kijitonyama Mabatini, imejifichaficha hivi, mtu wa kwanza kuibuka nikawa mimi.
Mimi: Upo wapi baby?
Anita: Nipo njiani, umeshachukua chumba?
Mimi: Yeah! Namba kumi...utanikuta...
Anita: Basi usijali.....
Mimi: Umevaaje?
Anita: Mh! Si utaniona jamaniiiiiiiii
Mimi: Najua...hebu niambie kwanza jamaniiiii
Anita: Nimevaa kinguo fulani chepesiiiii...kinaonyesha mpaka ndani.
Mimi: Kweli?
Anita: Ndiyo!
Mimi: Ndani?
Anita: Nimevaa ya rangi ya pinki....kifuani sina kitu...nimeyaacha yenyewe yajiachie, yasibanwe.....
Mimi: Mmh! Leo kazi ipo.
Anita: Utanifikisha niendapo?
Mimi: Kwa nini usifikishwe? Hata ukitaka nikupitishe, poa tu...mimi si unajua mzee wa mashuti ya mbali...njoo ujionee....
Nafikiri huko alipokuwa alitamani pikipiki ipae afike fasta. Ngoja nikwambie ndugu yangu! Unaweza kuwa na hela, utajiri mkubwa lakini usipoweza kumfikisha mwanamke anapotaka, kazi bure tu, utapigiwa na sisi wauza mkaa na wakati wewe una mahela yako.
Ninapopata nafasi, sifanyi makosa, ninapiga mechi ya uhakika, itakayokumbukwa hata siku atakapoolewa. Ndivyo nilivyompangia huyu Anita. Hazikuchukua dakika nyingi, nikasikia pikipiki nje, nikajua ndiye mwenyewe...nikajikoki.
Mimi: Karibu....
Anita: Asante.
Alikuwa ameshaingia ndani, kipupwe kilikuwa kikipigwa tu, nilipomwangalia vizuri...haki ya Mungu nilichanganyikiwa. Kila mwanaume ana udhaifu wake, wengine kifua, wengine makalio, wengine miguu ila kwangu, mimi msichana akivaa nguo nyepesi, halafu nikaona pichu yake ile paleeee inaonekana, napagawa, ndivyo ilivyokuwa kwa Anita.
Nilipoiona kwa ndani, macho yakanitoka, udenda ukanidondoka, nilishikwa na hamu kweli. Mtoto akanifuata kitandani na kisha kunipiga bonge la busu lililomfanya mzee John kusimama harakaharaka. Kilichonichanganya zaidi, cheni ya gold aliyokuwa ameivaa kiuononi, nikaona leo kweli kazi ipo.
Anita: Nakupenda....
Mimii: Hata mimi.
Hakuna stori, hakuja hapo tuongee, alikuja kwa ajili ya mechi tu...kilichofuata..nikaanza hatua kwa hatua, nilitaka kumfikisha Chalinze na wakati nilijua dhahiri pumzi yake ni ya kwenda Kibaha...hivyo nikaanza kazi sasa.......
*****
Mtoto alikuwa chali, kazi yangu kubwa ilikuwa ni kumminya hapa na kule, alilegea, akakileta kifua chake juu, kazi yangu ikawa moja tu, kukifanyia utundu kifua chake.
Kiukweli kipindi cha nyuma sikuwa nikimpenda mwanamke anayevaa shanga au cheni, sikuona faida yake, kwangu kilionekana kama kitu cha kijinga sana, lakini siku hiyo ndiyo nikajua sababu ya wanawake kuvaa cheni au shanga au hata kuwa na kucha ndefu.
Kwa kutumia kucha zake, akaanza kuuparuaparua mgongo wangu kimahaba kitu kilichonifanya niwe hoi, kila alipouparua, nilitoa mguno uliomwambia, mamaa, endelea hivyohivyo.
Mpaka hapo nikaona kama vile nashindwa hivyo nilitakiwa kufanya kwa ujuzi wangu wa mwisho kabisa, sikutaka kuonekana mzembe, kama ningeleta ujinga basi hata mechi yenyewe isingeisha kwani kulikuwa na kila dalili wachezaji wangu wangezidiwa uwezo.
Hapo ndipo nikakumbuka kwamba mbali na kuishi Dar, mama yangu alikuwa mtu wa Tanga, hivyo nilikuwa na chembechembe za Tanga, sasa kwa nini nisimuonyeshee Anita kwamba nilikuwa noma.
Kama nimepata nguvu mpya vile, nikamvuta, nikambinua, mgongo ukawa juu, nikaanza kuukunakuna huku mkono wangu ukiuminyaminya uti wake wa mgongo, basi akapagawa ile mbaya.
Kwa kifupi ni kwamba siku hiyo chumbani hapo nilimaliza kila kitu, Anita alifurahi mno, kila wakati akawa ananipigia simu na kuniambia kwamba alifurahia mechi ile, ilikuwa ni ya ushindani na nilimpeleka vya kufa mtu.
Washikaji wakagwaya, hawakuwa na cha kufanya zaidi ya kunilipa mkwanja wangu kwani tofauti na siku hiyo, niliwachukua wawili na kwenda nao karibu na loji moja na kuingia na mtoto huku wao wakiwa kwa mbali wakiangalia.
Kuanzia siku hiyo, hakukuwa na mtu aliyetaka kuwekeana dau na mimi, walichemka wenyewe kwa kuona kweli nilikuwa balaa na sikutakiwa kuwekewa dhamana hata mara moja.
Rajabu: Chilo, hakuna kama wewe...haki ya Mungu tena...umemchukua yule mtoto, wewe balaa.....
Mimi: Hahah! Nyie mlifikiri mie mtoto mdogo...hii mashine kubwa....
Juma: Aya bwana...
Ndiyo ikawa hivyo...kuanzia siku hiyo nikawa najilia vyangu tu. Kwa sasa Anita ameolewa, ana mume wake lakini mara kwa mara amekuwa akinitumia meseji na kuniambia wazi kwamba hakuna mwanaume aliyewahi kumfikisha alipokuwa akielekea zaidi yangu.
Najisikia fahari, najisikia nina nguvu.....baada ya kuhangaika na wanawake, nilipooa, nikaamua kuachana nao na kutulia kwa mke wangu.

