Story za mtaani kuhusu umafia wa madalali

Story za mtaani kuhusu umafia wa madalali

wafafanulie watu hapo kuhusu mkia wa twiga
Wale madalali walipo dhulumiwa pesa zao,wali enda kuchonga na mkuu wa kituo cha polisi kilichopo eneo la tukio.kama tujuavyo polisi Wana kilakitu .wakapewa mkia wa twiga na kwenda kumuwekea jamaa nyumbani kwake kwa kificho.Ghafla jamaa akaona polisi wanakuja,hakuwa na wasiwasi Kwani yeye ni mkulima.baada ya polisi usearch kwa muda mrefu wakaukuta mkia wa twiga kwenye rundo la kuni kavu.jamaa pale pale akawa chini ya ulinzi Tena kwa kosa la ujangili ambalo hakuna dhamana.kilichofuta kinafurahisha.
Madalali ni balaa.
 
Kuna mzee mmoja wa kichaga alikua anakaa ilala,alikua anauza Nissan Patrol yake 15M,wale madalali wakaleta mteja wa 25M ilikua saa 6 mzee wa kichaga akawanyima cha juu,ilipofika saa 10 jioni wakavamiwa na majambazi wakachukua yote 25M,ila hawakumuua mzee wa kichaga
 
Ogopa madalali,wanaweza kubadili mwelekeo wa maisha yako.
 
Kuna mzee mmoja wa kichaga alikua anakaa ilala,alikua anauza Nissan Patrol yake 15M,wale madalali wakaleta mteja wa 25M ilikua saa 6 mzee wa kichaga akawanyima cha juu,ilipofika saa 10 jioni wakavamiwa na majambazi wakachukua yote 25M,ila hawakumuua mzee wa kichaga
Ogopa madalali.madalali hawashindwi na chochote.madalali hata polisi Wana waheshimu.
 
Nyingine wale wajapan waliojenga morogoro toad toka fire miaka ile Kajima walitoa tenda ya kuwa wanataka yard,kuna mzee alikua anauza sehemu kule Mikocheni Cocacola kwa 80M,wale madalali waliuza ile sehemu kwa 200M
 
Hili jambo waziri angetumia nguvu ya teknolojia na mitandao kulitokomeza badala ya kutaka kupambana nao kwa mtindo huu wa matamko na kuwatisha.
 
Ogopa madalali.madalali hawashindwi na chochote.madalali hata polisi Wana waheshimu.
Usiwape cheo kikubwa namna hii mzee, hili kundi ni kundi la kawaida sana kwenye jamii isipokuwa limebeba watu waongeaji na wanao jua kutia mikwara mizito ila kusema kwamba polisi wamewashindwa madalali wakati hata mfumo wao wa kazi haupo kisheria hiyo sio sahihi.
 
Usiwape cheo kikubwa namna hii mzee, hili kundi ni kundi la kawaida sana kwenye jamii isipokuwa limebeba watu waongeaji na wanao jua kutia mikwara mizito ila kusema kwamba polisi wamewashindwa madalali wakati hata mfumo wao wa kazi haupo kisheria hiyo sio sahihi.
Soma kwa umakini reply post#63
 
Wale madalali walipo dhulumiwa pesa zao,wali enda kuchonga na mkuu wa kituo cha polisi kilichopo eneo la tukio.kama tujuavyo polisi Wana kilakitu .wakapewa mkia wa twiga na kwenda kumuwekea jamaa nyumbani kwake kwa kificho.Ghafla jamaa akaona polisi wanakuja,hakuwa na wasiwasi Kwani yeye ni mkulima.baada ya polisi kusearch kwa muda mrefu wakaukuta mkia wa twiga kwenye rundo la kuni kavu.jamaa pale pale akawa chini ya ulinzi Tena kwa kosa la ujangili ambola hakuna dhamana.kilichofuta kinafurahisha.
Madalali ni balaa.
Hilo ni tukio kama matukio mengine ambalo linaweza kufanywa na kundi lolote kwenye jamii, kama umeishi Tz kwa muda hata wa miaka mitano lazima utakuwa umewahi kukutana na kesi za kubambikiziana na vyanzo ni vitu mbalimbali aidha biashara, siasa au hata madalali kama unavyo sema.

