Story za mkeo/mpenz wa ndoa

Sijamaliza kusoma story nzima lakini hapo red pamenichekesha sanam, loh! ........ ila ngoja nimalizie utamu wote plus comments za wadau

we cheka tu na usiombe yakukute looh inachosha na kukera kwa kweli, usije ukamfanyia hivo mkeo kwakweli
 

thanx Kaunga, hata mi nimejifunza mengi sana, will do that.
 
Si wanaume wote. Pamoja na jitihada zetu za kujaribu kupata mpenzi ambaye mtakuwa na compatibility ya kiwango cha kuridhisha, lakini bado kuna compromise nyingi tu inabidi tuzifanye ili kutengeneza, kuboresha na kudumisha mahusiano/mapenzi. Kila upande ni muhimu kufanya compromise na jambo hili linawezekana kama nyinyi wawili mmesomana na kuelewana tabia zenu vizuri.

Nikiangalia haya malalamiko yako, napata hisia kuwa nyinyi wawili bado hamjajuana vya kutosha na pengine hakuna uwazi wa kutosha kati yenu. Ni vema pia mkajifunza masuala kadhaa ya kibaolojia na hata kisaikolojia na hasa tofauti zilizopo kati ya jinsia ya kiume na ile ya kike. Elimu hiyo inaweza kuwasaidia kujua kiini cha tofauti zenu na hivyo kuweza kuelewana, kuvumiliana na kuchukuliana kwa urahisi zaidi.
 
Kwanza umenichosha na story yako ndeefu . . . Lol(kiding).Wanaume wengine sisi ni wavivu wa kuongea na kusikiliza pia.Mimi mfano huwa sipendi sana mizaha,ni mara mojamoja sana ndo maana hata comedy si mpenzi.Nikioa nitamwambia mke wangu tabiia yangu hii ili wakati mwingine asiwe anakwazika,lakini nitajitahidi kumsikiliza mara nyingi ili asiboreke.Ukitaka wanaume tufurahi leta story za mipango ya hela utaona kama tutaongeza sauti ya radio.Ila kwa kuwa umeshajua hebu ufuate ushauri wa Kaunga,japokuwa wanawake kimaumbile mnapenda kusikilizwa!
 
Last edited by a moderator:

my dear SnowBall u deserve my gift.....
Asante sana huo mfano wa shemeji yako nyumba nyingi ziko hivo, na hao wanaume wanaofanya hivo hawajui ni kiasi gani wanawakwaza wake zao. Just emagine mtu yuko in between the story then unamwambia hebu nenda chumbani kaniletee mawani yangu au ile charge ya simu yangu ya zamani. Tena anaweza kukutuma kitu ambacho kiko mbali ili utumie muda mrefu ukirudi story ingine ishaanza. Sasa utakuta yeye hajui kuongea na wageni anawawekea video waangalie utasema wageni kwao hawana video, watu skuhizi wakikutana ni kustorisha sio kama zamani unawatolea albam za picha waangalie na kuwawekea mikanda ya video lol wanaume wa namna hii michosho kwa kweli sio siri wala nn. Kama mnaosoma hapa mko hivi jirekebisheni.
 
nakusapoti sana kwani mtu na mwenzie lazima msomane (understand each other). Ni lazima ujue mwenzako anapenda mazungumzo ya aina gani. Kuna ambayo ni ya kina mama kwa mama ambayo hatuhitaji kuyasikia wala kuyaelewa. Mumeo/mkeo pigeni stori za familia yenu na mipango ya maendeleo yenu! Uepuke kusifia wengine kwani hubomoa badala ya kujenga. stori zinazomfanya mwenzio aone au ajiskie kuwa anatakiwa kuwajibika ni nzuri pia. However mimi sio mtaalamu wa mahusiano just my own experience
 

at least nimepata moyo asante sana kamanda moshi
 

mmmh inatisha... hadi naogopa, hivi inawezekana mkiwa mechokana na kuzoeana wote mkawa na hamu ya kuflash back first days mnaanzana kama chachu ya kuamsha mapenz?
 
For what I know, men are different from women. Women are upto details. They would want to give each and every detail of their day! For men its different. They concentrate more on general terms! If you ask a man how was your day, 'it was good/ I had a great day' is more than enough response while a woman would want the details of how good it was! What is important is for both of you to sit down and talk! Good communication is a cure to many problems in a marriage! Let him know that it means a lot when you listen to him! And if he is a man loving you for real, will change for good.
 

:clap2::clap2::clap2:
 
For what I know, men are different from women. Women are upto details. They would want to give each and every detail of their day! For men its different. They concentrate more on general terms! If you ask a man how was your day, 'it was good/ I had a great day' is more than enough response while a woman would want the details of how good it was! What is important is for both of you to sit down and talk! Good communication is a cure to many problems in a marriage! Let him know that it means a lot when you listen to him! And if he is a man loving you for real, will change for good.
 
Mibazazi ishaanza.

Halafu inavunga kuvunga (i am kiddin)

Taratibu Kiranga, mimi na SnowBall tumetoka mbali na tunajuana vilivyooo, nimesikitika sana kumuita mpenz wangu bazazi, if u can say sorry pls...
 
Sio wanaume wote hawataki kusikiliza story za wake zao ila ni kwamba wanaume wengi hawapendi story za umbea au zisizo na tija. Binafsi napenda kuongea sana, nadhani ni kama wewe, tena siku nikinyamaza lzm ataniuliza mbona leo hivyo unaumwa? nikimwambia nipo normal atakataa ni kuniambia mbona leo huongei, huko ofisini kwema? So hapo kwako nilichokiona jaribu ku-edit story zako. labda vp jmosi tutaenda site, au kutafuta mashamba, au nafikiri tukifanya hivi tutapata pesa, au what ever tu ili mradi zinahusu familia yenu. Mimi ndio huwa story zangu, na haziishi for sure. sababu nisipozungumza kwenye gari nitazungumza wapi, home jiko linanihitaji, watoto na ukiingia chumbani inabidi uwajibike kile kilichokutoa kwenu na kukuleta hapo kwa mume. Na usitumie muda wa malovidave kuongelea viwanja hapo napo utachemka mamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…