Asanteni kwa kuisoma hii stori yangu na Anita pamoja na wanachuo wenzangu niliowapiga hela kiboyaboya sana......!

MWISHO.
 
CLASS CHATTING - 05

SIKU YA TANO
Kama kawaida yangu nikaamka asubuhi. Siku hiyo sikutaka kwenda chuoni, sikujisikia vizuri hivyo nikaamua kupumzika nyumbani. Washikaji zangu, masela wa kweli wakaanza kunitafuta kwenye simu, Chilo upo wapi? Unafanya nini? Wahi chuo, leo mtoto Anita katokelezea kinoma, mtoto anang’aa kinoma, wahi uje umuone, naona kama ana haraka fulani hivi’
Nilitumiwa meseji hizo na washikaji, sikuwa na muda, nilikuwa hoi kitandani. Sikutaka kumcheki kwa hewa huyo Anita wao, nilimpotezea lakini upande wa pili nilijua tu kuna siku angenasa, mimi si ndiyo mzee wa mitego bwana.
Basi ilipofika saa tatu na nusu, kimeseji hicho, nikaulizwa nilikuwa wapi, meseji haikutoka kwa mtu mwingine bali Anita.
Mimi: Nyumbani.
Anita: Huji chuo.
Mimi: Kufanya nini?
Anita: kusoma.
Mimi: Siji.
Anita: Kwa nini?
Mimi: Naumwa...
Anita: Jamani pole sana mpenzi...tatizo nini?
Mimi: Nasumbuliwa na kichwa, hilo tu....
Anita: Naomba kitu.
Mimi: kipi?
Anita: nije nikuone jamani!
Unafikiri nilikataa basi, nikakubali, nikamwambia njoo. Muda ukazidi kwenda mbele, nikaona kama mtu mwenyewe anakuja kuniona, basi ilibidi nitengeneze mazingira mazuri, yaani kama ni kule Tandale kwa kina Nyemo, basi ningekwenda kuazima mashuka, air freshner na mambo mengine, si unajua kidogo uonekane supasupa.
Ilipofika saa kumi na moja, nikatwangiwa simu, kucheki kioo, mtoto Anita, akaniambia kwamba anakuja nyumbani. Meseji ile, vilevile, nikaiscreenshot na kuwatumia masela, nilitaka waone kwa macho yao na wajue kwamba mtoto angeliwa siku hiyo hivyo hela yangu iandaliwe kabisa.
Miraji: Oyaaa....mtoto anakuja?
Mimi: Kwani meseji inasemaje?
Miraji: Anasema anakuja....
Mimi: Basi jua hivyo...ndiyo hivyo anachinjwa....
Miraji: Daaah! Kweli unakwenda kumla Anita?
Mimi: Kwani kuna ugumu! Mbona simpo tu....mimi si ndiyo mkali wenu....tulieni, mtanyooshwa tu.
Basi ndiyo hivyo nikaanza majigambo yangu! Washikaji hawakuamini kama kweli siku hiyo ndiyo hivyo mtoto mtoto alikuwa akiliwa.
Hamisi: Kwa hiyo! Tuje kupiga chabo?
Mimi: Hahaha! Acheni ujinga, hamjishtukii kuuona utupu wa watu wazima...hebu subirini.....
Hamisi: Daah! Ila mtoto yupo poa sana, haina noma, kamilisha kila kitu, ila ukitufuata, njoo na uthibitisho...
Mimi: Haina noma.
Ndiyo hivyo, saa kumi na mbili jioni, mtoto huyo kwenye simu, alikuwa amekaribia na nyumbani hivyo nikatoka nje na kumchukua. Kama washikaji walivyoniambia kwamba siku hiyo mtoto alitokelezea, ilikuwa kweli kabisa, Anita huyu....duuuh! alikuwa balaa aiseee.
