nae ni zofle anakaaje na hyo ela ndani kwanza anapokeaje malipo kwa cash....Kuna mzee mmoja wa kichaga alikua anakaa ilala,alikua anauza Nissan Patrol yake 15M,wale madalali wakaleta mteja wa 25M ilikua saa 6 mzee wa kichaga akawanyima cha juu,ilipofika saa 10 jioni wakavamiwa na majambazi wakachukua yote 25M,ila hawakumuua mzee wa kichaga
1. Kuna watu wanamuamini MunguAcha kujidanganya wewe, kawaulize matajiri wakubwa mjini wanaotumia dark art Kama dalali anadhulumiwa
Ukileta dark art unapewa lead!
mmmhHapo mwenye nguvu ni serikali (police) na police ni mtu anae weza kula dili na yeyote yule regardless n dalali au sio.
Mfano kipind nipo chuo wazazi walikuwa wanakula dili na mabinti zao wadogo wa eneo hilo kwamba msimu wa boom likitoka tu hivyo vibinti vinajilengesha kwako halafu kakisha fanikiwa kukuseti na umekaa nako room au geto unakuta wazazi na polisi hawa hapa wanakukamata kuwa unatafuna watoto wa shule hapo wakuvune hata laki tatu halafu haoo
Upya kivipi wewe?.Mnawakuza sana hao madalali.
Mnawekeana makubaliano, akivunja mnaweka terms upya.
Nimetaka mteja wa 100m wewe umeleta wa 400m, mnaanza upya akubaliano.
Lakini lead inapenya sio?1. Kuna watu wanamuamini Mungu
2. Kuna watu wamechanjiwa hata iweje huwaingii
3. Kuna watu wana uchawi hata kuliko hao
Hapa nimekuelewa zaidibut all in all madalali sio watu wazuri. They know alot
Makubaliano yawe percentage bei ya mauzo kuepusha mfarakano.Tumekubaliana nyumba nauza m100 wewe nakupa 25 ukiniletea mia nne lazima tukae chini tukabaliane upya maana makubaliano tuliyafanya kwenye m100 sio 400 kama hutaki NIUE TU. KWANI TUNAISHI MILELE? Mbona ukipata wa m50 unauliza kwanza kama ni sawa na itakuaje kabla hujamleta?
Madalali sio mchezo kwa wanaume wa huko Dar mzee.Weee! Dalali so mchezo,hakuna mkoani Wala wapi.Unawajua madalali au una wasikia tuu.
Mimi nishawahi kuwazingua madalali na hawajaniambia kitu.Nchi ina taratibu za kuendeshwa.
Pia tukiamua kuishi kihuni na mimi namtumia dalali watoto wa kihuni(commando Yosso)
Kabisa mkuu. Simple and clear.Makubaliano yawe percentage bei ya mauzo kuepusha mfarakano.
Kama dalali ukipata mteja wa pesa ndogo chini ya makubaliano unamheshimu mwenye mali unampigia simu unamfata mnazungumza upya kwann ukipata wa pesa kubwa usimheshimu pia mkaizungumzia hiyo pesa mpya ambayo ni kubwa kuliko makubaliano?Upya kivipi wewe?.
kisa umeona hela kubwa? umehusika kumshawishi mteja akafika dau lililozidi?
Kama kuleta mteja ni rahisi si muwe mnawatafuta wenyewe?
Sasa lead inapenyaje hapo?Lakini lead inapenya sio?
Huu ndio utaratibu. Eti unakaa Kinondoni ulete umafia mbele ya wale Wahindi na Waarabu wenye godowns, wachimba migodi wastaafu, makanali wakiuza daladala zao au wafanyabishara sugu wa kwenda Sheli sheli na DRC. Sasa kipya kwao nini si ndio maisha yao, unawaza hiki wanawaza kilehapo naona mkubaliane kua cut yake ni 25% na min price ni 100.
Tatizo watanzania wengi hawazingatii makubaliano .Heshimu mlichokubaliana .Uswahili hautakiwi.mumekubaliana milioni 25 akiuza hata bilioni moja chukua chako zilizozidi mwachieTumekubaliana nyumba nauza m100 wewe nakupa 25 ukiniletea mia nne lazima tukae chini tukabaliane upya maana makubaliano tuliyafanya kwenye m100 sio 400 kama hutaki NIUE TU. KWANI TUNAISHI MILELE? Mbona ukipata wa m50 unauliza kwanza kama ni sawa na itakuaje kabla hujamleta?
Umemaliza kila kitu Uzi ufutwe Sasa.Tatizo watanzania wengi hawazingatii makubaliano .Heshimu mlichokubaliana .Uswahili hautakiwi.mumekubaliana milioni 25 akiuza hata bilioni moja chukua chako zilizozidi mwachie
Kukosa uaminifu kwenye makubaliano kumesababisha madalali wengine kubuni mbinu mpya kukwepa Hilo akipata mnunuzi mfano wa nyumba ya milioni 25 anayetaka kununua kwa bilioni moja anachofanya anaenda kopa benki milioni 25 anampa ndugu yake anakuja nunua hiyo nyumba kwa milioni 25 halafu ukishampa hati zote wanaiuza kwa bilioni moja.Wanaenda kufuta mkopo wanaweka pesa iliyobaki kibindoni wanakuacha na ujinga wako
Njia nzuri kwenye mkataba andikianeni hivi kuwa nyumba hii usiuze chini ya milioni 25 chochote kitakachozidi juu dalali utachukua nusu na Mimi nusu na muandikishane kisheria kabisa .Akiuza usiwe na wivu Tena kuwa ohh anatajirikia kwangu . Biashara yeyote Kati nimkutajirishana mfano wewe waweza kuwa unauza basi faida yako Hilo basi ukiuza Ni milioni kumi Sasa ukaona uliyemuuzia anafanya biashara ya basi anapata faida ya milioni 50 kwa mwezi usibweke kuwa unamtajirisha na wewe kakutajirisha kwa kununua chako