Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Madalali yanataka pesa za dezo dezo hapa mjini kupitia kwenye migongo ya waliovuja jasho na damu kutafuta pesa ....!
Waziri kazi hapo hapo ,hawa ni wahuni na majambazi kabisa ,haiwezekan kunionesha apartment ya laki 4 kwa mwezi ,Mimi nimlipe mwenye nyumba Kodi ya miazi 6 bado na wewe dalali nikulipe laki 4 nyingine ,.....huu no wizi kabisa kudadekiii
Waziri kazi hapo hapo ,hawa ni wahuni na majambazi kabisa ,haiwezekan kunionesha apartment ya laki 4 kwa mwezi ,Mimi nimlipe mwenye nyumba Kodi ya miazi 6 bado na wewe dalali nikulipe laki 4 nyingine ,.....huu no wizi kabisa kudadekiii