Kwa hivyo sio kama jambo la kutisha sana hilo
 
Mimi nyumba yangu ukiniletea mteja wa 400M alafu eti nikuachie 300M kisa nilikwambia nataka 100M kwa kifupi Mimi sitakuonyesha ubishi wowote nitafanya makubaliano ni lini nitakupa hela yako lakini nakuhakikishia siku hiyo hiyo hautafika kwako nitakupiga risasi kwa mikono yangu kabla hujakutana na familia yako.

Yani nakuuwa hili naliongea kutoka moyoni kabisa tena sikutumii majambazi wala nini nakupiga risasi mimi mwenyewe tena siyo risasi moja maana kukutumia watu inaweza baadae ikavuja majambazi wengine mioyo midogo hawakai na siri, hii dunia haipo wala siyo makazi sahihi kwaajili ya wanyonge ili ufanikiwe unatakiwa uwe mafia maana hata wewe nikikuacha utaniwahi.
 
Nimefanya biashara ya madini unatoa mzigo kwa kuaminiana tu bila mkataba uvushwe boda, nimekuwa dalali mpaka nilipofika hapa nilipo naelewa nazumgumza nini.

Ni hivi kama wewe ni dalali, ukitumwa leta m100, ukapata m500 unarudi kwa tajiri unamwambia imepatikana 500 mm nataka mia 200 au 150 juu ya ela ya awali. Lazima umuheshimu mwenye mali maana Kuna siku wewe ndo utauza mzigo wako. Na mwenye mali lazima aheshimu kazi uliyofanya.

SASA NYINYI MADALALI WA NYUMBA NA VIWANJA MPOJE🤣🤣🤣🤣
YAANI UNILETEE MIA, ELA IMEPITA KWENYE AKAUNT YANGU NITOE MIA TATU NIKUPE? CAPITAL GAIN SERIKALINI INALIPWAJWE?

Habari ya dalali kuja kuuza mali yake mwenyewe in future inahusiana nini na biashara iliyopo currently?

Vp mkuu? Unaomba kitu kwa lazima?

Ni sawa na umuazime mtu gari alafu umkute kapakiza demu mkali ambae hata hujawahi kufikiria kama utakuja kushika mkono wa mwanamke kama huyo ( design ya wale unaishiaga tu kuzini nao kimawazo unapowaona kwenye runinga, porn etc), Yani toto toto, zigo zigo, hatari balaa. Alafu huyo uliemuazima ndo anaenda kumaliza, wewe ulete tamaa zako kwamba kwasababu gari ni lako na wewe unafosi ukale! 😂😂😂😂😂 utaliwa kavukavu na utashika ADABU!
 
Hilo ni tukio kama matukio mengine ambalo linaweza kufanywa na kundi lolote kwenye jamii, kama umeishi Tz kwa muda hata wa miaka mitano lazima utakuwa umewahi kukutana na kesi za kubambikiziana na vyanzo ni vitu mbalimbali aidha biashara, siasa au hata madalali kama unavyo sema.

Kwa hivyo sio kama jambo la kutisha sana hilo
Nasema madalali Wana mtandao mkubwa.Fikiria Waka enda kwa mkuu wa kituo Cha polisi na kuwaka wazi biashara yote na kupewa nyara ya serikali ili wamlipue jamaa.Narudia madalali so wakubezwa hata kidogo.
 
Soma kwa umakini reply post#63
Hapo mwenye nguvu ni serikali (police) na police ni mtu anae weza kula dili na yeyote yule regardless n dalali au sio.

Mfano kipind nipo chuo wazazi walikuwa wanakula dili na mabinti zao wadogo wa eneo hilo kwamba msimu wa boom likitoka tu hivyo vibinti vinajilengesha kwako halafu kakisha fanikiwa kukuseti na umekaa nako room au geto unakuta wazazi na polisi hawa hapa wanakukamata kuwa unatafuna watoto wa shule hapo wakuvune hata laki tatu halafu haoo
 
Back
Top Bottom