Story za udokozi

Story za udokozi

Nakumbuka kipindi niko primary std 5 au 6, kuna ndugu yetu alikuja home.... alikua mtu wa vyombo sana so ikanunuliwa konyagi kwa ajili yake maana hakuna mwingine alikua anatumia hyo kitu pale nyumbani.
Hyo siku baada ya kunywa kiasi nikatumwa kwenda kuitunza, sasa nmefika nlipotakiwa kuiweka nikaiangalia then nikawa natamani kujua ina ladha gani, akili ya utoto ikaniambia onja😂 basi nikamimina kwenye kifuniko chake then nikabugia daah sitasahau hyo siku niliunguaaaa kuanzia kwenye koo had ilipofikia tumboni nikawa naiskilizia.
Nlitamani kulia kuomba msaada ila nlijua kitu ambacho kingenipata so nikajikaza nkaenda kujipooza na maji kuzima moto tumboni.
Since then nkawa muoga kudokoa vitu nisivyovijua.
Unakunywa nyagi?
 
😂😂😂😂😂 uwiiiiii
Nimecheka maana imenibidi nivute picha vile umetoa macho..🤣🤣
Mimi nilikuwa mdokozi wa nyanya..nikikuta nyany hata Kama zimekatwa nasomba..siku Moja nikategeshewa pilipili...nilikoma
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiii
Nimecheka maana imenibidi nivute picha vile umetoa macho..[emoji1787][emoji1787]
Mimi nilikuwa mdokozi wa nyanya..nikikuta nyany hata Kama zimekatwa nasomba..siku Moja nikategeshewa pilipili...nilikoma
[emoji1][emoji1][emoji1]ulikuwa unapenda nyanya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi chakula sikuwa nadokoa maana nimekua peke yangu na chakula kilikuwepo wakati wote. Ila bwana nilikuwa nadokoa hela...wahenga wenzangu mtakuwa mnakumbuka yale magome ya sh 5, 10 na 20. Nilikuwa naiba naenda nazo shule

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa nilikua naziogopa maana ukigundulika hicho kipigo chake ni cha mbwa koko [emoji23]

Sent From Galaxy S20 Ultra
 
Pesa nilikua naziogopa maana ukigundulika hicho kipigo chake ni cha mbwa koko [emoji23]

Sent From Galaxy S20 Ultra
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna siku nilikula stick hizo si mchezo. Tatizo lingine ilikuwa hata baadae baada ya kuacha nilipokea adhabu nyingi za wizi ambao hata sijafanya kwa sababu ya hiyo historia yangu mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kipindi niko primary std 5 au 6, kuna ndugu yetu alikuja home.... alikua mtu wa vyombo sana so ikanunuliwa konyagi kwa ajili yake maana hakuna mwingine alikua anatumia hyo kitu pale nyumbani.
Hyo siku baada ya kunywa kiasi nikatumwa kwenda kuitunza, sasa nmefika nlipotakiwa kuiweka nikaiangalia then nikawa natamani kujua ina ladha gani, akili ya utoto ikaniambia onja😂 basi nikamimina kwenye kifuniko chake then nikabugia daah sitasahau hyo siku niliunguaaaa kuanzia kwenye koo had ilipofikia tumboni nikawa naiskilizia.
Nlitamani kulia kuomba msaada ila nlijua kitu ambacho kingenipata so nikajikaza nkaenda kujipooza na maji kuzima moto tumboni.
Since then nkawa muoga kudokoa vitu nisivyovijua.
Pole sana. Njoo tunywe konyagi kujifuta machozi.
 
Nakumbuka kipindi niko primary std 5 au 6, kuna ndugu yetu alikuja home.... alikua mtu wa vyombo sana so ikanunuliwa konyagi kwa ajili yake maana hakuna mwingine alikua anatumia hyo kitu pale nyumbani.
Hyo siku baada ya kunywa kiasi nikatumwa kwenda kuitunza, sasa nmefika nlipotakiwa kuiweka nikaiangalia then nikawa natamani kujua ina ladha gani, akili ya utoto ikaniambia onja[emoji23] basi nikamimina kwenye kifuniko chake then nikabugia daah sitasahau hyo siku niliunguaaaa kuanzia kwenye koo had ilipofikia tumboni nikawa naiskilizia.
Nlitamani kulia kuomba msaada ila nlijua kitu ambacho kingenipata so nikajikaza nkaenda kujipooza na maji kuzima moto tumboni.
Since then nkawa muoga kudokoa vitu nisivyovijua.
Sio mzee Asprin kweli huyo mgeni wenu au alikiwa Kaizer ?
 
Wakati nipo chuo mwaka wa pili, nilianza kuishi off-campus.

Nilikuwa na roommate M-Ghana. Alikuwa anapenda sana kupika.

Basi siku moja nimetoka zangu darasani, kurudi nyumbani nikamkuta hayupo. Siku hiyo alikuwa na darasa la jioni.

Kabla hajaondoka kwenda darasani, alipika.

Narudi nyumbani nasikia harufu nzuri ya chakula. Kuangalia ndani nakuta jamaa hayupo.

Sufuria la mboga alikuwa kaliacha juu ya jiko.

Nilikuwa na njaa balaa. Siku nzima nilikuwa na madarasa hata muda wa kula sikuwa nao maana madarasa yalikuwa bandika bandua.

Basi nikaamua kufunua sufuria nione alichokipika.

Hamad! Nikakuta kapika nyama ya mchuzi. Nikadokoa finyango kama nne hivi.

Kuanza kuzitafuna, nikahisi kaharufu flani hivi kaliko tofauti na nyama ya ng’ombe.

Nikajisemea kimoyomoyo labda itakuwa ni viungo tu alivyoviweka.

Lakini hata ladha nayo nikaistukia kuwa iko tofauti. Finyango ya mwisho nikaitema, nikaitupa.

Basi bana, baadaye usiku aliporudi akaniambia kwamba jirani yetu aligonga Deer 🦌 [kwa Kiswahili sijui hata anaitwaje...sijui ndo Swala?] akaamua kumchukua na kwenda kumchinja na akampa roommate kiasi cha nyama yake. Roomie akaamua kupika.

Sasa mimi silagi Deer. Ila siku hiyo nilikula.

Njaa na udokozi wangu vilinitokea puani.

Toka siku hiyo nikakoma kudokoa na kula vitu ambavyo sivijui.
 
Najaribu kuvuta memory hapa alikua nani
Atakuwa mmoja wao wala usiende mbali.

Kwa hiyo kwasasa una mchumba sasa maana unaonekana ulikuwa mtoto mzuri.
 
Nakumbuka kipindi niko primary std 5 au 6, kuna ndugu yetu alikuja home.... alikua mtu wa vyombo sana so ikanunuliwa konyagi kwa ajili yake maana hakuna mwingine alikua anatumia hyo kitu pale nyumbani.
Hyo siku baada ya kunywa kiasi nikatumwa kwenda kuitunza, sasa nmefika nlipotakiwa kuiweka nikaiangalia then nikawa natamani kujua ina ladha gani, akili ya utoto ikaniambia onja[emoji23] basi nikamimina kwenye kifuniko chake then nikabugia daah sitasahau hyo siku niliunguaaaa kuanzia kwenye koo had ilipofikia tumboni nikawa naiskilizia.
Nlitamani kulia kuomba msaada ila nlijua kitu ambacho kingenipata so nikajikaza nkaenda kujipooza na maji kuzima moto tumboni.
Since then nkawa muoga kudokoa vitu nisivyovijua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom