Story za udokozi

Hahah mmenikumbusha mbali sana,pindi nipo primary school nilikuwa natembea na kijiko kidogo/tea spoon kwa ajili ya kulambia sukari kabatini yaani nikitoka shuleni au mpirani nalamba sukari.

Sasa kuna siku nililamba sukari jioni nilivyomaliza sikuifunika asubuhi nikaamka nilambe kidogo kushtuka nimekula mavi mende vyeusi vidogo vidogo nikaacha kulamba sukari
 
🤣🤣😁 Ulikuwa unahisi kama unataka kufa kufa vile
 
Mnauliza kudokoa! Nakumbuka nilikuwa nachukua nyama kwenye sufuria naweka kwenye mfuko wa suruali basi huyoo naenda zangu nje?
 
Kwa wahaya tumefanya sana haka kamchezo kakudokoa senene
 
Watoto wa kike ni wahanga sana. Dada yangu alikuwa na hii tabia sana.😀😀

Me nilikuwa mrambaji mzuri sana wa sukari. Hii tabia mpaka dogo kaja kuwa nayo. Sema tu vile nakuwa si mfatiliaji maana anaramba halafu anaacha ushahidi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]lamba lamba humaliza buyu la asali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dadeq mara paaap unashtuka umebakisha shingo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…