Nikamwangalia kwa macho ya matamanio, na mwisho wa siku nikaingia naye gheto.
Anita: Wewe ndiye mgonjwa?
Mimi: Ndiyo! Naumwa kweli...hebu nifanyie masaji kwanza...
Anita: Mmh! Aya, ya mgongo au?
Mimi: Potepote...nivue nguo?
Anita: Naogopa kukuchungulia.
Mimi: Acha hizo.....
Hapohapo nikavua nguo, nikabaki na boksa, nikajilaza juu, mikono yake laini ikaanza kupitapita mgongoni kwangu, akaanza kuniminyaminya.......nilibaki nikiugulia tu....aishiiiiii....agghhh...hapohapo......
*****
Kuna kitu nilichokifahamu sana maishani mwangu kuhusu wasichana, ukimwambia msichana aje nyumbani halafu siku hiyo usimuonyeshee mbwembwe zozote zile ni lazima atakuona boya na ndiyo maana wanaume wengi wanaokuwa na huo uboya, wanapogombana na wasichana hao, utasikia wakiambiwa, hivi wanaume wakiambiwa watoke, na wewe utatoka? Hivi kuna mwanaume ambaye anaweza akamkosa mwanamke wakiwa chumbani? Kuna mwanaume mwenye uwezo wa kumwacha mwanamke chumbani kama wewe?
Nililijua hilo na nikajisemea kama kweli na mimi nitamwacha, unaweza kusikia kesho chuo kizima wamejua kwamba manzi alikuja gheto halafu nikamkosa, sasa ningefanyaje? Nani anataka kuonekana boya? Kwangu, walaaaaa....sitaki kabisa mchezo huo, kama amekuja, kinachofuata ni kumaliza kazi tu.
Mimi: Shuka chini kidogo....
Anita: Nishuke chini tena?
Mimi: Ndiyo! Hapo mgongoni, shuka mpaka kiunoni....
Anita: Sawa.
Uzuri wa Anita bhana hakuwa mbishi, nilichomwambia, alikifanya tena kwa nguvu zote, basi akashuka chini, karibu na kiuno na kuanza kukiminyaminya, yalikuwa ni mambo ya masaji yaliyonifanya niwe hoi.
Nikabaki nikiugulia, miguno iliyomaanisha kama nikiachiwa nafasi, sirembi. Basi akaendelea na kuendelea, baadaye akasema amemaliza hivyo nilitakiwa kugeuka na kulala chali, nikafanya hivyo.
Aliendelea kunifanyia masaji huku nikiwa hoi kabisa, nilishindwa kuvumilia, napo nikamwambia ashuke chinichini, akashtuka.
Anita: Nishuke chini?
Mimi: Yeah...chini ya kiuno...
Anita: Mmh! Jamaniiiiiii
Kweli bwana, huko si ndiyo kulikuwa na mzuka kwenyewe. Nakumbuka siku hiyo nilikuwa peke yangu home, ukimya ulitawala huku taa ikiendelea kuwaka. Wakati akiendelea, yaani ghaflaghafla tu umeme huo ukakatika, kukawa na giza la hatari.
Mimi: Afadhali......
Anita: Afadhali ya nini?
Mimi: Umeme kukatika....
Nilipomwambia hivyo tu, nikamvuta karibu na kwangu. Aisee washikaji, hata kama umeme umekatika halafu upo ndani na mtoto, nahisi macho yanapewa uwezo mkubwa wa kuona, japokuwa kulikuwa na giza, lakini Anita nilimuona, nikamshika na kumvutia kwangu....akawa anahema juujuu.
