Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wasipo shinda kombe every one will be sold or cut salariesKwa hio sijaelewa bado
Kwa hio ndio Majini hayo?wasipo shinda kombe every one will be sold or cut salaries
Hata akienda Simba hawezi wika km alivyokua Yanga wapi FEI?Mateke alikosea sana, maisha ni mzunguko hata kama aliporudi kucheza ligi ya Tanzania lakini kuna kesho anaweza kuwa mwalimu baada ya kustaafu soka akalazimika kuja kufundisha klabu za Tanzania. Huyu akikosa namba Pyramid lazima Simba imsajirili
Kwa soka la tanzania hata leo hii mayele akisema anarudi tanzania yanga watamkimbilia na kumkaribisha kwa bashashaMateke alikosea sana, maisha ni mzunguko hata kama aliporudi kucheza ligi ya Tanzania lakini kuna kesho anaweza kuwa mwalimu baada ya kustaafu soka akalazimika kuja kufundisha klabu za Tanzania. Huyu akikosa namba Pyramid lazima Simba imsajirili
Ndizo tetesi zilizopoNimesikia Ameandika Barua Kuomba Kusitisha Mkataba
nimeona mahali kwamba anaomba mkataba wake uvunjwe
Katika soka mambo yanafanana na siasa,hakuna adui,wala rafiki wa kudumu.Kwa soka la tanzania hata leo hii mayele akisema anarudi tanzania yanga watamkimbilia na kumkaribisha kwa bashasha
Kuna mwana yanga aliamini manara anaweza karibishwa hapo jangwani, vipi kuhusu morrison?
Soka la bongo kwa mtu wenye ushawishi halina nongwa
Simba na yanga ni timu zinazofanana zote zina presha kubwa ya nje ya uwanja,,,mchezaji akitoka sehemu moja kwenda nyingine uwezekano wa kufanya vizuri ni mkubwaHata akienda Simba hawezi wika km alivyokua Yanga wapi FEI?
To be sold in egypt not outside egypt?
Na ajifunze kuweka akiba ya maneno.Ajifunze pesa haiwezi kununua furaha
Niyonzima ..tena hao yanga ndio kabisa hata fei wanaweza kumpokeaKwa soka la tanzania hata leo hii mayele akisema anarudi tanzania yanga watamkimbilia na kumkaribisha kwa bashasha
Kuna mwana yanga aliamini manara anaweza karibishwa hapo jangwani, vipi kuhusu morrison?
Soka la bongo kwa mtu wenye ushawishi halina nongwa