sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
- Thread starter
-
- #181
Kwa kweli Sakapal unachosema ni kweli me mwanamke na ni mmoja wapo i dont like long story or long conversation kama siko interest nayo, na me ni mtu wa kuigno sana kama utaniboa na story yako, nilimpa shida sana mume wangu kunijua mimi ni mwanmke wa aina gani na niko interest na nini, sasa kuwa makini na story zako co kila siku story za ofisini kwako tuuu na zinajirudia au unasahau kama ulishamsimulia hiyo story then unamsimulia tena hata mimi nitakuigno
Then jua mumeo ni nyota gani mfano kama Cancer au taurus ingia kwenye google then search mfano Cancer Man au hiyo nyota ya mumeo utapata jibu asilimia 75 huwa ni tabia za kweli na utagundua mengi sana
Jaribu.
Thanx Nakshi, b4 hatujaoana tulifahamiana sana na tabia zetu ziliendana vizurii tu bila mushkeli wala kadhia na udhia, this changes happens baada ya miaka kadhaa ya ndoa na story ninazopiga ni zilezile sijazibadili basi tu naona upepo mbaya umepita.
Mmmhhhhhh hapo kwenye nyota not interested i dont believe hata in those makitu, thanx anyways.