Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe jamaa boya sanaKasema madalali wote duniani wataenda peponi.
Unamtajia bei ya chini (lower limit) mfano mil. 100 akiuza mil. 400 wote mtafaidika maana mtakuwa mmekubaliana asilimia....Yaani m 100 kwa milioni 400?
Hyo hesabu mtu yeyote hawezi kukubali.
Labda umpe dalali Uhuru mwambie akatangaze Bei anayoona yeye inafaa alafu utampa % zake.
NI Kama dalali wa samaki.
Bei anapanga yeye
Hio 'kinyume na hapo...' inakuja baada ya kupokea fedha ama kabla?Siuzi mwenyewe. Kwann niuze mwenyewe na madalali mpo?
Naiweka sokoni na madalali nawaambia hii nyumba nataka m100 ntawapa m25 ntabaki na 75 ila mkileta zaidi tunakaa chini upya mnanipa 100 yangu nawapa 25 yenu halafu tunazumgumzia hiyo iliyozidi tunagawanaje Full stop.
Kinyume na hapo siuzi na mkinishambulia hakikisheni mmeniua kweli waliobaki watalipiza kisasi. Mkishindwa kuniua mnakufa nyie. BULLET FOR BULLET OR BUSINESS FOR BUSINESS. KWANI UNATAKA TUISHI MILELE?
Sasa huo ni wivu na roho mbaya! Na ndio ilikuwa hulka ya mwendazakeNimesema 100 wewe unaleta wa 400 kwanini? Kwanini hufuati maelezo kuwa inahitajika 100? Usipofuata maelekezo umevunja makubaliano tunakaa chini tunakubaliana upya.
Wewe sio mtu unayenihusu huwezi pata sababu ya kunilipizia kisasi nikiuwawa kwa sababu yoyote ile. Na sioni msingi wa kuzungumza na wewe hii hoja.Hio 'kinyume na hapo...' inakuja baada ya kupokea fedha ama kabla?
Waliobaki walipize kisasi cha upumbavu wa tamaa zako? Labda kama wao ni wajinga
Ungeiweka hivi ningekuelewa:-
Kwakuwa tayari unafahamu ukiwazunguka watakumaliza, basi itakubidi uwamalize wao punde tu mzigo utakapotua kwenye Acc. yako.
Wenye mali viherehere wanasahau hilo, wanadhani ni simple sana.Hawa watu wana experience ya kucontrol akili ya mnunuzi
umauzi wangu upe jina lolote litakalokupendeza.Sasa huo ni wivu na roho mbaya! Na ndio ilikuwa hulka ya mwendazake
Wewe chako umepata cha mwenzio kinakuuma nini? Hukuwa na akili ya kuthaminisha mali yako kwa 400 leo hii unajifanya mjuaji. Lead will rain on you young blood.
utakufa kweli ohooo shauri yakoumauzi wangu upe jina lolote litakalokupendeza.
Ni hivi, kama ukipata wa pungufu ya bei unataka tukae tuzungumze basi ukipata wa juu ya bei tukae pia tuzungumze hutaki siuzi wewe nenda andaa mipango ya kuniua.
We unataka kuishi milele? Hujawahi nusurika kifo?utakufa kweli ohooo shauri yako
Tell themMambo ya kujimwambafai nyuma ya keyboard mkileta kwenye maisha halisi yatakuja kuwagharimu, pengine sio nyinyi tu ila hata na vizazi vyenu. Msilete masihara kwenye kazi za watu. Mtu kwa hiari yako umetaka 100m, watu wamepambana wamekuletea, zaidi ya hapo unataka nini sasa?
wafafanulie watu hapo kuhusu mkia wa twigaUkimkabidhi dalali Mali yako,usiwe na tamaa.Tamaa mbaya.
Kuna jamaa alitaka kuuza trekta yake used kwa 5M,akakubaliana na madalali.madalali wale Waka uza 9M.Jamaa akaingiwa na tamaa .wale madalali Wakamchomekea mkia wa twiga,jamaa alikamatwa na polisi na alihonga pesa yote 9M.Usicheza na madalali,ukiwatumia madalali ni vyema ukawalipa kulingana na makubaliano.
Sio nyuma ya keyboard. Watu wengine wanatoa maoni kulingana na uzoefu na uhalisia wa walivyoishi.Mambo ya kujimwambafai nyuma ya keyboard mkileta kwenye maisha halisi yatakuja kuwagharimu, pengine sio nyinyi tu ila hata na vizazi vyenu. Msilete masihara kwenye kazi za watu. Mtu kwa hiari yako umetaka 100m, watu wamepambana wamekuletea, zaidi ya hapo unataka nini sasa?
Weee! Dalali so mchezo,hakuna mkoani Wala wapi.Unawajua madalali au una wasikia tuu.Wanaume wa Dar wanaogopa mpk madalali.Huku mkoani wanalambishwaga alamba alamba tu wakileta ujuaji.
Tumekubaliana nyumba nauza m100 wewe nakupa 25 ukiniletea mia nne lazima tukae chini tukabaliane upya maana makubaliano tuliyafanya kwenye m100 sio 400 kama hutaki NIUE TU. KWANI TUNAISHI MILELE? Mbona ukipata wa m50 unauliza kwanza kama ni sawa na itakuaje kabla hujamleta?
SASA NYINYI MADALALI WA NYUMBA MPOJE[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]