Mimi: Inakuwaje sasa?
Anita: Kuhusu nini? (Aliuliza kwa sauti ya mahaba)
Kuna aina tatu za kujibu maswali, kuna kujibu swali kwa swali, kujibu swali kwa jibu na pia kujibu swali kwa kuwa kimya. Hiyo njia ya tatu ndiyo niliyoitumia, aliponiuliza, sikujibu zaidi ya kuinuka na kumsogeza karibu zaidi.
Tulibaki tukiangalia, kilichofuata, nikaanza kutoa nguo zake, moja baada ya nyingine huku nikiwa kwenye haraka kubwa kana kwamba niliambiwa nisipofanikiwa kwa dakika moja, ndiyo basi tena.
Anita alikuwa wangu tu, asingeweza kutoka, wakati ndiyo kwanza nimemlaza vizuri kitandani, umeme huo, nikaona siyo tatizo, nikaenda na kuizima taa na kurudi kitandani.
Wote tulikuwa watupu kabisa, kilichofuata ni kuanza kuchokozana hapa na pale, akisema baba njoo huku, mimi namjibu nimekwishakuja mama, kuna tatizoooo? Ulikuwa ni wakati wa kuandaana kwanza, nilitaka kumuingiza katika ulimwengu wa mahaba, hivyo sikutakiwa kuwa na presha, kipindi hicho mzee mzima sikuvua boksa yangu, ilibaki vilevile mwilini ikiendelea kuchafuka.
Mimi: Kifua chako......
Anita: Kimefanya nini?
Mimi: U mbichi kabisa, najiona kuokota dodo benki....
Anita: Hahah...hebu nikune kwanza...
Mimi: wapi kunawasha? Hapa? Huku? Niambie basi, wapi jamaniiiii?
Wakati nasema hivyo, huku nikimuuliza kama ni hapa au kule, mikono yangu ilikuwa makini kabisa. Stimu zikawa high, yaani hata kama kuna mtu angenifuata na kuniambia Chilo kuna watu wanakuvamia na mapanga, wakikukuta hapa wanakuua, kwangu poa tu, siyo tatizo.
Wakati tukiendelea kushikanashikana hapa na pale, ghafla nikaanza kusikia honi nje ya nyumba yetu, walikuwa wazazi wangu ndiyo wanarudi nyumbani, Anita akashtuka sana.
Anita: Wakina nani tena?
Mimi: Watakuwa wazazi...daaah!
Anita: kwa hiyo unakwenda kufungua?
Mimi: Ndiyo! Si unajua hakuna mwingine humu zaidi yangu.
Hakuna siku ambayo niliwalaani wazazi kama siku hiyo, waliniondolea stimu, nikaanza kujiuliza, kwa nini siku hiyo waliwahi kurudi tofauti na siku nyingine? Kila nilichojiuliza, nilibaki nikiwalaumu tu.
Baba: Haujambo?
Mimi: Sijambo shikamoo...
Baba: Marahaba....
Wakaingia ndani, harakaharaka nikaelekea chumbani na kuanza kuongea na Anita ambaye tayari alivaa nguo zake na kutaka kuondoka.
Mimi: Kwa hiyo?
Anita: Tufanye siku nyingine mpenzi....leo, mambo yashaharibika.
Mimi: Poa, haina noma.

Je, nini kitaendelea?
Stimu imekata ghafla dah!

T[emoji769]
 
Stori tamu kweli. Tuendelee mkuu.

T[emoji769]
 
Back
Top Bottom